Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Aibu: Padri wa kanisa Katoliki afikishwa mahakamani mkoani Singida baada ya kushindwa kumtunza mwanae aliyezaaa na mhudumu wa kanisa

$
0
0
  KANISA Katoliki limeingia kwenye kashfa baada ya mmoja wa mapadri wake katika Jimbo Katoliki Singida, Deogratius Makuri kufikishwa kwenye Mahakama ya Mwanzo Utemini mjini Singida, akituhumiwa kushindwa kutunza mtoto wake mwenye umri wa mwaka mmoja.   Mbele ya Hakimu wa Mahakama hiyo, Ferdinand Njau, ilidaiwa, kuwa Padri Makuri alikuwa na uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu na Maria

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>