Mchawi wa rhymes, Profesa Jay amesema hakujiunga na CHADEMA ili mwaka 2015 awanie ubunge kama wengi wanavyodhani.
Rapper huyo wa ‘Machozi, Jacho na Damu’ ambaye jina lake halisi ni
Joseph Haule, ameliambia gazeti la Mwananchi la leo kuwa amejiunga na
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ili kukisaidia chama katika
changamoto za kuikomboa nchi.
“Kujiunga na
↧