Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya March 12


Kisa picha ya Mwanae,Mama Kanumba Amwaga Machozi Standi.

$
0
0
Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba ameshangaza wengi baada ya kuanza kumwaga machozi  katika moja ya stand zinazojaza watu jijini dar baada ya kuona bango lenye picha ya mtoto wake katika maeneo hayo.

Mama huyo ambae alishindwa kuzia hasira zake na kulia alisema kuwa mara nyingi amekuwa akiumia sana na kushindwa kujizuia kutoa machozi kila  anapoona picha au kitu chochote ambacho kinamkumbusha mtoto wake.

"Kila mara nimekuwa nikiziona picha za kanumba katika mabango , lakini sijui kwanini hii imenifanya nipatwe na uchungu na niishiwe na nguvu kabisa.-Alisema Mama Kanumba ambae anasema kuwa alikuwa akielekea maeneo ya segerea kwa ajili ya kyrekodi movie.

Kanumba alifariki miaka zaidi yamitano iliyopita baada ya kuuawa na mpenzi wake (Lulu Michae) waliokuwa na mtafaruku na kusababisha mauaji yake pindi walipokuwa wakizozana.Hata hivyo Lulu alihukumiwa kifungo cha miaka miwili gerezani baaada ya kukuta na hatia ya kuua bila kukusudia.

Madam Florah Amjibu Emmanuel Mbasha Kuhusu Kumnyima Mtoto.

$
0
0
Msanii wa nyimbo za injili nchini , Madam Florah ambae hapo awali alikuwa akijulikanakana Florah Mbasha ameamua kumjibu mzazi mwenzie , ambae pia alikuwa mume wake wa ndoa Emmnanuel Mbasha kuhusu lawama zake alizokuwa amemtupia katika mtandao wa instagram siku ya wanawake duniani kuhusu kumnyima kumuona mtoto.

Madam Florah ameieleza Global Publisher kuwa hawezi kuzungumzia maswala nyeti kama hayo katika mitandao ya kijamii, wala katika vyombo vya habari juu ya swala hilo kwa sababu hata kama Emmanuel aliruhusiwa kumuona mtoto  na mahakama lakini hakuruhusiwa na mahakama hiyo kuandika instagram,kwaio hawezi kuyasema hayo  huko.

 "Siwezi kuzungumzia hilo swala katika vyombo vya habari hata siku moja,hilo swala ameliongelea instagram na mimi ningelitolea instagram, na ukweli hamuujui ila sisi ndio tunaujua ukweli.na kama mahakama iliamua hivyo na yeye kaamua kuandika instagram basi sawa  acha aandike ila siwezi kuliweka wazi.

Emmanuel Mbasha na Flora walibahatika kupta mtoto moja kipindi cha ndoa yao , lakini walipokuwa wanapeana talaka mahakama iliamuru mtoto akae na mama yake kutokana na umri wa mtoto na baada ya hapo Madam Florah aliamua kuolewa na mwanaume mwingine.

Hivi siku za karibuni emmanuel alifunguka katika mitandao ya kijamii na kusema kuwa mama wa mtoto huyo amekuwa akikaidi agizo la mahakama la kumruhusu yeye kumuona mtoto na kusema kuwa hana njia nyingine yoyote ya kumtumia  ujumbe Florah zaidi ya hiyo ya instagram.

Serikali yaiunda upya Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali

$
0
0
Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi amesema Serikali imefanyia mabadiliko Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kuanzisha Ofisi nyingine mbili mpya kwa lengo la kuongeza Tija na Ufanisi katika utendaji kazi.

Prof Kabudi alikuwa akizungumza na watendaji wa Wizara na Taasisi zinazounda sekta ya Sheria nchini makao makuu ya Wizara mjini Dodoma ambao wanakutana mjini humo kujadili na kuandaa makadirio ya Bajeti ya Wizara na Taasisi zake.

Prof. Kabudi amesema uundwaji wa Ofisi mbili mpya za Ofisi ya Taifa ya Mashitaka na Ofisi ya Wakili Mkuu unafanya sasa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kubaki na jukumu lake la msingi la kuishauri Serikali katika masuala yote ya kisheria, kufanyia uhakiki mikataba ya kitaifa na kimataifa na kuratibu wanasheria wote walioko katika Wizara, Idara za Serikali zinazojitegemea, Wakala, Mamlaka, Mashirika ya Umma na Serikali za Mitaa.

Amesema Ofisi ya Taifa ya Mashitaka sasa itajikita katika uendeshaji wa mashitaka ya jinai mahakamani ikiwa na wanasheria wake wakati Ofisi ya Wakili Mkuu kupitia wanasheria wake itajikita katika uendeshaji wa mashitaka ya madai ya kitaifa na kimataifa, utatuzi wa migogoro kitaifa na kimataifa na ushughulikiaji wa mikataba ya kitaifa na kimataifa ambayo taasisi za umma zinaingia kwa niaba ya nchi.

Amewataka watumishi wa umma ambao ni wanasheria kuwa tayari na kujipanga kutokana na mabadiliko hayo ambayo yatasababisha uhamisho wa kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine ili kuyatekeleza kwa vitendo yale yote yanayotarajiwa kupatikana baada ya mabadiliko hayo.

