Stori: Francis godwin, IringaHUU
ni ukatili uliopitiliza! Wakati wanaharakati mbalimbali nchini
wakiwemo wa Mtandao wa Kijinsia Tanzania (TGNP) wakipinga vikali vitendo
vya ukatili, baba wa kufikia, Musa Mdetela, mkazi wa mjini hapa
anasakwa na polisi kwa kosa la kuwachoma moto miguuni wanaye wa kambo.
↧