Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya February 16


Hiki ndicho kituo cha kazi alichopangiwa Balozi Dkt Slaa

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 16 Februari, 2018 saa 3:00 asubuhi atawaapisha Mabalozi wawili aliowateua kuiwakilisha Tanzania katika nchi za Nigeria na Sweden.

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa watakaoapishwa ni Mhe. Muhidin Ally Mboweto ambaye ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria na Mhe. Dkt. Wilbrod Peter Slaa ambaye ameteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Sweden.

Uteuzi wa Mabalozi hao kuiwakilisha Tanzania katika nchi walizopangiwa umeanza jana tarehe 15 Februari, 2018.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
16 Februari, 2018

Watanzania wawili wakamatwa China wakiwa na kete 129 za dawa za kulevya

$
0
0
Watanzania wawili, Baraka Malali na mkewe Ashura Musa wamekamatwa nchini China wakiwa wamemeza kete 129 za dawa za kulevya wakiwa na mtoto wao wa miaka 2 na miezi 9 ambaye amerudishwa nchini leo. Baraka alikuwa amemeza kete 47 na Ashura kete 82.

Waziri Mkuu aagiza wakandarasi kukamatwa, kushtakiwa

$
0
0
Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa ameagiza wakandarasi watatu wanaotekeleza miradi ya maji halmashauri ya Buchosa kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa kosa la kutekeleza miradi hiyo wenye gharama ya Sh1.3 biloni chini ya kiwango.

Pia, ameagiza halmshauri hiyo kukikisha zinawasainisha mikataba wakandarasi wenye uwezo wa kutekeleza miradi mbalimbali inayotengwa kwenye halamshauri hizo.

Majaliwa ametoa kauli hiyo jana Februari 15, 2018 katika halmshauri ya Buchosa baada ya kuzindua jengo la hospitali ya halmashauri hiyo lenye thamani ya Sh540 milioni.

Baada ya kuzindua jengo hilo alisema jambo linalotesa wananchi katika halmashauri hiyo ni maji amabayo miradi yake inasuasua.

Sakata hilo lilianza baada ya Majaliwa kumtaka mhandisi wa maji wilaya ya Sengerema, Magembe Makara kueleza hali ya mradi wa maji wa Umeya, Kalebezo hadi Nyehunge ulioanza kutekelzwa mwaka 2012.

Wananchi walianza kuzomea baada ya mwandisi huyo kudai kuwa mradi huo upo kwenye uangalizi na maji yanatoka.

Hali hiyo ilimfanya Waziri Mkuu kumtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (Mwauwasa), Anthony Sanga kuthibitisha iwapo kauli ya Mhandisi huyo ni sahihi, ambapo Sanga alisema mradi huo unakabiliwa na changamoto kadhaa.

Mbunge wa Buchosa, Charles Tizeba ndiye aliwawashia moto watendaji hao baada ya kumweleza Waziri Mkuu kuwa utekelezaji wa mradi huo unakwamishwa na ushauri mbovu wa mkandarasi mshauri.

"Kuna matatizo mengi katika mradi huu ikiwemo mabomba kupasuka; kiukweli ni kama hakuna mradi wa maji uliokamilika kwa sababu ubovu uliopo unalazimisha uanze upya,” alisema Tizeba ambaye pia ni waziri wa Kilimo.

Tizeba alimwagiza Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza, Ernest Makale kutoa ufafanuzi taasisi hiyo imechukua hatua gani kuchunguza suala hilo.

Akitoa maelezo mbele ya Waziri Mkuu, Makale alisema jalada la suala hilo limefikishwa ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), kwa uamuzi  baada ya uchunguzi wake kukamilika.

Kutokana na hali hiyo Majaliwa alimwagiza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella kufuatilia suala hilo likiwemo jalada lililoko ofisi ya DPP kushughulikiwa haraka ili watuhumiwa wafikishwe mbele ya vyombo vya sheria.

Chanzo cha Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume na Tiba Yake

$
0
0

Tendo la ndoa limengawanyika katika makundi matatu baadhi yake makudi hayo niuhanisi, kufanya tendo la ndoa maramoja na kushidwa kurudia tena 

sababu zinazo pelekea ni ugonjwa wa kisukari, kujichuwa, maumivu ya mgongo na kiuno, tumbo kuuguruma na kujaa gesi, msogo wa mawazo, presha, kutokuwa nyama sehemu ya haja kubwa yani mgoro, ulevu wa kupidukia, kuadhilika na madawa ya kulevya 

ARRBERA 1 Ni dawa ya asili ambayo imefanyiwa tafiti kwa hali ya juu isiyo na kemikali yoyote kwa mtumiaji ambayo humfanya mtumiaji kufanya tendo la ndoa maratatu bila kuchoka 

