Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wizara ya Fedha yawapokea kwa shangwe Mwigulu Nchemba na Malima

$
0
0
Mawaziri walioteuliwa kwenye mabadiliko ya baraza la mawaziri waliripoti ofisini January 22 2014 ambapo taarifa  hii  inawahusu naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba alivyopokelewa na Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha jijini Dar es salaam.    Tukio hili lilifanyika nje ya Wizara ya Fedha ambapo Wafanyakazi walijitokeza kuwalaki mawaziri wapya walioteuliwa na Rais Kikwete wiki iliyopita

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>