Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowasa amewataka waendesha
bodaboda na watu wengine wasimwite Rais kwa sababu wanamtengenezea chuki
na uhusiano mbaya na watu.
“Mbona mnataka kuniletea uchuro! Mnanitengenezea
ugomvi na watu jamani…,” alisema wakati akizindua Shirikisho la Bodaboda
Tanzania jana kwenye Viwanja vya Leaders, Dar es Salaam.
Lowassa
↧