Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CUF YAKANUSHA KUHUSIKA NA UCHOCHEZI WA VURUGU ZA MTWARA

$
0
0
SIKU chache baada ya Serikali kuahidi kusaka kokote duniani wachochezi wa vurugu za Mtwara, Chama cha Wananchi (CUF) kimeibuka na kudai hakihusiki. Chama hicho kimedai kupata taarifa ya kuwapo mpango wa kukamata viongozi wa CUF na kuuaminisha umma kuwa ndio wahusika wa kuchochea, kupanga na kufanya vurugu za Mtwara. Hayo yalielezwa jana na Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>