CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema aliyekuwa Naibu
Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati
Kuu ya chama hicho, Dk. Kitila Mkumbo, ni waongo na wazushi.
Katika
kikao chake cha dharura kilichokutana jana, ikiwa ni siku moja baada ya
Zitto na Dk. Kitila kuzungumza na waandishi wa habari, Kamati Kuu ya
chama hicho, imesema taarifa
↧