Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kutana na Mtaalam wa Kutafsri Ndoto Yoyote...Anasafisha Nyota na Kutoa Mikosi

$
0
0
SHEIKH SHARIF OMARY
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
 
SHEIKH SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)
 
SHEIKH SHARIF ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
 
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
 
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
 
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.
 
Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone SHEIKH SHARIF Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
SHEIKH SHARIF Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
 
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.
 
ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
 
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
 
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
 
Mawasiliano ..+255 743 203 171

Chanzo cha Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume na Tiba Yake

$
0
0

Tendo la ndoa limengawanyika katika makundi matatu baadhi yake makudi hayo niuhanisi, kufanya tendo la ndoa maramoja na kushidwa kurudia tena 

sababu zinazo pelekea ni ugonjwa wa kisukari, kujichuwa, maumivu ya mgongo na kiuno, tumbo kuuguruma na kujaa gesi, msogo wa mawazo, presha, kutokuwa nyama sehemu ya haja kubwa yani mgoro, ulevu wa kupidukia, kuadhilika na madawa ya kulevya 

ARRBERA 1 Ni dawa ya asili ambayo imefanyiwa tafiti kwa hali ya juu isiyo na kemikali yoyote kwa mtumiaji ambayo humfanya mtumiaji kufanya tendo la ndoa maratatu bila kuchoka 

Pia ARRBERA 2 ni dawa asili abayo huimalisha ukuaji wa umbile la kiume lililo sinyaa na kunenepesha saizi upedayo. sihayo tu upade wa wamatatizo kisukari yakushuka na kupada kuna dawa ya kutumia siku saba na kufanya sukari ibaki nomo balasi abayo ni 4-5-6 vilevile kwaupade wa kina mama matatizo ya uzazi na hedhi kuvurugika na kutokwa maji maji sehemu za sili fagasi na kifafa cha mimba kwa kina mama waja wazito na kifafa cha kawaida 

FIKA OFISINI KWETU MBANGALA RAGI TATU ASIYE KUWA NA NAFASI HUDUMA YETU UTALETEWA POPOTE ULIPO KWA KWA KAZI WA DSM muone dr kabero simu 0758078280 au 0713 293 988 wote mnakalibishwa
No automatic alt text available.

Huna Sababu ya Kuaibika Tena.....Jipatie Dawa Asili ya Tatizo la Nguvu za Kiume

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume  yamekua yakiathiri watu wengi sana kisaikologia hasa baada ya kujiona wakotofauti sana na wengine, kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hili, chango :- hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngiri :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba namarakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kukosa kabisa

MIHINI:- Nidawa ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka (15-80) inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) ,inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uwe na hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi ya maratatu bilahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kilelen Kwa mda wa dk (18-25).

SUNUPER :- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwamda mfupi sana , ni Dr GALIMU mtatuzi wa matatizo yako kunadawa ya kupunguza unene, kitambi (nyamazembe),matiti makubwa kuwa madogo, uzazi, kuludisha mali iliyopotea, kuuzavitu bila kununuliwa, biashara, wachimba madini kusafisha nyota, kuludishwa kazini mvuto wa mapenzi nk.

KWAHUDUMA NA MSAADA WASILIANA NA DR GALIMU ATAKUSAIDIA SM NO :- 0744 594 994

EU yaipatia Tanzania mabilioni ya pesa kusaidia sekta ya kilimo

$
0
0
Umoja wa Ulaya (EU) umeipatia serikali ya Tanzania msaada wa Euro Milioni 4.5 (Tsh. 12 Bilioni) ili kufanikisha miradi mikubwa mitatu ya sekta ya kilimo ambayo inatekelezwa kupitia Mpango wa Kuendeleza Kilimo Ukanda wa Kusini mwa Tanzania (SAGCOT).

Miradi hiyo itatekelezwa katika mikoa ya Iringa, Morogoro ambapo itafanyika miradi miwili.

Akizungumza kuhusu msaada huo, Naibu Waziri wa Kilimo, Mary Mwanjelwa alisema msaada huo utasaidia wakulima wadogo kuboresha kilimo chao na kuwa cha kibiashara zaidi kuliko sasa.

