WAKATI
kesi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare
ikitarajiwa kusikilizwa leo Mei 27 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
Kisutu, Kesi ya msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Judith Wambura (Lady
JayDee) pia inatarajia kusikilizwa tarehemu hiyo katika Mahakama ya
Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Kesi
hizo zinatarajia kuvuta hisia za watanzania kutokana
↧