Amesema serikali imefikia uamuzi huo ili kuweza kufanikisha azma ya kuwaweka pamoja wanasheria wote na kuwaratibu ili kujua nani yuko wapi na anafanya nini n a kuongeza kuwa wanasheria hao sasa watawajibika kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye atakuwa na jukumu la kumpeleka mwanasheria yoyote atakayemuona anafaa kufanikisha jambo jema la Serikali.

“Wakuu wa Idara na Vitengo vya Sherioa katika mashirika makubwa ya umma na ambayo Serikali imetoa mabuiloni ya fedha zake ili kuyaendesha wataangaliwa na mwanasheria mkuu na kama akionekana hakamilishi lengo la kuwepo katika ofisi husika basi mara moja atapelekwa mwingine mwenye uwezo wa kuisadia Serikali,” alisema Prof Kabudi.

Akizungumza katika kikao hicho Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Alderaus Kilangi amewataka watendaji wa ndani ya Sekta ya Sheria kufanya kazi kama timu moja ili kuweza kurejesha imani ya wananchi kwa wataalamu wa sekta hiyo ambayo inapaswa kutoa mchango mkubwa katika maendeleo ya Taifa.

“Niwaombe wanasheria wenzangu tuwe timu moja na tufanye kazi zetu kwa weledi na ufanisi mkubwa ili kuhakikisha maendeleo ya kweli ya nchi yanafikiwa, ni kweli kama sekta tulianza kupoteza mwelekeo, tuyachukulie maboresho haya ya miundo ya Ofisi zetu kama chachu ya kuleta tija na ufanisi katika kazi zetu,” alisisitiza

Mkutano huo ulihudhuriwa na watendaji wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mahakama ya Tanzania, ofisi ya Mwendesha Mashtaka, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Tume ya Kurekebisha Sheria,Wakala wa Ufilisi na udhamini (RITA), Tume ya Utumishi wa Mahakama, Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo( Law School) Chuo cha Uongozi wa Mahakama
Lushoto.

Rais Nkurunzinza atangazwa kuwa kiongozi wa maisha CNDD/FDD

$
0
0
Chama tawala nchini Burundi CNDD/FDD kimemtangaza Rais Pierre Nkurunzinza kama kiongozi mkuu wa kudumu au kiongozi wa milele ndani ya chama hicho.

Uamzi huo umefikiwa baada ya vikao vya siku tatu vya mkutano mkuu wa chama hicho uliofanyika katika eneo la Buye anakozaliwa Bwana Nkurunziza Kaskazini mwa nchi hiyo.

Uamuzi huo pia unachukuliwa wakati Burundi inajiandaa kufanya marekebisho ya katiba ili kumruhusu Rais Nkurunzinza kuendelelea kuongoza taifa hilo hadi mwaka 2034.

Taaarifa fupi ya chama cha CNDD/FDD imesema vikao hivyo vilinuwia kuimarisha chama tawala na taasisi zake.

Lakini pia chama hicho tawala kimechukua uamuzi wa kumuongezea hadhi na kumpa cheo cha juu Rais Nkurunziza na hivyo kumtangaza kuwa ni kiongozi mkuu wa kudumu ndani ya chama.

Kwenye hafla na makundi ya utamaduni ya chama tawala, katibu mkuu wa CNDD/FDD Bwana Evariste Ndayishimiye aliutangazia umati azimio hilo alolitaka kuwa ni muhimu mno katika uhai wa chama tawala.

Tangazo hili la chama tawala CNDD/FDD kumfanya Rais Nkurunzinza kama Kiongozi Mkuu wa Kudumu linajiri wakati Burundi inajiandaa kwa kura ya maoni kuhusu Marekebisho ya Katiba baadae mwezi Mei. Kati ya mambo mengi katiba hiyo ikipitishwa itamuwezesha Rais Nkurunzinza kuweza kuwania Urais mpaka mwaka wa 2034.

Wadadisi wengi wa siasa za Burundi wanaamini kuwa hatua hii ya chama tawala inanuwia kumalizia mapema mjadala wa mtetezi wa kiti cha Urais kwa niaba ya Chama hicho na kuonyesha mustakabali wa uongozi kabla hata uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2020.

Lakini pia uamzi huo unapeleka ujumbe kwa wafuasi wa CNDD/FDD na haswa viongozi wenye nia pengine ya kuwania nafasi hiyo na hivyo kujaribu kukiepusha chama tawala na mpasuko kama ilivyotokea mwaka wa 2015 katika mzozo kuhusu muhula wa sasa wa Rais Nkurunzinza.

Isitoshe kwa Wachanganuzi wa siasa za bado wanaiona hatua hii ya Rais Nkurunziza kutangazwa Kiongozi wa maisha kama dalili tosha ya jinsi kiongozi huyo alivyokidhibiti chama cha CNDD/FDD.

Chanzo: BBC Swahili

Kiongozi Mwingine wa Baraza la Vijana CHADEMA Ajiuzulu

$
0
0
Naibu Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), Gertrude Ndibalema amejiuzulu wadhifa huo kuanzia jana Machi 11,2018.

Gertrude aliyeshika wadhifa huo tangu mwaka 2014 ametangaza kujiuzulu kupitia taarifa kwa umma akidai anabaki kuwa mwanachama ili kutimiza majukumu yake binafsi.

Gertrude ni kiongozi wa pili wa ngazi ya juu Bavicha kujizulu akitanguliwa na aliyekuwa mwenyekiti wa baraza hilo, Patrobas Katambi aliyejiunga na CCM.