Mwanjelwa alisema pamoja na kuwanufaisha wakulima, pia kama nchi itanufaika kutokana na biashara itakayokuwa ikifanyika jambo ambalo litasaidia uchumi wa nchi kukua.

“Wamekusudia kufufua kilimo cha kisasa, kilimo bora ili Watanzania wanufaike na kilimo kwa kuwa na soko. Faida yake ni upatikanaji wa chakula, lishe na biashara na mwisho wa siku wananchi wote wanufaike,” alisema Mwanjelwa.

Kwa upande wa Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa nchini, Roeland Van de Geer alisema EU imedhamiia kusaidia mirad mingi hapa nchini katika sekta ya chakula ili kuhakikisha kuwa jamii ya Tanzania inakuwa na chakula cha kutosha.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Lukuvi Aja na ‘Funguka kwa Waziri’

$
0
0
Waziri  wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, ameanzisha kampeni maalum ya kusikiliza kero za wananchi kuhusu migogoro ya ardhi, ijulikanayo kama ‘Funguka kwa Waziri.’

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kusikiliza kero za ardhi kwa Kanda ya Pwani katika ofisi za Kanda hiyo jijini Dar es Salaam jana, Lukuvi alisema amemua kuanzisha kampeni hiyo kwa kuzunguka nchi nzima kusikiliza kero za migogoro ya ardhi kutoka kwa wananchi.

Alisema katika kampeni hiyo watakuwa wanaambatana na Naibu Waziri wake, Angelina Mabula, na kwamba wakimaliza katika Kanda ya Pwani, watakwenda katika Kanda ya Kagera.

Mikoa mingine ambayo amesema wamepanga kwenda katika awamu hii ni Kagera na Shinyanga na baada ya hapo kampeni itahamia katika kanda zingine.

“Tunao mpango wa kutembea nchi nzima mimi na Naibu Waziri. Tunajua ziko kero nyingi za mashamba katika maeneo ya vijijini na mijini, kero za mipaka na nyingine, kwa hiyo lengo letu ni kuhakikisha tunatatua kero hizo, ndio maana tumeanzisha mpango huu wa funguka kwa Waziri,” alisema Lukuvi.

Lukuvi alisema pamoja na kuwapo kwa kero za ardhi katika maeneo mengi nchini, Dar es Salaam ndio mkoa unaoongoza kwa kero za viwanja vya mjini, huku wilaya ya Kinondoni eneo la Tegeta likiwa kinara na kufuatiwa na Ubungo katika eneo la Mbezi.

Alisema maeneo hayo yaligawiwa hati nyingi wakati viwanja vilikuwa vichache na kwamba tayari imeundwa idara maalum inayoshughulikia Mbezi na Tegeta na kwamba kero katika maeneo hayo zimedumu kwa muda mrefu.

Alisema kampeni hiyo ya kusikiliza kero ni ya wazi, na wamepanga kwamba endapo kero hizo kwa Kanda ya Pwani hayatamalizika kwa wakati, wataendelea kusikiliza kwa mwaka mzima mpaka pale watakapohakikisha wanazimaliza.

Katika kusikiliza kero hizo jana, Lukuvi pia alikutana na mgogoro wa wasanii wa uchongaji wa vinyago katika eneo la Mwenge ambao wamegawanyika katika makundi mawili yakigombania umiliki katika eneo hilo.Hata hiyo Lukuvi aliahidi kusikiliza tena kero yao kesho kwa kukutanisha pande zote mbili.

Maofisa 18 Watimuliwa Uhamiaji

$
0
0
Idara  ya Uhamiaji imewatangaza maofisa 18 wa ngazi tofauti kutohusika ama kutambua huduma yoyote itakayotolewa nao kwa sababu si wafanyakazi tena.

Hatua hiyo imetokana na idara hiyo hivi karibuni kupokea malalamiko mengi kupitia kampuni na taasisi mbalimbali kuwa kuna watu wanapita kwenye ofisi wakijitambulisha kuwa maofisa kutoka uhamiaji.

