Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa alikuwa miongoni mwa maelfu ya
waombolezaji waliofika katika ibada ya kuaga mwili wa Balozi, Fulgence
Kazaura aliyefariki dunia mwishoni mwa wiki akiwa katika matibabu nchini
India.
Ibada hiyo ilifanyika katika Kanisa Katoliki la Mt
Peter, Oysterbay jijini, na kuhudhuriwa na viongozi wa chama na
Serikali, mabalozi mbalimbali Tanzania waliokuwa
Mamia wamuaga Balozi Kazaura jijini Dar es Salaam
↧
↧
Nakala ya pili ya Rasimu ya kanuni za Bunge la Katiba
Itakumbukwa kwamba tarehe 19 Februari 2014 Mwenyekiti wa Muda wa Bunge
Maalum Pandu Kificho aliteua Kamati ya Wajumbe ishirini yenye uwakilishi
wa makundi yote yanayounda Bunge Maalum kwa ajili ya kumshauri kuhusu
Rasimu ya Kanuni za Bunge Maalum.
Rasimu ya kwanza ya Bunge Maalum iliandaliwa na Kamati ya Maandalizi
chini ya Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano na Katibu wa Baraza la
↧
AJABU.......... Mwanamke mmoja mkazi wa Tanga akamatwa Pemba akiwa na Miharadati
picha na maktaba
Na Masanja Mabula, PEMBA — JESHI la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba,
linamshikilia mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Mwanaisha Kiyaka
Ayoub (30) mkaazi wa Pande Tanga na Chake Chake kwa tuhuma za
kupatikana na mafurushi ya bangi.
Akizungumza na mwandishi wa
habari hizi kwa niaba ya kamanda wa Polisi Mkoa huo, Mrakibu Mwandamizi
wa Polisi, Mlenge Mohammed
↧
Nape Nnauye awasha moto Shinyanga
Katibu wa NEC Itikadi na
Uenezi Nape Nnauye akiangalia matembezi ya mshikamano wakati yakiingia
uwanjani kabla hajaanza kuhutubia wakazi wa Shinyanga mjini.
Wakazi wa Shinyanga
mjini wakiwa na Furaha ya kuwakaribisha wanachama wapya ambao walikuwa
madiwani kwa kupitia Chadema ambao tarehe 25 walijiuzuru na tarehe 26
Februari 2014 kujiunga na CCM.
Zakaria Martin Mfuko
↧
Baby Madaha; Shiole hawezi nifikia mimi kwenye muziki...... yeye mcheza vigodoro tuu.......
Baby Joseph ‘Madaha’.
MSANII wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph ‘Madaha’ amemchana staa
mwenzake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kwa kumwambia ni mcheza muziki wa
uswahilini (vigodoro).
“Hivi huyu ana akili au matope, nimfuatefuate ana nini? Hebu aangalie
muziki wangu ninaopiga na wake. Yeye ni wa hapa hapa, mcheza vigodoro,”
alifunguka Madaha.
Zuwena
↧
↧
Taarifa ya Wizara kuhusu hali ya uzalishaji, upatikanaji, na uhakika wa chakula nchini
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA
Hali ya uzalishaji, upatikanaji na uhakika wa chakula nchini imeendelea
kuwa ya kuridhisha katika maeneo mengi ya nchi kufuatia mavuno mazuri ya
msimu wa kilimo wa 2012/2013 ambayo mazao yake yanaendelea kuingia
sokoni kutoka maeneo mbalimbali ya nchi.
Uzalishaji wa mazao ya chakula katika msimu wa kilimo wa 2012
↧
Kajala Massanja aponea chupuchupu kufa...... ni baada ya kunyweshwa sumu.....
STAA wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja amejikuta
katika hali mbaya kufuatia kunyweshwa sumu na mtu ambaye hakuweza
kufahamika mara moja.
Tukio hilo lilitokea usiku wa Jumapili
iliyopita maeneo ya Tegeta jijini Dar katika Klabu ya Seventy One ambayo
alikwenda kujiachia na marafiki zake.
Chanzo
cha uhakika, kilipenyeza habari kuwa, Kajala alinyweshwa sumu hiyo
kupitia
↧
Hii ni kauli ya msanii Diamond kuhusu wasanii wanaolazimisha kumtengenezea ugomvi
↧
Taarifa kuhusu kocha wa Taifa Stars kuachishwa kazi
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Kocha wa Taifa Stars,
Kim Poulsen wamekubaliana kuvunja mkataba katika makubaliano ambayo ni
siri kwa pande zote mbili.
Uamuzi huo ulitangazwa jana (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es
Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele
ya waandishi wa habari.
Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati
↧
↧
Wimbo Mpya:Shetta ft Diamond Platinumz-Kerewa
↧
"Nilianza kuvuta sigara ya kawaida, nikaja bangi na baadaye madawa ya kulevya....Ila kwa sasa nimeacha "....Banza Stone
Mwimbaji mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza
Stone’ amefunguka mazito juu ya matumizi mabaya ya bangi na madawa ya
kulevya ikiwa ni pamoja na jinsi alivyokuwa akiyatumia.
Akizungumza kupitia Kipindi cha Mtu Kati cha Global TV
mwanzoni mwa wiki hii, Banza alikiri kutumia madawa ya kulevya na
kusema; “Nilianza kuvuta sigara ya kawaida, nikaja bangi na baadaye
↧
Steve Nyerere ammwagia SIFA Lulu Michael.....Adai ni miongoni mwa wasanii wachache wa kike wasio na skendo chafu kwa sasa
Rais wa Bongo Movie Unit, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amemmwagia
sifa staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kuwa ni binti mdogo
lakini sasa anajitambua tofauti na wasanii wengine wakubwa.
