Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuanzia leo,
kinarusha helkopta tatu kwa siku 14 mfululizo, katika kutekeleza
kampeni iliyopewa jina la Operesheni Pamoja Daima (ODB) itakayoendeshwa
katika mikoa yote nchini.
Ziara hiyo inaanzia katika mikoa ya Tanga, Mwanza
na Ruvuma, huku viongozi wa chama hicho wakijigawa katika makundi sita;
matatu yakitumia helkopta na matatu
↧