Muigizaji wa kike aliyefanya vizuri kupitia kundi la Kaole Sanaa
Group, Nuru Nassoro aka Nora amedai kuwa amekuwa akifanyiwa fitina na
muigizaji mwenzake Vicent Kigosi aka Ray kwa kuwa aliwahi kumtaka
kimapenzi akamkataa.
Nora amefunguka kupitia kipindi cha Filamonata cha 100.5 Times Fm na
kudai kuwa Ray amekuwa akimbania hata kwenye baadhi ya makampuni ambayo
anapeleka kazi
↧