Urusi yafanya jaribio la Kombola lisilozuilika

$
0
0
Urusi imesema kuwa imefanikiwa kufanya jaribio la kombora lisiloweza kuzuilika ambalo ni miongoni mwa makombora yaliyotangazwa na Rais wa nchi hiyo, Vladmir Putin katika kampeni zake.

Wizara wa ulinzi ya Urusi imeonyesha video ambayo ilikuwa ikionyesha kombora hilo likifyatuliwa kutoka kwenye ndege ya kivita.

Kombora hilo liitwalo  Kinzhal limeelezwa kuwa linaweza kusafiri mara kumi ya kasi ya sauti na linaweza kufika hadi kilomita 2,000 ambapo pia  haliwezi kuonekana katika rada za kijeshi.

Hata hivyo, hatua hiyo ya jaribio la silaha hiyo ya nyuklia imefanyika ikiwa ni utekelezaji wa sera ya rais wa nchi hiyo, Vladimir Putin ambaye anatarajiwa kuchaguliwa tena kuendelea kuiongoza nchi hiyo hivi karibuni.

Kama sehemu ya hotuba yake kwa taifa ya tarehe mosi mwezi hu, Putin alicheza kanda ya video ambayo ilionyesha  mvua ya makombora  yakitua katika jimbo la Florida nchini Marekani.

Marekani ilijibu ikisema tabia hiyo haikupaswa kufanywa na taifa kama Urusi

Okoa Ndoa Yako Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Tiba Asilia Itokanayo Na Mizizi Na Magamba Ya Miti Shamba:

$
0
0
Kwa utafiti mkubwa uliobainika wanaume asilimia 70 wanaupungufu wa nguvu za kiume NA maumbile madogo 

NA ndio chazo kikubwa kinachosababisha ndoa au mahusiano mengi kuvunjika .Mwanaume anatakiwa awe na uume mrefu kuazia nchi 5,6,7,au 8 vinginevyo mwanaume huyo atakuwa na upungufu  wa vichocheo hivi HORMONES ZA GETROGEN

Tumia dawa YA MWIMALA huboresha uume wako saizi upendayo

SHAFTI POWER ni dawa ya nguvu za kiume hutibu matatizo matatu kwa pamoja;
1 kushindwa kurudia tendo na mwili kuchoka 
2 kuwahi kufika kileleni 
3 kulegea kwa misuli na uume, kusinyaa 

Tunatibu presha, fangasi, busha bila kupasua, vidonda vya tumbo, kisukar,i kutopata choo, magonjwa ya moyo, kupooza viungo, ngiri,

Tunapatika mbagara karibu na amana benki kwa wateja wa mwanza na mikoa jirani yupo wakala wetu au wasiliana nami DR MFAUME SIMU NO 0789234653. HUDUMA IZI UTAZIPATA POPOTE ULIPO

Wabunge wa CCM Wamwahidi Ulinzi Rais Magufuli

$
0
0

Rais Magufuli ameahidiwa  kupewa ulinzi kwa gharama yoyote ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi kwa sababu wanajua nia na dira ya wapi Rais huyo anataka kulipeleka taifa.

Ahadi hiyo ya ulinzi imetolewa na Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu kwa niaba ya wabunge wengine  ambapo amesema kuwa wao kama wabunge wa CCM wapo tayari kushughulika na chokochoko zinazofanywa na watu mbnalimbali kuathiri utendaji wa kiongozi huyo.

"Chokochoko za maneno zinazofanywa na watu ndani na nje ya chama, Wanasingida tunataka tukuhakikishe siyo wapiga kura wetu tu, hata kuku wetu hawatafanya maandamano. Hili ninakuhhakikishia kwa sababu mimi nikiwa kama Mbunge, na muwakilishi wa wananchi na na kiongozi ambaye ninayefahamu dira unayotaka kulipeleka taifa letu nataka nikuhakikishie utashinda vita hii,"Mh. Kingu.

Aliongeza ''Tutahakikisha mwenendo salama unaolinda heshima ya Rais ndani ya bunge na nje ya bunge, Chokochoko za upinzani ziko ndani ya uwezo wetu. Mh. Rais fanya kazi kwa ukitambua mbele yetu wewe,nyuma yako sisi.''

Aidha Kingu alisema kwamba Rais Magufuli anatakiwa kulindwa kwa sababu ameifuta nchi aibu kubwa ambayo mpaka mataifa madogo yalikuwa yakiicheka Tanzania, yeye ameifuta ikiwa ni pamoja na kufufua shirika la ndege lilokwa limekufa lakini pia kutekeleza miradi mikubwa kwa pesa kidogo tofauti na nchi jirani walivyotumia gharama kubwa katika miradi kama hiyo.