Pia ARRBERA 2 ni dawa asili abayo huimalisha ukuaji wa umbile la kiume lililo sinyaa na kunenepesha saizi upedayo. sihayo tu upade wa wamatatizo kisukari yakushuka na kupada kuna dawa ya kutumia siku saba na kufanya sukari ibaki nomo balasi abayo ni 4-5-6 vilevile kwaupade wa kina mama matatizo ya uzazi na hedhi kuvurugika na kutokwa maji maji sehemu za sili fagasi na kifafa cha mimba kwa kina mama waja wazito na kifafa cha kawaida 

FIKA OFISINI KWETU MBANGALA RAGI TATU ASIYE KUWA NA NAFASI HUDUMA YETU UTALETEWA POPOTE ULIPO KWA KWA KAZI WA DSM muone dr kabero simu 0758078280 au 0713 293 988 wote mnakalibishwa
No automatic alt text available.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Maneno ya Dr Slaa Baada ya Kuapishwa Leo Kuwa Balozi

$
0
0
Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden, Dk Willibrod Slaa ameapishwa leo Februari 16, 2018, Ikulu Dar es Salaam na Rais John Magufuli na kuahidi kuwa utendaji wake utajikita kwenye diplomasia ya uchumi.

Mbali na Dk Slaa ambaye ni katibu mkuu wa zamani wa Chadema, Rais Magufuli pia amemuapisha Balozi wa Tanzania nchini Nigeria, Muhidin Mboweto.

Rais Magufuli alimteua Dk Slaa kuwa balozi Novemba 23, 2017 na tangu wakati huo alikuwa akisubiri kupangiwa kituo chake cha kazi.

Dk Slaa ambaye tangu ajiuzulu wadhifa wake Chadema amekuwa akiishi Canada, alitangaza kuachana na siasa kutokana na kutofautiana na chama chake katika kumpokea Edward Lowassa aliyehamia kutoka CCM na baadaye kupitishwa kuwa mgombea urais kupitia muungano wa Ukawa.

Alisema chama chake hakikutekeleza makubaliano waliyoafikiana ya kuwapokea baadhi ya makada wa CCM akiwamo Lowassa.

Hafla hiyo fupi ya Ikulu ilihudhuliwa na Naibu Waziri Mambo ya Nje, Dk Suzan Kolimba na Mwenyekiti wa Tume ya Maadili, Jaji Harold Nsekela.

“Tangu nikiwa mbunge na wewe ukiwa bungeni, tumepigia kelele sana ubalozi wa kiuchumi na wewe baada ya kuanza mwaka wa pili, umeanzisha mchakato wa spidi kali katika kila eneo ili kufikisha mahali safari ya kuikuza Tanzania kiuchumi,” amesema Dk Slaa,

“Katika ulimwengu wa leo, pamoja na kazi zile nne zilizozoeleka, diplomasia ya sasa ni ya kiuchumi. Ninakushukuru kwa kunipeleka mahali ambapo naweza kutoa mchango wangu.”

Dk Slaa aliahidi kufanya kazi kwa uwezo wake, akili na kwa nafasi yake yote huku akimwomba Mungu amsaidie kufanikisha dhana ya Tanzania ya viwanda.

“Natambua kwamba maendeleo ni safari na safari yoyote unakwenda hatua kwa hatua. Huwezi kusema unakwenda Mbeya, ukaruka dakika ile ile au sekunde ile ile ukafika Mbeya. Unapiga hatua moja, ya pili unapanda kituo cha kwanza cha pili na tatu,” amesema,

“Ahsante Mheshimiwa Rais kwa kuniona, kwa kuniamini na kunipa majukumu haya, naamini sitakuangusha.”

Naye Balozi Mboweto licha ya kumshukuru Rais Magufuli aliahidi kufanya kazi kwa uwezo wake wote kwa bidii kwa weledi na kwa kuzingatia maadili ya utendaji wa serikali.

Akisisitiza diplomasia, Dk Kolimba amewahakikishia  mabalozi hao ushirikiano katika kutimiza adhama hiyo.

“Jukumu kubwa tulilopewa ni kutekeleza diplomasia ya uchumi na kwa nchi ambazo umewapeleka mabalozi hawa najua watatumia uzoefu walio nao na tutawapa ushirikiano wa kutosha,” amesema.

“Tunataka kuwahakikishia mabalozi hawa wawili walioteuliwa leo sisi kama wizara, tutawapa ushirikiano wa kutosha kwa sababu wao watakuwa sehemu ya wizara.”

Hukumu ya Agness Masogange Kutolewa February 21

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Februari 21, 2018 itatoa hukumu katika kesi ya kutumia dawa za kulevya inayomkabili Video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’.

Hukumu hiyo inatarajiwa kutolewa na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri baada ya upande wa mashtaka ukiwakilishwa na Wakili wa Serikali, Costantine Kakula kuwaita mashahidi watatu kutoa ushahidi dhidi ya Masogange na kuufunga na mshtakiwa mwenyewe kujitetea.

