Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Ali Mohamed
Shein akikagua gwaride la heshima wakati wa kilele cha sherehe za miaka
50 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Uwanja wa Amani Abeid Karume leo
Januari 12, 2014.Vijana
wakiachia njiwa kama alama ya amani wakati wa kilele cha sherehe za
miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Uwanja wa Amani Abeid Karume
leo
↧