Rais Barack Obama wa Marekani leo amejikuta akipeana mkono na hasimu wake Raul Castro ambaye ni rais wa Cuba na pia ni mdogo wake na Fidel Castro...
Ilikuwaje....??
Rais Obama ni miongoni mwa marais waliokuwa wamechaguliwa kuzungumza wakati wa kuuga mwili wa mzee Mandela....
Kabla ya kushika kipaza sauti ili kutoa neno, Obama alianza kwa
↧