Akiongozwa na Mawakili Nehemiah Nkoko na Ruben Simwanza kutoa utetezi wake jana Masogange ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imuachie huru kwa sababu hana kosa lolote.

Masogange  anakabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kulevya aina ya Heroin na Oxazepam, katika utetezi wake amedai kuwa yeye hajawahi kutumia dawa za kulevya hata siku moja.

Akijitetea Masogange alidai kuwa mbali ya ‘Uvideo Queen’ pia alikuwa ni mfanyabiashara wa nguo.

Alidai kuwa Februari 14,2017 polisi walienda nyumbani kwake, yeye hakuwepo, alikuwepo dada yake, yeye alikuwa amempeleka mjomba wake kununua vitu Ocadeco.

"Polisi waliniulizia, dada yangu aliwauliza nyie ni kina nani, wakamueleza kuwa wao ni ndugu zetu, dada yangu aliwaambia sisi hatua ndugu kama nyie", alieleza Masogange.

Alieleza kuwa polisi hao walimuweka chini ya ulinzi dada yake na kumtaka ampigie simu na ajifanye anaumwa ili arudi nyumbani.

Masogange alieleza kuwa dada yake alimpigia simu na kumueleza anaumwa sana, naye akamjulisha kuwa ataenda muda sio mrefu, lakini alikwenda saa 12 jioni.

Alidai kuwa alipofika nyumbani kwake getini kabla hajashuka kwenye gari alimuona mlinzi amekaa na watu wanne, aliwasalimia na kuingia ndani.

Aliendelea kudai kuwa alipofika ndani alimkuta dada yake, askari wa kike na askari wawili wa kiume, walimueleza wanamsubiri yeye na wakajitambulisha kuwa wao ni polisi.

Masogange alidai kuwa aliwauliza wanashida gani na wakamueleza kuwa wamekwenda kufanya upekuzi, wakapekuwa wakamueleza kuwa hawajapata kitu chochote.

Alidai baada ya upekuzi huo, alichukuliwa na kupelekwa kituo kuu cha polisi na kwamba walipofika mapokezi akaandikisha jina na wakampeleka rumande ambapo alikaa siku tisa.

Aliongeza kuwa baada ya kukamatwa Februari 14, 2017 na Februari 15, 2017 akiwa polisi alipelekwa katika ofisi iliyokuwa na watu 15 ambapo kwa nyakati tofauti walikuwa wakimuuliza maswali.

Baada ya mahojiano, Masogange alidai kuwa alipelekwa Mwananyamala ambapo alioneshwa picha mbili za wanaume wawili, akaulizwa kama anawafahamu na kuwaeleza kuwa hawafahamu.

Alidai baada ya hapo alipelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali ambapo afande Judy alishuka katika gari walilokuwa nalo, akamuita mama wa makamo, akamuomba kikontena kidogo cha plastiki cha kuhifadhia mkojo na Masogange akaambiwa angozane na mama hiyo.

Aliendelea kudai aliongozana naye, wakaingia chooni ambapo huyo mama wa makamo alimkabidhi kikontena hicho cha kuwekea mkojo, akaingia chooni mwenyewe akatoa mkojo na kumkabidhi huyo mama wa makamo .

Masogange alidai kuwa baada ya hapo afande Judy walimueleza huyo mama wa makamo kuwa watawasiliana, na akarejeshwa polisi.

Masogange aliendelea kutoa utetezi wake akidai kuwa yeye hajawahi kutumia dawa za kulevya hata siku moja.

Alibainisha kuwa mtu anayetumia dawa za kulevya hawezi kuhimili kukaa siku bila ya kutumia dawa za kulevya utetemeka na kuwa kama amechanganyikiwa, lakini yeye alikaa na hali yake ikiwamo nzuri.

" Mheshimiwa mimi sijawahi kutumia dawa za kulevya hata siku moja nipo tayari hata mahakama yako ijiridhishe kwa kunipima." Alieleza Masogange.

Wakili wa Serikali, Kakula alimuuliza Masogange kuwa ni sahihi alikamatwa Februari 14,2017.

Masogange ni kweli

Kakula; ni sahihi Februari 15,2018 ulipelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali

Masogange: kweli

Kakula; uliongozwa na askari wa kike akiwa na chupa

Masogange; hapana

Kakula; ni sahihi huo mkojo ni wewe mwenyewe uliutoa na kumkabidhi yule mama wa makamo

Masogange: ndiyo

Masogange katika kesi hiyo anadaiwa kuwa kati ya February 7 na 14, 2017 katika maeneo yasiyojulikana ndani ya jiji la Dar es Salaam alitumia dawa za kulevya aina ya Heroin (Diacety Imophine).

