Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

TANESCO yajipanga kuanza kuuza umeme nje ya Tanzania ifikiapo 2016

$
0
0
Siku 7 tu baada ya shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kutangaza kumalizika kwa mgao wa umeme wa siku kumi kwenye baadhi ya mikoa, Kaimu Mkurugenzi mtendaji Tanesco Felchesmi Mramba amethibitisha kwamba shirika lake linatarajia kufanya biashara ya kuuza umeme nje ya Tanzania.    "Uwezekano wa kuuza umeme nje ya nchi upo, tunatarajia mwaka 2016 ndio tutaanza kuuza maana  kwa sasa ni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>