Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Dkt Makongoro Mahanga afikishwa mahakamani baada ya kumnyima mkataba na kumtaka kimapenzi secretary wake

$
0
0
NAIBU Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Dkt Makongoro Mahanga ameingia kwenye kashfa nzito ya kuvunja sheria za kazi nchini kwa kumfanyisha kazi msaidizi wake (PS) wa ofisi yake Bunge kwa miaka kumi bila mkataba na kumlipa fedha taslimu shilingi laki mbili tu (200,000) kama mafao. Naibu Waziri, Mahanga anakuwa kiongozi wa kwanza kuingia kwenye kashfa akiwa madarakani tena

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>