Msemaji Mkuu wa Idara ya Uhamiaji, Ally Mtanda,  jana alisema kutokana na hali hiyo, wameamua kuwatangaza watu hao ambao baadhi walisimamishwa kwa makosa ya rushwa na utovu wa nidhamu.

Mtanda alisema idara ya Uhamiaji iliwasimamisha kazi watu hao mwaka 2016/17 na kwamba wengine waliacha kazi wenyewe.

Alisema wameamua kufanya hivyo ili chochote kitakachojitokeza dhidi yao, idara haitahusika.

“Tumeamua kuwatangaza kwa sababu hivi karibuni tumepokea malalamiko mengi kupitia kampuni na taasisi mbalimbali kuwa kuna watu wanapita kwenye ofisi hizo wakijitambulisha kuwa maofisa kutoka uhamiaji.

“Hawa tuliowatangaza leo (jana) kuwa sio wafanyakazi tena wa Idara ya Uhamiaji lengo ni ili jambo lolote likitokea huko nje dhidi yao itambulike si watumishi wetu tena,” alisema.

Mtanda alisema orodha hiyo ambayo imeambatanishwa na picha za watu hao ni kwa lengo la umma kuwatambua kuwa si wafanyakazi wa idara hiyo tena.

Katika tangazo lililotolewa juzi na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, idara hiyo haitahusika au kutambua huduma yoyote itakayotolewa na watajwa kwenye picha.

Watu hao ni Thobias Lyewe, Julieth Mrema, Nina Muga, Loveness Wilson, Wilbard Ompapson, Salama Dilunga, Philbert Chaula, Mkombozi Chodri na Alfred Mrema.

Wengine ni Imaculata Mwakatika, Ramadhani Ally, Ritha Maganga, Jovin Mkuchu, Veronika Max, Angela Mwambwiga, Peter Bally, Elizabeth Kibinga na Lucy Munyanga.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Rais Magufuli Akimuapisha Mnadhimu Mkuu Wa JWTZ

$
0
0
Rais John Magufuli amemuapisha Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Yakubu Hassan Mohamed.

Luteni Jenerali Mohamed ameteuliwa jana Februari 14, 2018 kuwa Mnadhimu Mkuu wa JWTZ na kupandishwa cheo kutoka Meja Jenerali na kuwa Luteni Jenerali.

Luteni Jenerali Mohamed anachukua nafasi ya Luteni Jenerali, James Mwakibolwa ambaye amestaafu.

Mbali na uteuzi huo, Rais Magufuli pia amewapandisha vyeo kutoka Brigedia Jenerali na kuwa Meja Jenerali J.G. Kingu, M.S. Busungu, R.R. Mrangira, B.K. Masanja, G.T. Msongole, A.F. Kapinga, K.P. Njelekela, A.S. Bahati, M.E. Mkingule na S.S. Makona.

Taarifa ilitotolewa Ikulu jana imesema mabrigedia jenerali wote waliopandishwa vyeo watapangiwa vituo vya kazi baadaye.

Kabla ya kuapishwa kwa Luteni Jenerali Mohamed, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Jenerali Venance Mabeyo aliwavalisha vyeo mameja jenerali waliopandishwa vyeo na Rais Magufuli.

Bashe Aiunga Mkono CHADEMA

$
0
0
Mbunge wa Nzega (CCM), Hussein Bashe ameungana na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika kulaani tukio la kikatili lililomtokea Katibu wa CHADEMA Kata ya Hananasif, Daniel John siku za hivi karibuni.

Bashe ametoa kauli hiyo katika jukwaa la CCM wakati akimuombea ridhaa mgombea wao Maulid Mtulia ili aweze kuwa muwakilishi wa Jimbo la Kinondoni katika siku zijazo endapo atapata kura nyingi za ndio siku ya kupiga kura ambapo mpaka sasa zimebakia takribani siku mbili.

