Siku moja baada ya Kamati Kuu ya Chadema kumvua uongozi
aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Taifa wa chama hicho, Zitto Kabwe, mama yake
mzazi, Shida Salum ametoa ya moyoni akieleza kuwa kilichomkuta mwanaye
kimefunika mabaya mengi yaliyopangwa afanyiwe.
“Kwa upande wangu naona kama ni ushindi kwa Zitto
kutokana na jinsi ninavyojua hali ilivyo, mambo yalikuwa ni mengi mno na
nikwambie tu,
↧