Imevuja kuwa mwanaume atakayetaka kumuoa staa wa sinema za Kibongo,
Elizabeth Michael ‘Lulu’ atalazimika kutoa si chini ya shilingi laki
nane (800,000) kama mahari ili kumuoa mwigizaji huyo.
Kwa
mujibu wa chanzo chetu, wanaume wengi wamekuwa
wakimendea kufunga ndoa na Lulu lakini wakashindwa njia za kumpata.
Ilidaiwa
kuwa kikwazo kikubwa wanachokutana nacho ni namna ya
↧