"Naviomba vyombo vya ulinzi na usalama, vifanye kila jitihada kufanya uchunguzi wa kina ili aliyefanya uhalifu huu aweze kupatikana. Kumekuwa na tabia kila uchaguzi mdogo unapofanyika matendo ya kihalifu hufanyika halafu wenzetu wa upande wa pili huamishia kesi katika Chama Cha Mapinduzi (CCM)", amesema Bashe.

Pamoja na hayo, Bashe ameendelea kwa kusema "jambo hili lililotokea Jimbo la Kinondoni ni kulaaniwa, sisi tunalilaani na nyie wananchi wa Kinondoni muendelee kulilaani lakini tuombe ufanyike uchunguzi na anayehusika apelekwe kwenye vyombo vya dola, ashtakiwe na watanzania tuambiwe ni nani anayehusika na tukio hili".

Kwa upande mwingine, Kamanda wa Polisi Kinondoni Murilo Jumanne Murilo (jana) amesema Jeshi lake litachunguza kifo cha Kiongozi wa CHADEMA kata ya Hananasif, ambaye mwili wake uliokotwa ukiwa na majeraha kwa kufuata misingi ya kazi yao na siyo kusukumwa na hisia za mtu binafsi.

Polisi kumchunguza Freeman Mbowe

$
0
0
Kamanda wa Polisi Kinondoni, Murilo Jumanne Murilo amefunguka na kusema kuwa jeshi hilo sasa linachunguza kauli alizotoa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa kuhusu kifo cha Kiongozi wa CHADEMA kata ya Hananasif, ambaye mwili wake uliokotwa ukiwa na majeraha.

Kamanda Murilo amesema haya jana  Februari 14, 2018 wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu mambo mbalimbali ikiwepo suala la uchaguzi na kusema kuwa wao kama jeshi la polisi wanachunguza taarifa alizotoa Mbowe kuhusu sakata la kifo cha kiongozi huyo wa CHADEMA.

"Moja ya kazi kubwa ya jeshi la polisi ni kuchunguza jambo hiyo ni kauli yeye ametoa na kauli yake tunaichunguza pia anasema hivyo kwa kuzingatia misingi ipi ambayo inamsukuma yeye kusema hayo anayoyasema...

"Hatuwezi kuacha mtu akajisemea vitu kwa kusukumwa na hisia zake ndiyo maana sisi jambo linapotokea jambo la kwanza kabisa kufanya ni kuchunguza.... hatusukumwi na hisia za mtu kwa sababu tunajua yeye hajasomea kazi ya polisi na hayo anayotamka tunayachukua kama taarifa zingine za kawaida ambazo mwananchi yoyote anaweza kutupa" alisema Murilo

Aidha Murilo aendelea kudai kuwa wamekuwa wakimsikia sana Mbowe akitoa kauli mbalimbali

"Mhe. Mbowe tunamfahamu sana amekuwa akitoa matamko mengi mbalimbali hivyo jukumu letu ni kuchunguza itakavyo lazimika sisi tutamuomba atueleze anamaanisha nini kutamka hivyo itakavyolazimika lakini hatuwezi kusukumwa na kauli yake, tukatoka kwenye msingi wa upelelezi na kuburuzwa na hisia zake halafu baadaye tukosee ili haki isitendeke. Nachoweza kusema wahalifu wote tukichunguza na kuthibitisha huwa wanakamatwa"

Tausi: Sipendi mwanaume mfupi

$
0
0
Msanii wa Filamu Bongo, Tausi Mdegela amesema huwa hapendi mwanaume mfupi.

Muigizaji huyo amesema hayo katika segment ya Kikaangoni, EATV. Tausi ameeleza kuwa anampenda mwanaume  ambaye ni mrefu.

“Sipendi mwanaume mfupi, mfupi wa nini saa? tukiwa wote wafupi nani atazima taa, nani atafunga mlango?.” amehoji Tausi.

“Napenda mwanaume mrefu mwembamba, sio mnene.” ameongeza.

Katika hatua nyingine amesema kuwa katika mahusiano huwa haangalii umri bali anachotaka muhusika awe na malengo ya mbeleni hata kama ni kijana wa miaka 18.

