Milipuko miwili inayosadikiwa kuwa ni ya mabomu imetokea katika maeneo mawili tofauti mjini Zanzibar na kusababisha hofu kubwa kwa wananchi....
Mlipuko wa kwanza umetokea katika hoteli ya Mercury iliyopo Forodhani na wa pili umetokea kanisa la Anglikana eneo la Mkunazini...
Habari zaidi zitakuijia hivi punde.
<!-- adsense -->
Milipuko miwili ya mabomu yautikisa mji wa Zanzibar...
↧
↧
Madai ya Wajumbe wa Bunge la Katiba kutaka nyongeza ya posho yagonga MWAMBA .....
Madai ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba
kutaka nyongeza ya posho ya vikao vya Bunge hilo yamegonga mwamba.
Habari kutoka ndani ya kamati iliyoundwa na
Mwenyekiti wa Muda wa Bunge la Katiba, Pandu Ameir Kificho ili
kufuatilia madai hayo, zimedai kuwa baada ya uchunguzi wa kina, wajumbe
wa kamati hiyo hawakuona sababu ya kupendekeza posho hizo kupandishwa.
↧
Wananchi watishia kuwachoma moto wanajeshi wastaafu wa JWTZ wilayani Arumeru
Zaidi
ya wakazi 300 wa kitongoji cha Olmapinuu katika kijiji cha Bwawani
wilaya ya Arumeru, juzi waliwashikilia kwa saa sita askari wanne
wastaafu wa Jeshi la Wananchgi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa na trekta lao
wakidai kuwa wamevamia eneo la shamba la wanakijiji hao.
Wananchi hao waliwatishia wastaafu hao kuwa watawateketeza kwa moto endapo wataendelea kulima shamba hilo.
Sakata
↧
Picha kutoka bungeni: Waziri mkuu akiwa na wajumbe wa bunge maalumu la katiba mjini Dodoma leo
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Bunge Maalum la Katiba na
Mbunge wa Zamani wa Morogoro, Shamim Khan, nje ya ukumbi wa Bunge
mjini Dodoma Februari 24, 2014. Kulia ni mbunge wa Sumve Richard
Ndassa.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Bunge Maalum la Katiba na
Mbunge wa Zamani wa Morogoro, Shamim Khan, nje ya ukumbi wa Bunge
mjini Dodoma
↧
Picha za milipuko ya mabomu iliyotokea Zanzibar leo mchana
Eneo ambalo limeharibika kwa kuchimbika
na kitu cha mlipuko katika eneo la mkunazini, na kuleta mtafaruku katika majira ya mchana..Katika mlipuko huo hakuna
mtu aliyepata majeraha na uharibifu wa majengo katika eneo hilo.
Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja Mhe Abdi Mahmoud Mzee akizungumza na
Kiongozi wa Kanisa la Mkunazini Ndg. Nuhu Salanya, na Maofsa wa JWTZ ,
katika eneo la
↧
↧
Lady JayDee aeleza sababu za kujifunza Karate...Anataka kumkabili nani? Bofya hapa umsikilize
Moja kati ya surprises zilizokuwepo wiki iliyopita ni pamoja na
habari ya Lady Jay Dee aka Anaconda kujifua kikomando kuumudu mchezo wa
Karate, habari iliyoambatana na picha zikimuonesha akifundishwa mchezo
huo tena akiwa ndani ya mavazi rasmi.
Itakuwaje Jide akishakuwa fiti kwenye mitindo hatari ya karate kama
Shotokan, Wado-ryu, Shito-ry na Goju-ryu? Na je, anataka kumkabili nani
↧
"Mbunge anayeona posho haimtoshi afungashe virago aondoke"....Mwigulu Nchemba
Wizara ya Fedha imepigilia msumari maombi ya wajumbe wa Bunge
Maalumu la Katiba ya kutaka waongezewe posho na kusema anayeona ameacha
kazi inayomlipa zaidi kwenda bungeni afungashe virago na kuondoka.
