Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mr. Nice apata shavu jipya la kufanya filamu na kampun ya VAD Film Production ya Dernmark.....

$
0
0
  Msanii  mkongwe  wa  mziki  nchini  Tanzania  maarufu  kwa  jina  la  Mr. Nice  amepata  shavu  jipya  la  kufanya  filamu  moja  na  kampuni  ya  VAD Film Production ambayo   ni  kampuni  ya  kiafrika  maarufu  kwa  ajili  ya  waafrika wanaoishi nchini Denmark wakiwa wamejikita katika utengenezaji wa filamu kwa kutumia Lugha ya Kiswahili...        Hapa  akiwa na maojiano na dada

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>