Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Hakuna sheria inayomlazimisha Kikwete asisaini mswada wa sheria...Maandamano ya wapinzani hayatasaidia kitu"..Chikawe

$
0
0
Waziri wa Katiba na Sheria, Mathis Chikawe amesema Rais Jakaya Kikwete hana mpango wa kuongeza muda wa uongozi wake baada ya 2015 kama baadhi ya wanasiasa wanavyodai.  Kadhalika, waziri huyo amesema hakuna sheria inayomlazimisha Rais kusaini muswada wa sheria yoyote inayopitishwa na Bunge na wala inayoweka muda maalumu wa kutekeleza wajibu huo.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>