Pia, anadaiwa kuwa kati ya February 7 na 14, 2017 alitumia dawa za kulevya aina ya Oxazepam.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Trafiki arekodiwa akipewa rushwa 5,000/-, atimuliwa

$
0
0
Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Muliro J. Muliro amefunguka na kusema kuwa wamemchukulia hatua za kinidhamu askari polisi wake mmoja ambaye jina lake halijawekwa wazi kufuatia kuonekana akichukua rushwa kwenye video za mitandaoni.

Hatua hiyo ya jeshi la polisi imekuja masaa kadhaa baada ya Mwanaharakati wa mambo ya siasa mtandaoni, mrembo Mange Kimambi kuposti video ya askari polisi akichukua rushwa ya pesa kutoka kwa raia ambaye alitenda kosa la barabarani.

Katika tukio hilo, dereva mmoja aliyeombwa rushwa alimrekodi askari huyo kupitia simu yake ya mkononi wakati akimpatia rushwa hiyo iliyowekwa chini ya leseni.

Dereva huyo akiwa ametegesha kamera yake kwenye gari, askari huyo alifika kwenye kioo cha mlango wa dereva na kumrudishia leseni yake ambayo alikuwa nayo tayari, kisha askari huyo kumwomba ampatie leseni hiyo kwa mara nyingine ikiwa na rushwa.

Baada ya dereva kurudishiwa leseni, aliiunganisha na Sh. 5,000 aliyoiweka kwa chini na kumrudishia askari ambaye naye alikuwa akijifanya kama anatoa risiti kwenye mashine yake kielektroniki aliyokuwa ameishika mkononi.

Baada ya kupokea leseni iliyokuwa ikiwa imeambatanishwa na fedha hizo, trafiki huyo alichukua fedha na kumrudishia leseni dereva huyo kisha kuondoka.
 

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Kamishna Msaidizi wa Polisi Jumanne Murilo,  amesema  tayari askari huyo ameshachukuliwa hatua kwa kufukuzwa kazi tangu Jumanne.

Kamanda Murilo alisema askari huyo hadi anafukuzwa kazi ndani ya Jeshi la Polisi alikuwa amefanya kazi kwa muda wa mwaka mmoja na nusu.

"Tukio hili lilifanyika eneo la Mwenge na baada ya kulibaini tulianza uchunguzi wetu ambao juzi (Jumanne) ulikamilika na kubaini tukio hilo lilikuwa la kweli (kwamba) amepokea rushwa. Hivyo tumemuondoa kazini," alisema.

Kamanda Murilo ambaye hakumtaja jina askari huyo aliwakumbusha trafiki kuzingatia maadili ya kazi na taratibu za kijeshi zilizowekwa.

Marekani yatoa kauli mauaji ya Kada wa CHADEMA

$
0
0
Ubalozi  wa Marekani jijini Dar es salaam umetaka kufanyika kwa uchunguzi ulio wazi wa tuhuma za kutekwa na kisha kuuawa kwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Daniel John mwishoni mwa wiki iliyopita.

Taarifa iliyotolewa na ubalozi huo kwa vyombo vya habari jana ilisema Marekani inaungana na Watanzania kutaka kuwapo kwa uchunguzi ulio wazi ili kuwawajibisha wote waliohusika kwa mujibu wa sheria za nchi.

Mbali na kuuawa kwa John, watu wanaodaiwa kufanya uhalifu huo walimjeruhi Reginald Mallya.

“Pia tunaungana na Watanzania kutaka kufanyika kwa uchunguzi wa uwazi ili kuhakikisha wahusika wote wa tukio hilo wanatiwa nguvuni na kushtakiwa kwa mujibu wa Sheria za Tanzania,” ilisema taarifa hiyo.

Taarifa hiyo ilisema Marekani imesikitishwa mno na kuhuzunishwa na matukio ya utekaji na vurugu vilivyosababisha mauaji ya John na kujeruhiwa kwa Mallya.

“Tunatuma salamu za pole nyingi kwa familia zao na marafiki,” taarifa hiyo ilisema zaidi.

“Kuongezeka kwa vurugu na mapigano vyenye uhusiano na siasa kunatupa wasiwasi, na tunaviomba vyama vyote kulinda amani na utulivu kwa manufaa ya mchakato wa kidemokrasia, nchi, na watu wa Tanzania.”

Mwili wa John uliokotwa maeneo ya ufukwe wa Coco wa Bahari ya Hindi wilayani Kinondoni Jumapili iliyopita ukiwa na majeraha kichwani na shingoni, baada ya kudaiwa kutekwa na watu wasiojulikana.

Jumanne Mbowe aliviambia vyombo vya habari kuwa John aliyekuwa Katibu wa Chadema wa kata ya Hananasif, Kinondoni mkoani Dar es Salaam alitekwa na watu wasiojulikana akiwa na mwenzake Jumapili.

