Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Una mtoto mwenye Kipaji na Ungependa aigize na Wema Sepetu, Aunty Ezekiel Na Hemedy? Kama jibu ni ndiyo, basi Nafasi iko hapa.

$
0
0
  Kupitia mtandao mmoja wa kijamii, Wema ametundika  bandiko  hili  la  ajira..... <!-- adsense -->

Tume ya taifa ya uchaguzi yatangaza Ratiba ya Uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Chalinze

$
0
0
  Tume ya taifa ya uchaguzi imetangaza ratiba ya uchaguzi mdogo wa jimbo la CHALINZE.Mtakumbuka kuwa jimbo hilo limekuwa wazi baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo bwana Said Bwanamdogo kufariki dunia tarehe 22 Januari 2014 kwenye hospitali ya MOI jijini Dar es Salaam.   Ratiba ya uchaguzi kwenye jimbo hilo iko kama ifuatavyo:- Uteuzi wa wagombea - Tarehe 12 Machi 2014 Kampeni na

Benki ya dunia yabana misaada kwa Uganda ikiwa ni siku chache tu baada ya Rais Yoweri Museveni kuidhinisha sheria mpya dhidi ya USHOGA

$
0
0
Benki ya dunia imebana msaada wa dola milioni 90 kwa Uganda , siku chache tu baada ya Rais Yoweri Museveni kuidhinisha sheria mpya dhidi ya mapenzi ya jinsia moja.   Sheria iliyoidhinishwa na Rais Yoweri Museveni, ilitiwa saini Jumatatu na inatoa adhabu kali kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja.   Wafadhili wengine tayari wameanza kusitisha misaada Uganda. Wahisani kama

Waziri Magufuli akagua mradi wa mabasi yaendayo kasi ( BRT ) jijini Dar.....Barabara ya Kimara hadi Kivukoni kukamilika ndani ya miezi 6 ijayo

$
0
0
Kampuni ya Strabag International GmbH inayotekeleza ujenzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kivukoni hapa jijini Dar es Salaam imetakiwa kuhakikisha kuwa  inakamilisha ujenzi wa sehemu hiyo ndani ya kipindi cha miezi sita ijayo kama mkataba wao unavyoelekeza.   Waziri wa Ujenzi Mhe. Magufuli alitoa agizo hilo wakati akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa

Afisa mstaafu wa NMB afariki dunia kwenye ajali ya Basi la Bunda na Treni....Kwa habari kamili na picha za ajali hiyo, BOFYA hapa

$
0
0
Basi la Bunda lililokuwa likitokea mjini Dodoma kwenda jijini Mwanza na kugonga kichwa cha Treni maeneo ya mjini Mnayoni,linavyoonekana katika picha baada ya kugonga. Baadhi ya majeruhi wa basi la Bunda lililogonga kichwa cha Treni mjini Manyoni,wakiwa wanapatiwa matibabu katika hospitali ya wilaya ya Manyoni. Na Nathaniel Limu, Manyoni   AFISA Mstaafu wa NMB

"Tutaandamana Rais Kikwete akisaini nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge la Katiba"...TUCTA

$
0
0
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), limeazimia kuongoza maandamano kote nchini, kama Rais Jakaya Kikwete ataridhia nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.    Viongozi wa Tucta mkoani Dodoma walisema kitendo cha wajumbe hao kulilia nyongeza ya posho kimewagusa mno na kimelifanya shirikisho hilo kutokuwa na imani na wajumbe hao.   Hadi sasa hakujawa

Robina Nicholaus aliyeongoza kitaifa matokeo ya kidato cha nne 2013 ajibu maswali 10 muhimu....Bofya hapa uyasikilize mahojiano haya muhimu

$
0
0
Mtandao  wa  Times Fm umefanya mahojiano ‘exclusively’ na Robina Nicholaus, msichana aliyeshika nafasi ya kwanza/ aliyeongoza kitaifa (Tanzania One) kwenye matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2013.   Robina, mwenyeji wa wilaya ya Bunda mkoa wa Mara ambaye alikuwa anasoma katika shule ya wasichana ya Marian, akiwa na ndoto ya kuwa daktari wa watoto amejibu maswali kumi muhimu na