Msimamo huo umekuja siku moja tu baada ya madai ya wajumbe wa bunge hilo kutaka waongezewe
posho kutoka Sh300,000 za sasa kwa siku, kugonga mwamba baada
↧
Baraza la Mitihani latoa ufafanuzi jinsi alama na MADARAJA ya matokeo ya mtihani wa kidato cha nne 2013 yalivyopangwa
Baraza la Mitihani nchini limetoa ufafanuzi wa alama na madaraja yalivyopangwa kutokana na matokeo ya mtihani wa watahiniwa walioitimu Kidato cha Nne 2012/13 baada ya malalamiko yaliyotokana na mkanganyiko wa utaratibu huo mpya ambao haukuwepo katika miaka ya nyuma.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam leo, Kaimu Mtendaji wa Baraza hilo Dk Charles Msonde amesema
↧
Daktari FEKI akamatwa hospitali ya Muhimbili......Hili ni tukio la tatu kutokea katika hospitali hiyo
Hospitali
ya taifa ya Muhimbili imemkamata mtu mmoja anae sadikiwa kuwa daktari
feki ambaye kwa kipindi kirefu amekuwa akitapeli wagonjwa wanaoenda
kutibiwa katika hospitali hiyo ya taifa kwa namna mbalimbali Daktari huyo aliyejulikana kwa jina la Kitano Mustafa Kitani mwenye umri miaka 51 anadaiwa kuwa alikuwa anajitambulisha kama daktari upande wa akina mama katika hospitali ya
↧
↧
Mwanafunzi wa chuo cha afya Bugando ajishindia gari ya kampuni ya beforward kupitia mtandao wa facebook
Bwa.Marco Hingi akifurahia mara baada ya kujishindia gari hilo aina ya Noah kutoka kampuni ya Be Forward
****
Kampuni
ya uagizaji wa magari yaliyotumika kutoka JAPAN ya BEFORWARD imeendesha
shindano la kuwapata washindi 25 duniani kote waliojielezea jinsi
wanavyoweza kuitumia kampuni hiyo katika shughuli za maendeleo kupitia
ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa facebook ambapo
↧
Kijana anusurika kuuawa baada ya kunaswa akiiba ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama, Dar.
Kijana anayejulikana kwa jina moja la Emmanuel (30), amejikuta
akipokea kipigo kizito baada ya kukamatwa akiiba katika Chuo cha
Theofilo Kisanji ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania
(KKKT) Usharika wa Kijitonyama, Dar.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni kanisani hapo, mchana kweupe
ambapo jamaa huyo ambaye amekuwa akifika mahali hapo mara kwa mara,
alijikuta arobaini
↧
CHADEMA Majanga tena: Madiwani wake wawili wajiuzulu, Wachana kadi za chama na kuhamia CCM
Madiwani wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika
Manispaa ya Shinyanga wametanganza kujiuzulu nyadhifa zao wakidai
uongozi ngazi ya taifa wa chama hicho unaendekeza majungu na
kudhalilisha baadhi ya viongozi kwa kuwaita wahaini au wasaliti bila
kuchambua ukweli.
Madiwani hao, Sebastiani Peter kutoka kata ya Ngokolo na Zacharia Mfuko
kutoka kata ya Masekelo,
↧
Dr. Slaa adai kuwa Kiongozi anayetaka kuondoka CHADEMA milango iko wazi .....Asema hata wakibaki watatu, chama chao HAKITAKUFA
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk.
Willibrod Slaa, amesema kuwa mbunge au diwani anayetaka kuondoka CHADEMA
milango iko wazi, kwa sababu hawawezi kumvumilia kiongozi msaliti wa
chama.