Makonda: Kuna gazeti moja kazi yake ni kunichonganisha

$
0
0
Mkuu  wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema kuna gazeti moja nchini limekuwa likiandika habari za kumchonganisha yeye na viongozi wengine au taasisi nyingine za serikali,  jambo ambalo amesema halikubaliki wala hawezi kulifumbia macho.

Makonda ameyasema hayo jana, Feb. 14, 2018 wakati wa uzinduzi wa Jengo la Huduma za Mama na Mtoto katika Hospitali ya Amana, iliyopo Ilala jijini Dar ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Kauli hiyo ya Makonda imekuja kutokana na maamuzi yake ya kuvunja mabaraza yote ya ardhi ya mkoa wa Dar, na kutaka kazi hizo zifanywe na makatibu tarafa hadi pale ambapo utaratibu mwingine utawekwa, jambo ambalo baadhi ya vyombo vya habari na wanaharakati walidai kuwa anaingilia kazi ya mahakama.

“Kuna gazeti moja linahangaika sana kuandika vitu vibaya kuhusu Mkoa wa Dar, wanajifanya wanajua sana sheria, wanachonganisha, na leo nimeona wameandika tena, wasitupotezee muda.

“Aliyeanza kugombanisha duniani ni shetani, lakini ilifika wakati akashindwa, hili gazeti raha yao wanataka wasikie mahakama imemkataa Mkuu wa Mkoa, hawaoni mateso ya wanachi wala kuyaripoti.

“Sasa aelewe tu kwamba hawatafanikiwa, nimeangalia nikabaini kuna ardhi moja bosi wao aliichukuaga, ipo tu limebaki poli katika eneo moja katika Wilaya ya Ubungo, tutaangalia taratibu angalau tuwapatie watu lijengwe soko la kisasa pale,” alisema Makonda bila kutaja ni gazeti gani.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Mahakama Yamwachia Huru Mwenyekiti za Zamani wa UVCCM

$
0
0
Mahakama ya hakimu mkazi Mkoa wa Dodoma imemwachia mwenyekiti wa zamani wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Sadifa Juma Khamis baada ya upande wa Jamhuri kuwasilisha maombi ya kuifuta kesi iliyokuwa ikimkabili.

Uamuzi huo umetolewa leo Februari 15, 2018 na hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo, Emmanuel Fovo baada kuridhia ombi la wakili wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Biswalo Biswalo kuiomba mahakama kuifuta kesi hiyo.

Desemba 9, 2017, Sadifa alikamatwa na Takukuru akiwa nyumbani kwake Mailimbili mjini hapa akituhumiwa kugawa rushwa kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa umoja huo.

Mbunge huyo wa Donge na mjumbe wa kamati kuu ya CCM aliyemaliza muda wake, baada ya kukamatwa alilala mahabusu kwa siku tatu baada ya kukosa dhamana.

Katika shtaka la kwanza, Sadifa alidaiwa aliwahonga wanachama ili wamchague Rashid Mohamed Rashid ambaye alikuwa akiwania umakamu mwenyekiti katika uchaguzi mkuu wa umoja huo.

Shtaka la pili, alidaiwa kuwaahidi kuwalipia gharama za usafiri wanachama wa umoja huo kwa kuwasafirisha kutoka Dodoma hadi Kagera kama zawadi ili wamchague Rashid.


Waziri Mkuu Atoa Maagizo Mazito Jijini Mwanza

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza wakuu wa wilaya na watendaji wa halmashauri kutoka maofisini kuwafuata wananchi maeneo yao ili kusikiliza kero zao.

Amesema hayo leo Februari 15, 2018 katika Ikulu ndogo jijini Mwanza baada ya kupokea taarifa ya mkoa huo na kuzungumza na viongozi mbalimbali wa Serikali na dini.

"Watendaji hamna sababu ya kukaa ofisini wakati wananchi wanahangaika na kero, nendeni kwa wananchi kwa kuwa wao hawana uwezo lakini nyie mnawezeshwa kila kitu,” amesema Majaliwa.