Akiongea na mwandishi wetu alisema kuwa, mbali na umakini katika
kazi zake za kisanii, sasa hivi yuko makini sana na maisha yake kiasi
kwamba ni nadra sana kumkuta na skendo za
↧
Baada ya kusota rumande kwa takribani mwaka mmoja, hatimaye Viongozi wa Uamsho wapata dhamana
Baada ya kusota rumande kwa takribani mwaka mmoja na miezi minne,
viongozi 10 wa Jumuiya ya Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Uamsho) jana
waliachiwa kwa dhamana yenye masharti nafuu na kujumuika na familia zao.
Awali, viongozi hao walishindwa kutimiza masharti waliyopewa na mahakama
ambayo yaliwataka kutoa fedha taslim Sh. milioni 25, kuwa na wadhamini
watatu wakiwa ni watumishi wa
↧
↧
Homa ya nguruwe yalipuka tena jijini Mbeya na kuua zaidi ya 900......Wananchi waaswa kula KITIMIOTO kwa tahadhari kubwa
Ugonjwa wa homa ya nguruwe umelipuka tena mkoani Mbeya na kuua zaidi ya nguruwe 900 katika wilaya za Mbeya na Rungwe.
Mganga Mkuu wa Mifugo Mkoani Mbeya, Solomon Nong'ona akizungumza nasi jana alisema, ugonjwa huo umerudi tena baada ya kuzuka kwa mara
ya kwanza Januari mwaka huu na kutokomezwa.
Alisema kufuatia kuzuka tena kwa ugonjwa huo, serikali kupitia sekta ya
mifugo imepeleka
↧
Mwigulu Nchemba azindua rasmi kampeni za CCM Kalenga
Abdul Adam, Mtoto wa Spika wa Bunge wa zamani Chifu Adamu Sapi Mkwawa,
akimpongeza mgombea wa CCM katika Uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga,
Iringa Vijijini, Godfrey Mgimwa, wakati wa mkutano wa uzinduzi rasmi wa
kampeni za CCM uliofanyika Viwanja vya Ifunda, Februari 27, 2014.
Wananchi wakinyoosha mikono kuunga mkono kuwa mgombea wa CCM anafaa,
wakati wa mkutano wa uzinduzi rasmi wa
↧
Rais Kikwete azindua mtambo wa kuhakiki takwimu za Mawasiliano ya simu (Telecommunication Traffic Monitoring System)
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Mtambo wa Kuhakiki
Takwimu za Mawasiliano (Telecommunication Traffic Monitoring System)
February 27, 2014 katika jengo la Mawasiliano Towers jijini Dar es
salaam. Kulia ni Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Pro, Makame Mnyaa Mbarawa, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na
↧
January Makamba na Sugu washiriki kwenye wimbo wa hip hop wa kusisitiza sanaa kutambulika kwenye katiba mpya...
Kilio cha wasanii kuitaka katiba mpya kuitambua sanaa ya Tanzania
kama sekta rasmi kimepewa sapoti na Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi
na Teknolojia, January makamba na mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi
aka Sugu.
Kwa mujibu wa mtandao wa Bongo5, Makamba na Sugu wameshiriki kwenye
wimbo wa hip hop uliowahusisha rappers 13 wa Tanzania, wimbo wenye lengo
la kusisitiza sanaa
↧
↧
PNC afunguka baada Ostaz Juma kuweka picha na Video ikionesha anampigia magoti, Ostaz nae aleleza sababu ya kupost picha na video hiyo
Jumatano (February 26, 2014), Boss wa Watanashati Ostaz Juma alipost
picha kwenye ukurasa wake wa Facebook ikimuonesha PNC akimpigia magoti
kumuomba msamaha na kuandika “hahaha jamani mziki ni kazi pnc arudi
kuomba msamaha ili aendelee kufanya kazi mtanashati”. Kitendo ambacho
kilipondwa na wengi na kuonekana kama ni udhalilishaji.
Bonyeza play kuona video hiyo
Akiongea kupitia
↧
Basi la Bunda Express lagongana na Treni Manyoni mkoani Singida.....Mmoja afariki dunia, 38 wajeruhiwa vibaya
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 38 wamejeruhiwa vibaya kufuatia ajali ya basi la Bunda Express walilokuwa wakisafirikia kutoka Dodoma kwenda Mwanza kugongana na Treni eneo la Manyoni Mkoani Singida....
Majeruhi wa ajali hiyo wamepelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida.<!-- adsense -->
↧
"Huwa nafurahia sana PENZI la mwanaume mweusi, Weupe sina mzuka nao"..Wema Sepetu
Mwanadada Wema Sepetu ambaye pia aliwahi kuwa Miss Tanzania 2006
ambaye kwa sasa anaendesha kampuni yake binafsi iitwayo Endless Fame
inayojishughulisha zaidi na utengenezaji wa Filamu mbalimbali amefunguka na kudai kuwa yeye mzuka wake kimapenzi upo kwa wanaume weusi na sio wanaume weupe.
Kupitia kipindi cha Leo tena February 28, Wema Sepetu amekubali
kutaja sifa za mwanaume
↧
More Pages to Explore .....