Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mazishi ya Nelson Mandela yanaendelea hivi sasa kijiji cha Qunu katika mkoa wa Eastern Cape

$
0
0
Mazishi ya Nelson Mandela yanaendelea katika kijiji cha Qunu katika mkoa wa Eastern Cape na kumaliza wiki moja ya maombolezi ya shujaa wa Afrika mwendazake Nelson Mandela.   Takriban watu 4,500 wakiwemo wageni wa kimataifa wanahudhuria mazishi hayo ambayo ni ya mchanganyiko wa tamaduni za kale na mambo ya kisasa.   Familia ya Mandela ilikesha wakijiandaa kwa mazishi ya leo huku

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>