Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mbowe aikanyaga ardhi ya jiji la Mwanza.....Leo atakuwa na mkutano wa hadhara katika maeneo ya chuo kikuu cha SAUT

$
0
0
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, leo anatarajiwa kufanya mkutano wa hadhara utakaofanyika viwanja vya Malimbe, katika maeneo ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT), jijini Mwanza.     Mkutano huo ni mwendelezo wa harakati za kujenga na kuimarisha chama, ambapo Katibu Mkuu wa CHADEMA taifa, Dk. Willibrod Slaa kwa sasa yupo katika ziara

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>