Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mganga wa Diamond aibuka tena, asema Diamond ameanza kushuka, aapa hatakufa kabla hajamuona akifulia....Bofya hapa umsikilize akiongea kwa uchungu

$
0
0
Mtu mmoja anayedai kuwa mganga aliyemtoa mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz ameibuka tena na kueleza kuwa Diamond Platinumz tayari ameanza kushuka kimuziki kama alivyosema awali.   Mtu huyo anayejitambulisha kwa jina la Dr. Yahya Michael ameuambia mtandao wa mamuafrica kuwa kile alichokisema mwanzo kuwa Diamond Platinumz atashuka kimuziki na kurudi pale alipokuwa kimeanza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>