SIKU chache baada ya Serikali kuahidi
kusaka kokote duniani wachochezi wa vurugu za Mtwara, Chama cha Wananchi
(CUF) kimeibuka na kudai hakihusiki.
Chama hicho kimedai kupata taarifa ya
kuwapo mpango wa kukamata viongozi wa CUF na kuuaminisha umma kuwa ndio
wahusika wa kuchochea, kupanga na kufanya vurugu za Mtwara.
Hayo yalielezwa jana na Mwenyekiti wa
chama hicho, Profesa
↧