TANGA RAHA- Sehemu ya Ishirini na Nane ( 28 )

$
0
0
AGE………………18+
WRITER…………EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

Gafla nikahisi kitu kiki nikuvutwa mguu kwa nyuma na nikageuza sura yangu nyuma kwa haraka kuangalia ni nini kilicho nigusa sikuona kitu cha aina yoyote na kujikuta nikitumia nguvu kujivuta mbele na kitu hicho kikaniachia na kustukia nikipoteza muhimili wa mwili wangu na kujikuta nikilala kwenye sehemu laini(signboard) ya juu kwenye chumba changu ambayo haiwezi kuhimili uzito wa mwili wangu na kujikuta nikipitiliza moja kwa moja na kuanguka chini ndani ya chumba changu na kutoa kishondo kizito

ENDELEA
Kufumba na kufumbua sikuona mtu yoyote ndani ya chumba changu zaidi ya Rahma aliye lala kitandani akiwa hajitambui na nikasikia kelele na vishindo vya wanandugu wa Rahma sebleni kila mmoja akijaribu kuokoa maisha yake nikajua kwamba hawakutarajia kuuona uwepo wangu ndani ya chumba changu tena kwa mfumo huu wa kuanguka kutoka darini.Nikanyanyuka japo sehemu ya mbavu za kushoto ninahisi maumivu makali ila nikajikaza na kuchungulia mlangoni  sikuona mtu yoyote akitokea sebleni.Kwa haraka nikaingia jikoni kwangu na kuchukua kifuko cha unga wa ngano na kujimwagia unga wote mwilini mwangu na nikausambaza vizuri usoni mwangu.Nikachungulia sebleni nikaona vivuli vya watu wawili wakiwa wanakaribia kuingia ndani huku wakinyata wakitaka kuchungulia ni nini kilicho tokea

“Let’s go”(twendee)
Nilijisemea kwa sauti ya chini na kuchomoka kwa kasi jikoni huku nikitoa mlio wa pikipiki aina ya XL Baja na kuwafanya watu waliokuwa wakinyata mlangoni kukurupuka na kuanza kukimbia kurudi walipo tokea huku baba Rahma nikimpiga kikumbo getini na kumbwaga chini na kuwafanya wamama walio simama nje baada ya kuniona wakatawanyika kwa woga na kila mmoja akashika njia yake na kusababisha nao pia kuapiga kelele.

Breki ya kwanza nikasimama ndani ya maji kwenye fukwe almaarufu kwa jina la JET na sikujali watu wamenichukuliaje.Japo kuwa siwezi kuogelea vizuri ila ikanibidi nipate ujuzi wa kupiga mbizi na kwenda mbali kidogo na ufukwe ulipo na nikakaa ndani ya maji huku nikiwa nimekiacha kichwa nje kwa ajili ya kuvuta punzi zaidi ya masaa manne hadi giza likatanda angani ndipo nikatoka ndani ya maji
Sikuwa na hamu ya kwenda nyumbini kwangu kwa maana nikahisi ni lazima watakuwa wananitafuta kwa udi na uvumba.Nikapiga mwendo hadi nyumbani kwa madam Zena huku nguo zangu zikiwa zimelowa.Nikagonga mlango kwa bahati nzuri akafungua madam Zena akiwa amevalia suruali na tisheti kubwa na akaonekana kunishangaa baada ya kuniona

“Ehhee Sir Eddy vipi mbona umelowaa?”
“Shosti wee acha tuu hembu twende tukayazungumzie ndani la sivyo yaliyo nikuta huko yasije yakanikuta na hapa”
“Ehee Eddy leo umeniita shosti......Haaahaaa kweli huko ulipo toka umevurugwa”
“Tena sijavurugwa kidogo...Nimevurugwa sana”
“Haya yaliyo kukuta ni yapi Shost yangu?”
Sikuwa na sababu ya kumficha madam Zena kwa maana endapo nikimficha ipo siku mambo yanaweza yakaniharibikia na akashindwa kunisaidia kabisa.Hadi na maliza kumsimulia Madam Zena akawa anacheka hadi machozi yanamtoka na kujikuta amekaa chini akiendelea kucheka
“E.....Eddy hapo kama ninakuona vile na hayo maunga yako”
“Wee nilikodi pikipiki ya Baja...yaani niliondoka na gia tatu badala ya moja au mbili na kwajinsi nilivyokuwa ninatisha hapakuwa na mganga wala hapakuwa na baba wa mtoto wote changu na mimi kiulaini nikasepe”
“Hii kali ya mwaka Eddy”
“Wee acha tuu najuta kuja Tanga?”
“Kwa nini?”

 

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 37 na 38 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA  

Nilizungumza hivyo huku nikishusha pumzi nyingi kwani ninahitaji kwenda kumtoa raisi kwenye gari aliloipo na kuondoka naye. Biyanka akaanza kufyatua risasi mfululizo, na kuwafanya washambuliaji kutulia kidogo, ikawa nafasi kwangu kukimbia hadi gari la raisi lilipo, kwa ishara nikamuomba afungue mlango wa gari lake kwa manaa pasipo yeye kuufungua kwa ndani mimi wa nje siwezi kuufungu. Raisi akafanya hivyo, japo ni jambo la hatari ila hakuna njia nyingine ya kufanya zaidi ya kufanya hivyo. Raisi akashuka huku kichwa akiwa amekiinamisha chini, nikaupitisha mkono wangu wa kulia kiunoni mwake, kitendo cha kugeuka na kumtazama K2 aliyopo upende wetu nyuma ya gari la raisi, nikakutana na uso wa bastola yake akiwa ameninyooshea mimi na raisi huku sura yake akiwa ameikunja akidhamiria kufanya hicho anacho kihitaji kukifanya kwa wakati huu.
      
