Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kamati ya Bunge yadai TAMISEMI ni sehemu ya mtandao wa ufisadi

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (Laac), imeilipua Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kwa madai ya kuwa sehemu ya Mtandao wa Ufisadi serikalini.    Tamisemi inaongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Hawa Ghasia anayesaidiana na manaibu waziri wawili, Aggrey Mwanry na Majaliwa Kassim Majaliwa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>