Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Waliohusika kuchoma moto ofisi za CHADEMA ni CHADEMA wenyewe"....Hii ni kauli ya jeshi la Polisi baada ya uchunguzi kukamilika

$
0
0
Polisi mkoani Arusha imekamilisha uchunguzi wake kuhusiana na kuungua kwa Ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kusema wanachama wa chama hicho ndio waliohusika.    Hata hivyo, Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amepinga kauli hiyo na kulipa jeshi hilo siku nne kuwakamata na kuwahoji watuhumiwa watano baada ya kulipatia majina hayo akidai kuwa ndio

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>