Serikali
ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Rasimu ya Mahakama ya Kadhi
imekamilika na inatazamiwa kuwasilishwa katika ngazi za makatibu wakuu
kabla ya kufikishwa kwenye Baraza la Mapinduzi.Waziri wa Sheria
na Katiba, Abubakar Khamis Bakary, alisema jana kuwa Rasimu hiyo ambayo
inasubiriwa kwa hamu na makundi ya watu wakiwamo wanaharakati baada ya
kupata baraka za Baraza la Mapinduzi
↧