Mtangazaji wa Kipindi cha Ala za Roho kutoka Clouds Fm ‘The
people’s Station’ leo kwenye akaunti yake ya Instagram amepost picha
ikiwa na maneno haya chini.
"Natangaza
nia ya kugombania ubunge 2015 na kuingia kwenye siasa rasmi 2015,Kama
mwanasiasa kijana nina mengi ya kusaidia Taifa na jamii inayotuzunguka
yenye vijana wengi,i want to inspire and motivate and i want my voice to
be
↧