Idadi
ya watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana
imeongezeka kwa kati ya asilimia 20 na 23 baada ya Baraza la Mitihani la
Taifa (Necta), kufanya marekebisho alama za viwango vya ufaulu,
Mwananchi limebaini.
Habari ambazo gazeti hili imezipata zinasema matokeo hayo ambayo
yamewezesha kiwango cha ufaulu kupanda na kufikia asilimia kati ya 54 na
57, huenda yakatangazwa
↧