Huu ni wimbo mpya wa Mh. January Makamba akishirikiana na mastaa kibao wa Hip Hop .....Ndani yupo pia mh. Sugu

$
0
0
Naibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia,January Makamba pamoja na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu wameshirikishwa kwenye wimbo mpya uitwao 'Haki' uliofanywa na wasanii 13 wa Hip Hop. Usikilize hapa

Ostaz Juma awatandika tusi wasanii na watangazaji...."Wasanii na Watangazaji wa redio njaa sana, mtakufa, pesa zangu zinawafanya MNISUJUDIE"

$
0
0
  Ostaz Juma ameendelea kuongezea petroli kwenye moto aliouwasha juzi  na sasa amewaamkia wasanii na watangazaji wote wa redio nchini akisema njaa inawasumbua na ndio maana wamekuwa wakimsujudia.. Hiki ndicho alichokiandika kwenye Facebook: Naona watu mmeguswa sana mimi kuanika Picha za PNC katika mitandao et, tatizo wasanii wa tanzania mnanjaa sana kuanzia watangazaji Radio na wasanii

Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Bondeni mkoani Arusha amwagiwa Tindikali....Kosa lake ni kukataa kutangaza JIHAD ambayo ni vita ya silaha dhidi ya Waislamu na wasio Waislamu

$
0
0
Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Bondeni mkoani Arusha, Mustaph Kiago (49) na mwanaye Khalid Mustapha (10), wamemwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali wakati wakiingia msikitini. Sheikh  Kiago amejeruhiwa shingoni na mtoto wake ameumizwa machoni na wote wanatibiwa hospitali ya mkoa ya ya Mount Meru . Akizungumza nasi nje ya wodi ya watoto kwenye hospitali hiyo jana, Kiago

CHADEMA yaendelea na kampeni zake za uchaguzi katika jimbo la Kalenga mkoani Iringa

$
0
0
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema taifa, John Heche, akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Lumuli, wakati wa kampeni za kumnadi mgombea wa ubunge katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga kupitia chama hicho, Grace Tendega uliofanyika kijijini hapo jana. Meneja wa Kampeni za mgombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Alphonce Mawazo, akimwelezea mtoto

Jokate aeleza kinachomvutia zaidi kwa Lupita Nyong'o, adai weledi ni kitu alichojifunza kutoka kwake

$
0
0
Jokate Mwegelo amemzungumzia muigizaji wa kike raia wa Kenya, Lupita Nyong’o aliyegeuka mada kubwa Marekani na kung’aa katikati ya mastaa wa Hollywood baada ya kushiriki katika filamu ya 12 Years a Slave.   Akiongea na mtandao wa Bongo5, Jokate Kidoti amesema alivutiwa sana na uigizaji wa Lupita Nyong’o kwenye filamu ya 12 Years A Slave na kwamba kuna vitu ambavyo vinamfanya amkubali

Vyeti vya kuzaliwa sasa kutolewa mashuleni.....

$
0
0
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mfaranyaki, Ruvuma wakifurahia jambo. ************* Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Tanzania (RITA) ameanzisha mpango wa uandikishaji na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wanaoanzia umri wa miaka sita hadi 18 katika shule zote za msingi na sekondari nchini. Hatua hiyo inatokana na kubaini kuwa ni asilimia 23 tu ya Watanzania nchini ndio

Kampenzi za CCM Kalenga zafunuika kata ya Nziha.....

