Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CHADEMA wadai kuwa Zitto Kabwe ni Muongo na Mzushi....Kamati kuu yajipanga kutoa ufafanuzi

$
0
0
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, Dk. Kitila Mkumbo, ni waongo na wazushi. Katika kikao chake cha dharura kilichokutana jana, ikiwa ni siku moja baada ya Zitto na Dk. Kitila kuzungumza na waandishi wa habari, Kamati Kuu ya chama hicho, imesema taarifa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>