ENDELEA  
K2 pasipo na huruma akafyatua risasi moja iliyo nifanya kuyafumba macho yangu nikiamini kabisa ninakufa kwa mkono wa K2. Ila sekunde kadhaa zikapita nikafumbua macho baada ya kuwana hakuna kitu ambacho kimetokea kwa upande wangu.

Nikamtazama raisi na kumkuta akiwa yupo hai, nikamtazama K2 nikakakuta akiendelea kupambana na wavamizi hawa, nikatazama nyuma yangu, kwa umbali kidogo nikamuona mvamizi mmoja aliye valia nguo nyeusi na kinyago cheusi usoni mwake akiwa amelalal chini anamwagika damu za kichwa. Hapo ndipo nikaielewa lengo la K2, kuninyooshea bastola yake kwani ameyaokoa maisha yangu na kama sio hivyo basi ningekuwa nimesha kufa.

Nikaongozona na raisi kwa mwendo wa haraka hadi kwenye gari letu. Raisi huyu ambaye ni feki na watu hawafahamu kwamba ni feki, akaingia kwenye gari nikamfungia mlango wa ndani. Tukaendelea kujibu mashabulizi huku kila mmoja jasho likimwagika kisawa sawa. Nikamuona K2 anaanza kupiga sarakasi za haraka hadi kwenye gari tulipo jificha mimi, raisi na Babyanka.
“Inabidi tuondoke hapa sasa hivi, watu wangu wote wamesha kufa”

K2 alizungumza huku akigema sana, kwani shuhuli tunayo ifanya sasa hivi sio ndogo, ni kufa na kupona pasipo kufanya hivyo basi maisha yetu yanakwenda kufa. Sote tukaingia kwenye gari huku nikijirusha kwenye siti ya dereva, kwa haraka haraka nikaanza kulirudisha gari nyuma huku risasi zikiendelea kurindima, kulifwata gari letu, cha kumshukuru Mungu gari yetu haiingii risasi na hii ndio pona pona yetu la sivyo miili yetu ingejaa risasi kutoka kwa wavamizi hawa. Nilaligeuza gari kwa kasi hiyo hiyo na likageukia kule tulipo tokea.

Nikakanyaga mafuta na kuanza kurudi tulipo tokea, ndani ya gari kila mtu akawa kimya nikamtazama raisi huyu feki nikamuona jinsi anavyo endelea kutemeka kwa woga. Tukiwa njiani tukapishana na gari za jeshi zikielekea eneo la tukio. Nikafika kwenye barabara ya bagamoyo inayo elekea Dar es Salaam, nikakunja kulia kwangu na kuendelea kuendesha kwa mwendo wa kasi japo nyuma yetu hakuna gari hata moja ambayo inatufukuzia.

    Masaa yakazidi kwenda mbio, hadi inatimu saa saba na nusu tukawa tumesha ingia jijini Dar es Salaam. Moja kwa moja tukaelekea ikulu, ambapo tukakuta pameimarishwa ulinzi mara dufu. Geti likafunguliwa baada ya askari kufika karibu ya gari letu, alipo muona raisi alituruhusu. Moja kwa moja nikaelekea kwenye maegesho ya gari za raisi. Tukashuka huku walinzi wengine wanne wakifika, karibu yetu nina imani taarifa ya kushambuliwa kwa msafara wa raisi ilisha tolewa ikulu. Moja kwa moja tukaelekea ndani na kumkuta raisi mwenyewe akiwa amesimama sebleni pamoja na viongozi wengine wakionekana wakiwa katika hali ya wasiwasi. K2 akastuka baada ya kumuona raisi halisi, aliye tufwata na kutupa mikono mimi na Babyanka.

“Hongereni sana vijana kwa kazi mulio ifanya”
“Asante muheshimiwa ni jukumu  letu”
“Pole bwana mdogo kwa kukuweka katika hali ya hatari”
“Ahaa kaka wewe acha tuu, wapo wapi wale madaktari wa kichina wanivue hii sura yako”
“Wapo watakuvuaa”
Raisi feki akaondoka na kuelekea katika vyumba vingine vilivyopo hapa ikulu na kutuacha na muheshimiwa raisi.
“Huyo ni mdogo wangu anaye nifwata mimi”
Raisi alizungumza huku akitutazama sisi, akatukaribisha na kukaa kwenye sofa za hapa sebleni, akawaomba viongozi wengine kuondoka akiwemo K2 ambaye hakujua ni mazungumzo gani muhimu ambayo mimi niliye chini yake nimebaki.
Baada ya mlango wa kutokea sebleni kufungwa raisi akashusha pumzi nyingi huku akitutazama kwenye nyuso zetu.
“Kimtazamo munaonekana kwamba mumechoka sana na pilika pilika za hapa na pale”

Sisafiri kwenda nje kwa sababu sio jimbo langu- Rais Dkt. Magufuli

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa anapokea mialiko mingi kutoka nje ya nchi lakini amesema hawezi kusafiri kwenda huko kwasababu sio jimbo lake.

Akiwa ametimiza siku 859 madarakani, Rais John Magufuli ametembelea nchi chache huenda kuliko watangulizi wake wanne.

Magufuli ametembelea Kenya, Uganda, Rwanda na Ethiopia katika kipindi chote cha utawala wake huku akitimiza miaka miwili, miezi minne na siku saba tangu aapishwe kuwa Rais wa Tanzania Novemba 5, 2015.

