Kuna wanaume ambao kwa kutokujua wanadhani mwanamke anachohitaji ni
‘fidia’ baada ya kuvunjiwa heshima, hivyo huwa wanawavunjia heshima wake
zao na baadae kujitoza ‘fidia’ kwa kuwanunulia zawadi kubwakubwa
wanawake hao.
Wanawake huwa wanapokea zawadi hizi, lakini hii haina maana kwamba ndoa
itaendelea kuwa ya amani na upendo. Mwanamke hata kama atapewa dhahabu
yote duniani, kama
↧
Mke asipopewa heshima hawezi kumthamini mumewe hata iwaje....Kwa stori kibao za mapenzi, BOFYA HAPA
↧