Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Safari ya Rais Jakaya Kikwete nchini Oman yazaa matunda

$
0
0
  SAFARI ya Rais Jakaya Kikwete nchini Oman imezaa matunda baada ya ujumbe wa wafanyabiashara wa nchi hiyo kutua nchini jana.   Lengo la ujumbe huo uliowakilishwa na watu 19 wakiwemo waziri mwenye dhamana wa nchi hiyo ni kuzindua Baraza la Ushirikiano wa Oman, Tanzania kwa masuala ya biashara ( JBC).   Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa baraza hilo, Evarist

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>