Huenda hilo lilimfanya jana atoe siri na sababu zinazomfanya asipende kusafiri mara kwa mara nje ya nchi.

Akiwa mjini Singida jana alikozindua kiwanda cha mafuta ya kupikia cha Mount Meru Millers Group, Rais Magufuli alisema amekataa zaidi ya mialiko 70 ya kwenda nje ya nchi kwa sababu hakuchaguliwa na Watanzania kwenda huko bali kuwatumikia.

“Nataka Tanzania yote niizungukie ndiyo maana sitaki kwenda nje, maana huko si kwenye jimbo langu, jimbo langu mimi ni Tanzania. Nimekataa mialiko zaidi ya 70. Niende nje kufanya nini wakati sijamaliza kutatua kero za wananchi.”

“Nataka nizitatue kero za wananchi walionipigia kura kwanza, walipanga foleni wakati wa mvua na jua kunichagua mimi na waheshimiwa wabunge,” alisema Rais Magufuli.

“Bado sijaenda, Iringa, Mbeya, Rukwa na sehemu nyingine, lazima nizunguke nchi yote kutatua kero za wananchi..” alisema.

Julai 4, mwaka jana, alisema alipata mialiko zaidi ya 60 kwenda nje ya nchi baada ya kuwa Rais, lakini aliikataa kwa sababu anataka kuishughulikia Tanzania kwanza.

Alisema hayo akiwahutubia wakazi wa Sengerema katika uzinduzi wa mradi wa maji.

Alisisitiza kuwa hana haja ya kwenda nje ya nchi kwa sababu bado ana mzigo mkubwa wa kumaliza ufisadi. “Niende nje kufanya nini wakati nitaenda tu nikishastaafu, nataka nimalize kwanza haya ya hapa ndani,” alisema pia mwaka jana mjini Sengerema.

Alipozungumza na watendaji mbalimbali wa Serikali Ikulu jijini Dar es Salaam Novemba 7, 2015, Magufuli alifuta safari za nje kwa watendaji wote wa Serikali na kusisitiza kuwa kama kuna ulazima, mhusika atapaswa kupata kibali kutoka kwa Katiba Mkuu Kiongozi.

Baadaye akizindua bunge la 11, Novemba 20 mwaka 2015, Magufuli alisema kuanzia mwaka 2013 hadi 2015, safari za nje zilikuwa zimeigharimu Serikali Sh356.3 bilioni.

Jana, Rais Magufuli katika uzinduzi huo wa kiwanda cha mafuta, aliagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kupandisha kodi kwa waingizaji wa mafuta ghafi ya chakula kutoka nje ya nchi.

Alisema hatua hiyo itawezesha wawekezaji wa ndani wa viwanda vya mafuta ya chakula kupata soko.

Rais Magufuli alitoa agizo hilo wakati ambao Serikali inafanya maandalizi kwa ajili ya bajeti ya mwaka wa fedha wa 2018/19.

Alisema anafahamu mchezo mchafu unaofanywa na waagizaji wa mafuta kutoka nje ya nchi ikiwa ni pamoja na kuua soko la ndani la mafuta ya chakula.

“Ninafahamu mchezo mchafu unaofanywa na waagizaji wa mafuta, wanapofanya hivyo lengo lao si kutengeneza soko la ajira bali ni kuua soko la mafuta,” alisema.

Rais Magufuli alisema, “wanachofanya wanaagiza mafuta kwa kisingizio kuwa ni crude oil (mafuta ghafi) yanayohesabika kama ni malighafi,” alisema.

Aliongeza kuwa, kwa kisingizio hicho, TRA na watu wengine hawawatozi kodi na wanapoyafikisha nchini waagizaji hao huyaweka kwenye madebe na kuyauza hivyo kutengeneza faida kubwa.

“Nataka mwaka huu... wabunge mko hapa na waziri uko hapa... na waziri wangu najua mnanisikia nataka mafuta hayo yanayoagizwa kutoka nje yatandikwe charge (gharama) kubwa sana,” aliagiza.

Alisema anafahamu waagizaji hao huwa wanajikusanya na kwenda bungeni kuzitembelea kamati za Bunge.

“Naomba wabunge na mawaziri msikubali lobbing (ushawishi) za namna hiyo, mnawaumiza wananchi,” alisema.

Rais Magufuli alisema mahitaji halisi ya mafuta ya chakula kwa mwaka ni tani 450,000 na nchi inazalisha tani 135,000 sawa na asilimia 30, huku asilimia 70 ya mafuta ikiagizwa kutoka nje.

Alisema wanapoagiza mafuta hayo wanatumia dola za Marekani, fedha ambazo zingeweza kutumika katika shughuli zingine.

Rais alisema mafuta ya chakula yanachukua nafasi ya pili ya bidhaa zinazoingizwa nchini kutoka nje.

“Lakini mtu wa kawaida angeweza kutuuliza kweli Tanzania tuna wajibu wa kuagiza mafuta, tutumie fedha yetu ya kigeni kununulia mafuta ya chakula?” alihoji.

“Mtu yeyote mwenye akili timamu atakushangaa, mimi ndugu zangu ni mtaalamu wa kutengeneza mafuta nimewahi kukaa viwandani ninafahamu mchezo mchafu wanaoucheza hawa waagizaji.”

