Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Je, unampenda Lulu Michael na unataka awe mkeo?....Kama jibu ni ndio basi andaa mahari ya sh. 800,000 ili ombi lako likubaliwe

$
0
0
Imevuja kuwa mwanaume atakayetaka kumuoa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ atalazimika kutoa si chini ya shilingi laki nane (800,000) kama mahari ili kumuoa mwigizaji huyo.   Kwa mujibu wa chanzo chetu, wanaume wengi wamekuwa wakimendea kufunga ndoa na Lulu lakini wakashindwa njia za kumpata.   Ilidaiwa kuwa kikwazo kikubwa wanachokutana nacho ni namna ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles