Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

KATIBU KATIKA CHAMA CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) ASIMAMISHWA

$
0
0
 Kamati ya utendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, imemsimamisha Katibu wake, Jordan Membe, kwa madai ya kwenda kinyume na katiba ya Chama.   Habari kutoka wilayani humo zilizothibitishwa na uongozi wa chama hicho, ngazi ya wilaya na ile ya mkoa, zinaeleza Membe amesimamishwa kutokana na kukiuka maadili ya uongozi, ikiwa ni pamoja

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>