Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mgomo na vurugu za wanafunzi wa shule ya St Anne Marie Academy ya jijini Dar wasababisha hasara ya milioni 140.....Tazama picha za uharibifu huo

$
0
0
VURUGU zilizofanywa juzi katika Shule ya Msingi na Sekondari ya St Anne Marie Academy, jijini Dar es Salaam, zimesababisha hasara ya Sh milioni 140 kutokana na mali zilizoharibiwa.   Kutokana na vurugu hizo, zaidi ya wanafunzi 30 wa kidato cha sita, wamesimamishwa masomo kwa wiki mbili kwa madai ya kutaka kuhamasisha mgomo wa masomo, kushinikiza wenzao 11 wanaoshikiliwa na Polisi kutokana

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>