Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi na wananchi wa Karatu wapambana kwa mawe baada ya watoto wawili kugongwa na gari

$
0
0
Mamia ya wananchi wenye hasira katika Kijiji cha Bashay kilichoko wilayani Karatu  wamepambana na polisi kwa kuwarushia mawe kwa kile walichodai kuishinikiza Serikali kuweka matuta katika Barabara ya Karatu hadi Ngorongoro.   Tukio hilo lililotokea saa 4 asubuhi baada ya watoto wawili Priska John(5) na Happiness Filbert (5) walipogongwa na gari wakati wakivuka barabara ambapo mmoja

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>