Aidha, juzi Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Jumanne Muliro, aliwaeleza waandishi wa habari kuwa wanaendelea kuchunguza sababu ya mauaji hayo na pia watachunguza kauli ya Mbowe.

“Moja ya kazi ya Jeshi la Polisi ni kuchunguza jambo," alisema Kamanda Murilo na kwamba “pamoja na hilo (la mauaji) tutachunguza kauli ya Mbowe kulituhumu Jeshi la Polisi.

“Tutachunguza anasema hivyo kwa kuzingatia misingi ipi na amesukumwa na nini mpaka kusema hayo anayoyasema.

“Hatuwezi tukaacha mtu akajisemea vitu kwa kusukumwa na hisia zake. Ndiyo maana sisi jambo linapotokea moja ya kazi yetu ni kuchunguza na hatusukumwi na hisia za mtu kwa sababu yeye hajasomea kazi ya Jeshi la Polisi."

Aidha, Kamanda Murilo alisema wanachukua maelezo na taarifa ya Mbowe kama ya mwananchi wa kawaida na kuifanyia kazi na endapo italazimu kuhojiwa ataitwa.

"Sisi hatuwezi kusukumwa na kauli yake tukatoka kwenye misingi ya upelelezi kwa kuburuzwa na hisia zake halafu baadaye tukosee ili haki isitendeke," alisema Kamanda Murilo.

Alisema polisi watafanyakazi zao kwa kufuata weledi na wahalifu wakibainika huwa wanafikishwa kwenye vyombo vya dola na si kwenye vyombo vya habari.

Lakini sasa Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam umetaka kufanyika kwa uchunguzi ulio wazi.

Kuhusu tarifa za tukio hilo, Kamanda Muliro alisema Jumatatu walipata taarifa kutoka kwa msamaria mwema ya kuwapo kwa maiti na walipofika ufukwe wa Coco walikuta mwili wa kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 30-35 ukiwa na majeraha maeneo ya kichwani, usoni, mkononi na miguuni.

Hashim Rungwe aungana na CHADEMA Kumuombea Kura Salumu Mwalimu

$
0
0

Mheshimiwa Hashim Rungwe Spunda Mwenyekiti  (CHAUMMA) jana Februari 15, 2018 aliungana na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kumnadi mgombe Ubunge wa CHADEMA katika jimbo la Kinondoni  Salum Mwalimu.

Akiwa kwenye mkutano huo ambao ulifanyika katika Kata Ya makumbusho Viwanja Vya Vegas Rungwe alisema kuwa wana Kinondoni hawapaswi kumchagua mgombea wa CCM kwa kuwa ni msaliti na amekuwa muongo.

"Serikali hii ya CCM inajidai sanaa inafanya propaganda kwenye Radio na kila mahali lakini mimi naomba niulize wangapi wamekuja hapa hawana kitu mfukoni, mna hela nyie? 

"Wananchi hali zao mbaya watu hawana kitu. Jamani tunampima kiongozi kwa mambo anayofanya tumeona tawala nyingi lakini mmeshawahi kuona utawala wa namna hii? 

"Yaani polisi ndiyo wanafanya serikali ifanye kazi yaani bila ya polisi hawafanyi kazi, polisi ndiyo wamewekwa mbele yaani ukisema hivi unakamatwa"

Rungwe aliendelea kuelezea juu ya sakata lake la kukamatwa na polisi siku za karibuni

"Mnakumbuka mimi nilikamatwa juzi juzi hapa yaani hakuna kitu chochote cha maana mpaka sasa mimi ni Wakili na Wakili kazi yake ni kusaini nyaraka, nimesaini nyaraka za watu na hao watu wenye pesa walikuwa wakitoa maagizo mlipe huyu na huyu na mimi nalipa sasa mimi nimefanya kosa gani?

" Hawa watu ni wabaya na haya ni mambo ya serikali ya CCM, hakikisheni kwamba serikali ya CCM mnaiondoa msikubali Mtulia awe Mbunge wenu. CCM ndiye wanaiharibu nchi hii" alisisitiza Rungwe

Baraza la Watu Wanaoishi na UKIMWI Lataka Itungwe Sheria Bungeni Kuwalazimisha Watu Kupima VVU

$
0
0
Baraza la watu watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi, Katika halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe wameliomba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kutunga Sheria itakayopelekea watu kupima Ukimwi kwa lazima.

Hayo yamesemwa na watu wanaoishi na Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi Konga ya Mbozi wakati walipotembelewa na Kamati ya Bunge ya Ukimwi ambayo ipo ziarani mkoani humo.

Wamesema  kuwa hatua hiyo itasaidia kwenye Mapambano ya Maambukizi na kuenea kwa ugonjwa huo ili kutimiza azma ya serikali ya 0.0.0 kuhakikisha kuwa ifikapo mwaka 2030 hakuna Maambukizi Mapya ya Ukimwi.