Pia, alimuagiza Waziri wa Viwanda, Charles Mwijage akamweleze mwenzake wa Wizara ya Fedha, Dk Philip Mpango kuangalia namna wanavyoweza kuwapunguzia gharama za kodi wawekezaji wa viwanda vya ndani.

“Haiingii akilini kutoza Vat (Kodi ya Ongezeko la Thamani) na kutoza kodi zingine kwa mtu ambaye ana kiwanda hapa; anatumia umeme wa hapa, anatumia maji ya hapa, anatumia malighafi za hapa, ametengeneza mnyororo wa ajira mkubwa wa watu wa hapa,” alisema.

Aliongeza kuwa kiwanda kama hicho kitanunua umeme, hivyo Tanesco watachukua fedha na Wizara ya Maji pia itapeleka maji kwenye kiwanda.

“Yale maji yatalipiwa kodi na wakulima wataweza kuuza mazao yao na wafanyabiashara nao watapunguza gharama za kusafirisha bidhaa zao sababu kiwanda kipo karibu.”

Jipatie Tiba ya Asili ya Ngiri, Vidonda vya Tumbo,Kisukari na Nguvu za Kiume

$
0
0
Super nzoka IKEMEKO TRDITONAL clinic Ni dawa ya Asili ya vidonge iliyotengenezwa kwa techknojia ya kisasa na ubora wa hali ya juu 

Huongeza nguvu za kiume maradufu hata kwa wale wasiojiweza kabisa kufanya tendo la ndoa na wapo abao hata wakifanya hushindwa kutoa maji maji maji ambayo ndani yake kuna mbegu za kiume zinazotakitakiwa kurutubisha yai

Dawa hii huboresha na tunatibu nakumaliza matatizo haya kwa muda mfupi tu na haina madhara kwa mtumiaji yeyote hata wa umri wa miaka 80 na kuendelea.... inaongeza hamu, urijali kwa wanaoshindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Huanza kufanya kazi baada ya dakika 60 tu na kufanya uchelewe kufika kileleni dakika 20 kwa tendo la kwanza itakuwa unauhakika wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuhisi kuchoka 

SILYA; inakuza uume uliosinyaa kurefusha umbile dogo urefu inchi (6-9)na unene wa cm 4 za upenyo kwa wenye kasoro za kimaumbile na walioathiriwa na kupiga punyeto pamoja na matatizo ya kiafya

Tiba hii ni ya kudumu.Pia tunatibu ngiri ya kupanda na kushuka,tumbo kuuguruma chini ya kitovu ,kaswende kisukari ,maumivu ya mgongo, kiuno, kutopata choo vizuri na uvimbe kupitia njia ya mkojo, presha, vidonda vya tumbo

Wasiliana Nasi kwa namba;  0716343218 TUNAPATIKANA BUGURUNI SOKONI STENDI ya musanga

Tiba Asili ya Kuondoa Chunusi, Kupunguza Tumbo, Maziwa Makubwa na Nguvu za Kiume

$
0
0
Asilimia 90 ya wanaume hushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kiafya  kama vile kisukari, punyeto ambayo huathiri mfumo mzima wa wa misuli inayozalisha vichocheo ashiki , kutopata choo vizuri hali ambayo huchakiwa na kula chakula kisicho na asili,tumbo kuunguruma, kujaa gesi,kiuno kuuma, mgongo na miguu kufa ganzi

SUPER HOLO; Ni dawa itokanayo na miti shamba, ipo katika mfumo wa vidonge na unga. Hutibu na kumaliza tatizo la upungufu wa nguvu za kiume kwa muda mfupi tu.,SUPER HOLO hurudisha heshima ya ndoa, itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-30. Itakupa hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara 3. Pia itaimarisha misuli iliyosinyaa na kulegea. Dawa hii hutumiwa kwa watu wa umrii wa miaka 20- 80

NZOGIWE ni dawaya maumbile.Hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo urefu wa nchi 4-8 na unene wa sentimita 2-4 za upenyo

NZOGOMA ni dawa asili ya miti shamba, huboresha mbegu za uzazi...huzibua mirija na kusafiisha ili kuweza kushika mimba au kutia mimba.

Pia tunayo dawa ya kupunguza tumbo, unene, maziwa makubwa, kuongeza hips, makalio na kutoa chunusi

TUNAPATIKANA MTONI MTONGANI. KANA HAUNA NAFASI YA KUFIKA UTALETEWA ULIPO. WASILIIANA NA DR. MBUSI.  PIGA SIMU NAMBA:   0718 431222

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

SILYA: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0785 234 837  au 0656 551 093  au 0746473974

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

Dogo Janja afunguka sababu ya kupangiwa ratiba ya 'unyumba' na mkewe.

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dogo Janja ambaye ni mume halali wa muigizaji wa filamu bongo Irene Pancras Uwoya, ameweka wazi sababu za kupangiwa ratiba na mke wake huyo, jambo ambalo lilizua kizaa zaa baada ya kuiweka kwenye mtandao.

Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Dogo Janja amesema alishtuka baada ya kuona ratiba hiyo imebandikwa ukutani alipoamka, na kueleza sababu zake.

“Nilikuwa nimelala nimeamka nikakutana na ratiba kwenye ukuta, nikaangalia duh!! nikaipost insta. Unajua yule ni mshkaji wangu sana alikuwa ananitania, na yeye ndiye alianza kuipost, na kimvua hiki uniambie ratiba!!? Atadondoka mtu”, amesema Dogo Janja

Wawili hao walifunga ndoa ya kimya kimya jambo ambao wengi hawaamni mpaka leo kuwa ni wanandoa, na pia kutokana na tofauti ambazo wanaonekana wanazo za kiumri.

