HOTUBA YA MH ZITTO Z. KABWE - KIGOMA – 21 DESEMBA 2013
Leo nina furaha kubwa sana kwani baada ya safari ndefu na yenye
changamoto nimerudi nyumbani kuwasalimu wananchi wenzangu! Na hii si
salamu za kawaida bali nawasalimu kwa salaam za demokrasia, uadilifu,
uzalendo na uwajibikaji.
Nawasalimu si kama mbunge bali kama mwana wenu wa Kigoma! Na popote
niendapo najivunia kujitambulisha
↧