Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Kufukuzwa kwa Zitto Kabwe kumefunika maovu mengi yaliyokuwa yamepangwa kufanywa na CHADEMA dhidi yake"...Hii ni kauli ya mama yake mzazi

$
0
0
Siku moja baada ya Kamati Kuu ya Chadema kumvua uongozi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Taifa wa chama hicho, Zitto Kabwe, mama yake mzazi, Shida Salum ametoa ya moyoni akieleza kuwa kilichomkuta mwanaye kimefunika mabaya mengi yaliyopangwa afanyiwe.    “Kwa upande wangu naona kama ni ushindi kwa Zitto kutokana na jinsi ninavyojua hali ilivyo, mambo yalikuwa ni mengi mno na nikwambie tu,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>