Spika Job Ndugai apangua kamati za Bunge

$
0
0
Spika Job Ndugai amefanya uteuzi wa wajumbe wa kamati za kudumu za Bunge.

Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo Machi 12,2018 inasema Spika amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa Ibara ya 96 ya Katibu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Taarifa hiyo imesema ibara hiyo imeweka wazi kwamba, Kanuni za Kudumu za Bunge zinafafanua muundo wa shughuli za Kamati za Bunge.

“Kwa msingi huo Kanuni ya 118 ya Kanuni za kudumu za Bunge, Toleo la Januari, 2016 imeweka Kanuni za Kudumu za Bunge zenye muundo na majukumu mbalimbali kama yanavyofafanuliwa katika nyongeza ya nane. Uteuzi wa wabunge kwenye kamati mbalimbali unaonekana utaratibu katika Kanuni ya 116.”

“Kanuni ya 116(1) inaweka utaratibu kwamba, ujumbe kwenye Kamati za Kudumu za Bunge utadumu mpaka mwisho wa Mkutano wa Kumi wa Bunge ambao ni nusu ya kwanza ya maisha ya Bunge,” anasema Spika Ndugai.

Katika uteuzi huo, wajumbe mbalimbali wamerejea katika kamati zao, wengine wakibadilishwa huku baadhi ya wenyeviti waliokuwa wakiongoza baadhi ya kamati wameondolewa.

 “Kwa mamlaka niliyopewa na Kanuni ya 115(3) na kwa kuzingatia vigezo vilivyoanishwa katika Kanuni ya 116(5) nimefanya uteuzi mpya wa ujumbe katika Kamati za Kudumu za Bunge. Wajumbe wa kila kamati wanawajibika kuchagua mwenyekiti na makamu mwenyekiti kwa mujibu wa Kanuni ya 116(10) kuwa viongozi wao,” amesema.

Mwili wa marehemu watelekezwa nyumbani kwa mwenyekiti wa mtaa

$
0
0
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Nyakabale wilayani Geita wametelekeza mwili wa marehemu nyumbani kwa mwenyekiti wa mtaa huu, Elias Ndarawa.

Ndarawa anatuhumiwa kutoshughulikia tukio la Zacharia Shaban kupigwa na polisi jamii hadi kufa.

Wananchi hao waliubeba mwili wa Zacharia na kuulaza kwenye kitanda cha mwenyekiti huyo.

Majaliwa Shaban ambaye ni ndugu wa marehemu Zacharia amesema leo Machi 12,2018 kwamba nduguye alipigwa Machi 5,2018 akiwa eneo la Mgodi wa Dhahabu Geita (GGM) akiokota mabaki ya mawe ya dhahabu maarufu magwangala.

Amesema Zacharia alipelekwa polisi alikokaa kwa siku sita na aliporudi uraiani hali yake ilikuwa mbaya.

Majaliwa amesema nduguye alipelekwa hospitali alikofariki dunia Jumamosi Machi 10,2018 na hadi sasa hakuna kiongozi aliyefika kwenye msiba huo wala kutoa kauli yoyote.

Mkazi wa mtaa huo, Johnson John amesema hawapo tayari kuzika hadi Serikali itakapotoa kauli kuhusu hatima ya maisha yao kwa kuwa polisi jamii wamekuwa wakiwapiga na kuwajeruhi.

Jana, Machi 11,2018 wananchi walivamia eneo la kituo cha polisi jamii kilichopo mtaa wa Manga na kukichoma moto kwa madai kwamba wamempiga na kumuua Zacharia

Rais Magufuli kuongoza mkutano wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC)

$
0
0
Baraza  la Taifa la Biashara (TNBC) limeandaa Mkutano wa 11 wa Baraza ambao utaongozwa na Rais John Magufuli wiki hii.

Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Raymond Mbilinyi, alisema jana kuwa mkutano huo unaonyesha dhamira iliyonayo serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Magufuli ya kuweka mazingira bora ya kufanya biashara na uwekezaji nchini.

“Mkutano huu wa Baraza ni muhimu sana sekta za umma na binafsi kwani unatoa fursa kwa pande mbili hizi kujadiliana namna bora ya kujenga mazingira ya biashara na kuvutia uwekezaji zaidi kwa manufaa ya Watanzania,” alisema Mbilinyi.

Alisema mkutano utafanyika tayari kukiwa na mafanikio makubwa chini ya awamu ya Tano ambapo viwanda zaidi 3,500 vikiwa vimeshaanzishwa katika kipindi kifupi tu cha uongozi wa Rais Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza.

“Huu utakuwa ni mkutano wake wa pili kuuongoza kama Mwenyekiti wa Baraza tangu achaguliwe kuwa Rais wa Awamu ya Tano. Mkutano wake wa kwanza umeleta mafanikio mengi katika sekta za umma na binafsi,” alisema na kuwa utafanyika Jumapili.

Mbilinyi alisema serikali ya awamu ya tano imesimamia mabadiliko mbalimbali yaliyolenga kuboresha mazingira ya kufanya biashara na kuhamasisha ujenzi wa uchumi wa kati na viwanda.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images