Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Walionizomea na kunifanyia vurugu kule Kasulu wamefikishwa mahakamani".....Hii ni kauli ya Dr. Slaa

$
0
0
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, amesema kuwa vijana waliomfanyia fujo katika mkutano wake Wilayani Kasulu, wamefikishwa mahakamani kwa hatua za kisheria.   Hayo aliyasema juzi mjini Kigoma alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, uliofanyika katika viwanja vya Mwanga Center Kigoma mjini, uliohudhuriwa na mamia ya wapenzi wa chama hicho

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>