RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kutangaza majina ya mawaziri watano
mapema wiki hii,taarifa za ndani kutoka Ikulu ya Rais Kikwete iliyonaswa
na Habarimpya.com zinaeleza kwamba, zoezi hilo limepangwa kufanyika
mapema wiki hii kabla ya Rais kuanza zoezi la kuteuwa wabuge wa bunge la
Katiba.
"Rais anamajukumu mengi sana ya kitaifa kipindi hiki na moja ya majukumu
yake ni kufanya
↧