Mmoja wa Waathirika hao Stephan Jonas alisema njia ya Mbadada ya kukabiliana na Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ni kuweka sheria ya kulazimisha kila kaya kupima ugonjwa huo.

"hili  suala inatakiwa liwe la lazima kwa sababu watu hawapimi, wanashindwa kujitambua hivyo wanaendelea kueneza kwa wengine sheria ikiwepo kila mtu apime kwa lazima itasaidia sana," alisema 

Makamu Mwenyekiti wa kamati ya Bunge, Dr Jasmini Bunga alikubalina na Ombi hilo na kueleza kuwa litasaidia mkakati wa serikali wa kukabiliana na Maambukizi mapya ya Ukimwi.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Shirika la JSI linashughulika na Mifumo ya maisha na Ustawi wa  Jamii Dr. Tulia Tuhuma alisema shirika lake litaendelea kufuatilia maendeleo ya Konga (Vikundi vya watu wanaoishi na Virusi vya ukimwi) pamoja na kusaidia utoaji wa huduma ya Ukimwi.

Babu Seya, Papii Kocha Wawaliza watu.....Tazama Hapa Video Yao Mpya

$
0
0
Msanii wa muziki wa 'Papii Kocha' ambaye alikuwa amefungwa kwa zaidi ya miaka 13 jela leo Februari 16, 2018 ameachia video ya wimbo wake mpya 'Waambie' ambao umewaliza baadhi ya watu kutokana na mambo ambayo ameyaimba ndani ya wimbo huo.

Wimbo huo wa Papii Kocha umeandikwa na mwanadada Natasha na kutengenezwa na mtayarishaji wa muziki wa bongo fleva Ema The Boy na video yake kutengenezwa na Wanene Studio.

Itazame zaidi hapa

Waziri Mkuu atoa tamko kuhusu kidato cha tano

$
0
0

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe Kassim Majaliwa amezitaka halmashauri zote nchini kuhakikisha kuwa kila kijiji kinakuwa na shule ya msingi yenye madarasa ya awali na kila tarafa iwe na shule ya kidato cha tano na cha sita.

Waziri Mkuu Majaliwa ametoa kauli hiyo jana  Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza katika ziara yake ya siku saba mkoani Mwanza ambapo amewasisitiza walimu wasijiingize katika masuala ya michango bali wajikite na taaluma.

Waziri Mkuu Majaliwa katika siku yake ya kwanza mkoani humo akiongozana na  Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,  alizindua madarasa manne ya kidato cha tano katika shule ya sekondari ya Nyehunge wilayani  sengerema huko na kutoa maagizo hayo.

Waziri Kigwangalla amjibu Mange Kimambi

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla amefunguka na kujibu hoja ambayo Mwanaharakati wa mambo ya siasa mtandaoni, Mange aliibua kwenye mtandao wake Instagram kudai Waziri huyo ameshiriki kuwaingiza chaka Watanzania ili watapeliwe pesa

Waziri Kigwangalla akijibu hoja hiyo amesema kwamba yeye alialikwa kama mgeni wa heshima na kuwa alikuwa hawatambui watu hao binafsi na wala biashara yao alikuwa haitambui na alipoitwa kuzindua tawi lao hapa nchini alishindwa kuwakatalia ila hana maslahi binafsi katika kampuni hiyo. 

"Nimeona nitoe ufafanuzi kwenye hili jambo. Maana kila mjadala juu ya hii kampuni ya ..... unapoibuka, jina langu linakuja, na mara nyingine picha yangu inawekwa. Ukweli ni kwamba, nilialikwa kwenye shughuli ya uzinduzi wake kama mgeni wa heshima; mgeni rasmi alikuwa ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji wa wakati huo, Dr. Adelhelm Meru. 

"Niliamini kwa heshima ya kuzinduliwa rasmi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, ambao ndiyo wenye dhamana ya usajili wa biashara zote nchini, ni lazima ni watu halali na bado ninaamini kama kuna shida mamlaka husika zitachunguza na kuchukua hatua stahiki na kama hakuna shida basi ni vema mamlaka husika zikatoa mwongozo utakaowaondoa hofu wananchi wenzetu wenye ‘interest’ ya kushiriki kwenye biashara hii.

"Baada ya kufika eneo la tukio, kiitifaki ikaonekana nami lazima nishiriki zoezi, nikashindwa kukataa. Nadhani inafahamika kwamba nimekuwa mstari wa mbele kuunga mkono kwa vitendo jitihada nyingi mbalimbali za wajasiriamali vijana ambao wameamua kutoka #NjeYaBox. 

"Hata hawa nilishindwa kuwakatalia. Ukweli ni kuwa, siwajui wao binafsi ‘at personal’ level na wala biashara yao, umiliki wake na muundo wake siujui zaidi ya kuelewa kwa juu juu kuwa ni ‘network marketing’. 