$
0
0
Mgombea ubunge Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Godfrey Mgimwa (32), akilakiwa kwa shangwe na vigeregere alipowasili katika Kijiji cha Magubike, Kata ya Nzihi, Iringa Vijijini, kufanya mkutano wa kampeni leo mchana  Wafuasi wa CCM wakishangilia kwa nguvu wakati Mgimwa akihutubia kuwaomba kura.Uchaguzi wa Jimbo hilo la Kalenga utakuwa Machi 16, mwaka huu.  Mfuasi

Aunt Ezekiel aeleza kilichomsukuma kufanya Bongo Flava, auelezea wimbo wake 'Mguu kwa Mguu' aliofanya na Linex

$
0
0
Msanii wa filamu za Kiswahili, Aunt Ezekiel ambaye anatarajia kuachia wimbo wake mpya wa Bongo Flava alioupa jina la ‘Mguu kwa Mguu’ aliomshirikisha Linex Mjeda, ameeleza sababu kubwa iliyomfanya aingie kwenye game la Bongo Flava.   “Unajua game la Tanzania linabadilika badilika kwa hiyo nimeona ngoja pia nijihusishe katika uimbaji ili niendelee kuteka mashabiki, mimi zamani nilikuwa

Madereva wa malori zaidi ya 300 wagoma kuendelea na safari katika barabara kuu itokayo Dodoma hadi Mwanza baada ya mwenzao kuvamiwa

$
0
0
Madereva wa malori zaidi ya mia tatu wamegoma kuendelea na safari katika barabara kuu itokayo Dodoma hadi Mwanza baada ya dereva mwezao aliyekuwa akiendesha lori kuvamiwa na majambazi katika eneo la kisaki manispaa ya Singida.    Wakiongea na ITV /Radio one madereva ambao wamekutwa katika eneo hilo wameomba  jeshi la polisi kufanya doria mara kwa mara eneo hilo kwani kumekuwa na

Ikulu yakanusha nyongeza ya posho kwa wabunge....Yasema Rais hajapelekewa maombi, Kilichopitishwa ni marekebisho ya mgawanyo

$
0
0
RAIS Jakaya Kikwete hajaongeza posho kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Sh 300,000 za sasa na kueleza kuwa hajawahi kupokea maombi ya nyongeza ya posho hiyo.   Badala yake amefanya marekebisho ya mpangilio wa posho hizo ambapo itabaki Sh 300,000 hiyo hiyo ya awali.   Maelezo hayo ya Rais Kikwete yaliyotolewa kupitia kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu, Salva Rweyemamu

Mtoto wa Sheikh aliyemwagiwa tindikali aanza kuona

$
0
0
Sheikh  wa Msikiti MKuu wa Bondeni, Mustapha Mohamed Kiago (49) na mwanaye Khalid Mustapha (10) wanasadikiwa kumwagiwa tindikali, wanaendele vema.   Wawili hao, wamelazwa kwenye hospitali ya mkoa ya Mount Meru kwa matibabu, baada ya kumwagiwa kimiminika hicho, hivyo kujeruhiwa shingoni na usoni.   Akizungumza  nasi  kwa njia ya simu ya kiganjani Jumamosi jana, Sheikh Kiago

Wajumbe wa bunge maalumu la katiba waaswa kutokuwa watumwa wa vyama vyao

$
0
0
WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wameshauriwa kutokuwa watumwa wa kupokea maagizo ya vyama vyao vya siasa kwa hofu ya kupoteza madaraka, kwani wakifanya hivyo watakuwa hawatendei haki wananchi.   Kauli hiyo ilitolewa jana na mfanyabiashara wa mjini Dodoma, Augustino Ndejembi alipokuwa akielezea jinsi mchakato mzima wa Bunge la Katiba unavyoendelea.   Alisema ikiwa wajumbe wa Bunge hilo

Waziri wa Elimu akerwa daraja la TANO kuitwa SIFURI....Asema Unakuaje na daraja la kwanza, la pili, la tatu, la nne lakini unapofika la tano unaita sifuri ????

$
0
0
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ameelezea kukerwa na daraja la tano katika muundo mpya wa kupanga matokeo, kuitwa sifuri.   Dk. Shukuru Kawambwa, aliyasema hayo jana mjini Dodoma alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.   Alivishutumu vyombo vya habari kwa kuchanganya alama na madaraja yaliyopo katika muundo mpya wa kupanga matokeo ya mitihani nchini.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images