SAFARI ya Rais Jakaya Kikwete nchini Oman imezaa matunda baada ya ujumbe wa wafanyabiashara wa nchi hiyo kutua nchini jana.
Lengo la ujumbe huo uliowakilishwa na watu 19 wakiwemo waziri
mwenye dhamana wa nchi hiyo ni kuzindua Baraza la Ushirikiano wa Oman,
Tanzania kwa masuala ya biashara ( JBC).
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa baraza hilo,
Evarist
↧