"Ifahamike hapa kuwa sina maslahi yoyote yale kwenye biashara hii na wala sikushiriki uzinduzi wake kwa malengo ya kutoa ushawishi ili watu wajiunge, na natoa rai kwamba wanaotaka kujiunga ama kuacha kujiunga wasitumie picha za ushiriki wangu siku ya uzinduzi, kwa namna yoyote ile, kujenga uhalali wa aina yoyote ile, bali watumie vipimo vyao vingine kufanya uamuzi na siyo picha zangu" alisema Kigwangalla

Mbali na hilo Waziri Kigwangalla aliwaonya watu mbalimbali na Taasisi ambazo zimekuwa zikitumia picha yake hiyo kwa lengo la kuhamasisha watu kushiriki katika biashara hiyo na kusema hatahusika na matokeo yoyote yale na kuwa akibaini kuna mtu au Taasisi inafanya hivyo atachukua hatua za kisheria.

"Sintohusika na matokeo yoyote yale, chanya ama hasi, ya ushiriki wa mtu yeyote yule ama taasisi yoyote ile, kwenye shughuli za kampuni hii. 

"Naomba pia izingatiwe kwamba, jina langu ama picha yangu haijaruhusiwa kutumika kama bango la matangazo ya biashara ya mtu au taasisi yoyote ile, na hivyo kufanya hivyo ni kosa kisheria na ikibainika nitachukua hatua kali za kisheria" alisisitiza

TANGA RAHA- Sehemu ya Tano ( 5 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

"Eddy twende kitandani mpenzi"
Tukafika kitandani kama kawaida yake Mama Fatuma akanisukumia kitandani

ENDELEA
Akapanda kitandani kwa madaha huku akitoa pumzi zilizo zidi kunisisimua mwili wangu.Akaushika mguu wangu wa kushoto na taratibu akaanza kunyonya vidole vyangu vya miguuni nikawa kama mtu mwenye kifafa kwa jinsi ya mtekenyo ninao upata
Mama Fatuma aliendelea kuninyonya vidole vya miguu huku akichezea chezea vitenesi vyangu huku kiganja chake kikitawala kila kona ya koki yangu na kuifanya kama kishikizo cha gia ya gari huku akiizungusha pande zote za dunia.Mama Juma akaniachia na kushuka kitandani
"Una kwenda wapi sasa?"
Nilizungumza huku nikiwa ninahema kama bata mzinga dume aliye choshwa kwa kumkimbiza bata jike
"Usiwe na haraka baby"
Akafungua kwenye kabati langu la vyombo na kutoa kisosi kisha akamimina maji kiasi yasiyoweza kumwagika kisha akarudi nacho kitandani
"Ehee"
Nilizungumza huku nikijaribu kujinyanyua kitandani ila akanirudisha kwa kunisukuma
"Baba tulia"
Akaipanua miguu yangu na kuniomba kiuno changu nikiweke juu ya mto.Nikafanya hivyo haraka kisha nikaikunja miguu yangu huku ikiwa inatazama juu
Ubaridi wa raha kali ulio tokea kwenye vitenese vyangu ukanifanya nitoe mguno kwa sauti ya juu huku nikitafuta mto nijizibe mdomoni kwani nilihisi sauti yangu itasikika kwa nje na tayari ni usiku wa manane
Vitenesi vyangu nikahisi vinaelea elea juu ya kisosi huku vikiwa vinajaribu kupiga mbizi juu ya kisosi hicho

Nilizidi kupiga makelele.Nikastukia koki yangu ikiingizwa mdomoni mwake huku ikiwa inazungukwa na ulimi wake huku mate yake yakiwa yamejaa mdomoni mwake

SORRY MADAM -Sehemu ya 94 & 95 (Destination of my enemies)

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

“Nifwateni mimi”
Binti huyo wa kimasai alizungumza na kushuka kwenye kichuguu hicho. Wote wakamfwata kwa nyuma akwapeleka kwenye moja ya handaki wanalo jificha pale kunapo tokea uvamizi.  Wakakuta wamama na watoto pamoja na wazee wakiwa wamasha ingia kwenye handaki hilo wamejificha baada ya kupigwa kwa vigelegele hivyo.
“Munaweza kujificha humu na maadui wasijue ni wapi nyinyi mulipo”
Hata kabla hawajazungumza chochote, milio ya risasi ikaanza kusikika ikirindima nje ikiashiria kwamba watu hao walio kuja kwenye kijiji hicho si wema kabisa.