Dk. Slaa alitoa msimamo huo jana wakati akimnadi mgombea ubunge wa
CHADEMA jimboni Kalenga, Grace Tendega, katika mkutano wa kampeni
uliofanyika kwenye uwanja wa mnadani,
↧
↧
Magari yatekwa jijini Mbeya, Abiria wajeruhiwa kwa mapanga na marungu.....Watu 10 wakamatwa na jeshi la polisi kwa mahojiano
WATU wasiofahamika majina wala makazi yao, juzi walifunga Barabara Kuu ya Mbeya-Njombe, Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya kwa kuweka mawe, magogo, kuteka magari na kujeruhi abiria waliokuwa katika magari hayo.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Mbeya jana, Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani humo, Robert Mayala, alisema tukio hilo lilitokea saa 1:30 usiku, Kijiji cha Machimbo, Kata
↧
Polisi wafafanua jinsi milipuko minne ya mabomu ilivyotekea huko Zanzibar na kuua mtu mmoja
JESHI la Polisi Zanzibar, jana limetoa ufafanuzi wa matukio ya milipuko iliyotokea katika maeneo manne tofauti.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamishna wa Polisi Hamdani Omari Makame, alisema tukio la kwanza lilitokea Februari 23 mwaka huu, saa saba mchana eneo la Pangawe.
Alisema mlipuko huo ulitokea baada ya waumini wa dhehebu la Evengilistic kumaliza ibada na haukuleta madhara
↧
Ujumbe wa Ray C kwenda kwa watumiaji wa dawa za kulevya
Ray C ni Miongoni mwa mastar wa Bongo ambao waliingia kwenye matumizi
ya dawa za kulevya ingawa baadae alikuja kuacha baada ya kuanza kutumia
dozi rasmi ya kuacha matumizi ya dawa hizo.
Habari njema kutoka kwake kupitia ukurasa wake wa Instagram ametoa
taarifa kuhusu kufungua asasi ya kuwaelimisha vijana na jamii kuhusu
madhara ya utumiaji wa dawa hizo za kulevya.
Huu ni
↧
Ali Kiba aeleza sababu ya ukimya wake, ujio wake mwaka huu na kazi aliyofanya na Mwana Fa na Ay
Kwa kipindi kirefu mkali wa ‘Single Boy’ Ali Kiba amekuwa kimya bila
kutoa kazi yake binafsi huku ukimya wake ukizua maswali mengi kwa
mashabiki na wadau wa muziki Tanzania.
Lakini February 25 Ali Kiba amezua maswali mengine kwa
mashabiki wake baada ya kuweka kwenye Instagram picha inayomuonesha
akiwa na AY na Mwana Fa na kuandika ‘@Aytanzania&007#mj record #wait
for it bonge
↧
↧
Togolani Mavura ateuliwa kuwa msaidizi wa Rais ( Hotuba )
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete amemteua Bwana Togolani I. Mavura (pichani) kuwa Msaidizi wa
Rais (Hotuba) kuanzia Februari 8, mwaka huu, 2014.
Taarifa
iliyotolewa Jumanne, Februari 25, 2014, mjini Dar es Salaam na Katibu
Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue inasema kuwa Bwana Mavura
anachukua nafasi ya Bwana Msafiri Marwa ambaye amehamishimiwa
↧
Sheikh Ponda agonga mwamba tena Mahakamani.....Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) awasilisha pingamizi akiitaka mahakama itupilie mbali mbaombi yake
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), ameendelea kuweka pingamizi dhidi
ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Issa Ponda
akipinga maombi yake ya kufanya marejeo ya uamuzi wa Mahakama ya Hakimu
Mkazi Morogoro.
Sheikh Ponda anakabiliwa na kesi ya jinai katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro, akidaiwa kufanya uchochezi maeneo
mbalimbali mkoani humo na kukaidi amri ya
↧
Mavazi ya nguo fupi za kubana ( Vimini ) na mengine ya nusu uchi ni marufuku kuingia nayo ndani ya Bunge maalum la Katiba
Wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba na wageni wa jinsi
hiyo watakaovaa nguo fupi ‘vimini’ au nguo za kubana, hawataruhusiwa
kuingia ndani ya Ukumbi wa Bunge.
Hayo yamo katika mapendekezo ya rasimu ya kanuni
za uendeshaji wa Bunge hilo, zilizowasilishwa katika semina mahsusi ya
kupokea rasimu hizo, iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Kamati Maalumu,
Profesa Costa Mahalu.
↧
More Pages to Explore .....