Wema Sepetu amejikuta akijishushia heshma yake baada ya kutupia picha mtandaoni zikimuonesha akiwa
amevaa mavazi yaliyoacha wazi baadhi ya sehemu nyeti za mwili wake hasa matiti, kitovu na kifua kwa ujumla..
Katika picha hizo ambazo zinapatikana instagram, Wema Sepetu anaonekana akiwa amevaa kiblauzi chenye matundu kiasi cha kuifanya sidiria aliyovaa ionekane huku
↧