ENDELEA
 Karibia watu wote ndani ya handaki miili yao ilipatwa na woga. Wamama walio kuwa na watoto wadogo waliwakumbatia watoto wao huku wakiachia vilio vilivyo wafanya Sa Yoo na Shamsa kushangaa.
“Hatuwezi kukaa humu ndani na kuona watu wasio wenye hatia wakiwa wanakufa pasipo sababu ya msingi”
Phidaya alizungumza huku akiwatazama Shamsa na Sa Yoo ambao muda mwingi waliwatazama wanamama hao na watoto wanavyo angua vilio.
“Una maana gani?”
Binti huyoo wa kimasai aliuliza huku mwili ukimtetemaka. Shamsa akataka kuchomoa bastola yake, ila Sa Yoo akamuwahi mkono huo na kumzuia.
“Sio sehemu yake hii”
Sa Yoo alizungumza huku akiondoka kwenye handaki hili, akapandisha ngazi huku nyuma yake akifwatia Phidaya na Shamsa.

“Tafadhali usitoke baki humu ndani”
Shamsa alimueleza binti wa kimasai ambaye aliwafwata kwa nyuma walipo kuwa wakitaka kutoka. Bimti huyo akawa muelewa na kurudi ndani ya handaki.
   Milio ya risasi iliendelea kurindima, huku vijana wa kimasai wanao tumia silaha za jadi wakiendelea kuteketea kwa maana uweozo wao wa kupambana ni mdogo kuliko uwezo wa wanajeshi hao.
Hapakuwa na mazungumzo zaidi ya kuhakikisha kwamba wanatetea kijiji hicho kinacho poteza watu wake kwa sababu yao. Kila mmoja akakimbilia katika sehemu  ambayo anaweza kuhakikisha kwamba haonekani na kuanza kujibu mashambulizi ya wanajeshi hao
                                                                                                                      ***
“ARGAAAAAAAAAAAAAAAAAAA…………..”
Ukelele mkali ulisikia katika moja ya chumba kilichopo chini ya ardhi kwenye handaki ambalo, mikaka kadhaa ya nyuma iliyo pita, lilikuwa likitumika kama maficho ya majambazi wa kike walio tokea kuitingisha serikali ya Tanzania.
Sura ya Rahab iliyo jaa hasira na uchungu mwingi ikaendelea kuonekana mbele ya uso wa raisi Godwin ambaye amening’inizwa hewani kwa mikono yake kufungwa na kamba ngumu ya manila, kila mkono umefungwa upande wake, na miguu yake nayo imefungwa kila mmoja upande wake. Huku mwili wake ukiwa hauna nguo hata moja.
Kitu ambacho Rahab anakifanya ni kila mara kupiga teke kwa chini kwenye sehemu za siri za Mzee Godwin na kumfanya atoe ukelele mkali.
“Niue tu lakini sio kunifanyia unyama wa aina hii”
Mzee Godwin aliye jaa damu kwneye sura yake iliyo chakaa kwa kipigo kilali alicho patiwa na Rahab, alizungumza huku akimtazama Rahab, aliye mjibu kwa kumtandika ngumi moja kali ya uso, na kuzifanya damu kuzidi kumtoka raisi Godwin kwenye sura yake.

“Mume wangu Praygod, alikufa kifo kikali cha kikatili na wewe ndio msababishaji wa hili”
“Mimi sifahamu hilo”
“Ahaaa ufahamu si ndio?”
“Ndio sifahamu”
“Basi kwa kipigo hichi utafahamu tu”
Rahab akachukua mashine maalumu ya shoti, akachukua nyaya mbili za hasi na chanya moja akaifunga katika uume wa mzee Godwin na mwengine akaufunga kwenye gololi za mzee huyo, kisha akarudi mezani ilipo mashine hiyo yenye swichi ya kuongezea mtetemesho wa shoti.

Bila hata ya huruma, Rahab akaiwasha mashine hiyo na kumfanya mzee Godwin kutetemeshwa karibia mwili mzima. Mzee Godwin alizidi kulia kwa maumivu makali sana anayo yapata. Tangu kwenye maisha yake yote hakuwahi kuweza kukutana na maumivu makali ya namna hiyo japo alikuwa ni mwanajeshi na aliweza kukutana na waalifu wengi alio weza kuwabana na mashine hiyo ya shoti ila kwa sehemu alipo wekewa nyanya hio ndivyo jinsi alivyo zidi kuona maisha yake yanakwenda ukingoni hata kabla ya kufanikisha malengo yake ya kuifanya nchi ya Tanzania kuwa na utawala wa kifalme na si wa uraisi tena.

Maumivu makali aliyo yapata yakapelekea mzee Godwin kupoteza fahamu hapo hapo. Hilo wala halikumuogopesha Rahab alicho kifanya ni kuzima mashine hiyo. Akachukua ndoo kubwa, akaingia bafuni akakinga maji kwenye bomba hadi, ndoo hiyo ikajaa. Akarudi nayo kwenye chumba cha mateso, akamwagia maji hayo mzee Godwin na kumfanya kustuka kutoka katika hali ya kupoteza fahamu.
“Zoezi letu linaendelea pale pale”

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosii ya February 17

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images