Siku zote mwenye kiu iliyopitiliza
akipewa maji ya kunywa hutamani atumie jagi zaidi ya kikombe anachowekewa maji,
ndivyo ilivyomtokea mrembo Karrueche Tran aliyetoswa mwaka jana na Chris Brown
aliyemchagua Rihanna dhidi yake wakati mrembo huyo akiwa na moyo uliojaa
mapenzi na maumivu ya kulikosa penzi la ‘turn up the music singer’..
Sasa
alipopewa nafasi tena ameamua
↧