Pia, Majaliwa ameagiza watendaji wa halmashauri kuhakikisha wanakuwa na Ilani ya CCM, kuisoma na kuielewa hata kama mtendaji atakuwa sio kada wa chama.

Pia, ameagiza kufanya operesheni kuhakikisha mipaka ya Ziwa Victoria inalindwa kwa kuwahoji watu wote ambao watakuwa na mashaka nao,  si kufanya operesheni ya  uvuvi haramu pekee.

Majaliwa amesema lengo la ziara yake ni kukagua huduma muhimu za afya, maji, elimu na miundombinu  kwa kuwa Serikali inahitaji kuona wananchi wanapata mabadiliko makubwa katika maendeleo.

Amesema kwenye ziara yake atatembelea mashamba ya pamba kujionea maendeleo na kuzungumza na wakulima, lengo la Serikali ni kufufua zao hilo na jitihada zimeanza.

TANGA RAHA- Sehemu ya Nne ( 4 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
 ILIPOISHIA  

"Ngoja niondoke niende kuoga kisha nikarudi kuimalizia hii movie imenibamba sana"
Akatoka huku akilitingisha kalio lake kubwa ambalo kwenye tenge alilo livaa lilijitokeza vizuri na kuufanya mwili wangu kunisisimka

ENDELEA
Nikaufunga mlango wangu na kuingia bafuni nikanga nilipo maliza nikarudi kukaa kwenye sofa na kuanza kuandika topic(mada) nitakazo fundisha jumatatu nikiwa shuleni
Mida ya saa sita kasoro mlango wangu ukagongwa
"Nani?"
Ilinilazimu kuuliza kwani ni muda wa usiku na bado sikuwa mwenyeji katika mtaa huu
"Mimi mama Fatuma"
"Mama Fatuma yupi?"
"Mama yake mdogo Jumaa nimekuja kuimalizia ile movie"
Nikanyanyuka japo kwa tahadhari na kwena kuufungua mlango.Mama Fatuma akaingia huku akiwa amevalia suruali nyeusi iliyo mbana na kufanya hipsi zaka kupanuka vizuri na kalio lake kubwa kuchomoza zaidi ya nilivyo liona likiwa ndani ya tenge

"Karibu mwaya"
"Ile movie bado haijaisha?"
"Bado ila ndio ipo ukingoni kingoni"
Mama Fatuma akakaa kwenye sofa hapo ndipo nikapata muda wa kumtadhimini kuanzia usoni hadi chini.
Machn makubwa mazuri yaliyo legea kama mtu mwenye usingizi yanaendana na pua ndogo kiasi huku na midomo mipana ya wastani yenye meno meupe yaliyo jipanga vizuri.
Sura ya duara ya mama Fatuma ilizidi kumfanya kuwa mzuri zaidi.Macho yangu yakashuka hadi kifuani mwake ambapo kuna chuchu zilizo jalia ila zina ukubwa wa wastani zikazidi kuusisimua mwili wangu na kusabisha bastola yangu kusimama

"Labda nikupe kinywaji gani?"
"Una bia baridi?..Ila unaonekana wewe si mnywaji?"
"Nilikuwa ni mnywaji ila kama unahitaji ngoja nikakuchukulie"
"Sawa"
Nikampa rimoti ya Dstv ili hata akihitaji kubadilisha chanel abadilishe.Nikavaa vest na kutoka nje.Ila nikaufunga mlango wangu kwa nje ili hata kama atakuwa na lengo la kuniibia atashindwa
Kwa jinsi mtaa wa Chuda ulivyo na hotel na baa nyingi haikuwa ngumu mimi kutembea umbali umrefu kutoka na ninapo ishi.Nikanunua CARTON mbili za bia za kopo na mzinga mmoja wa VALUE
Kabla sijaondoka eneo la baa niliyopo nikaagizia nyama ya mbuzi ya kukaangwa kilo mbili na kurudi nyumbani.Nikamkuta Mama Fatuma akiwa amejilaza kwenye sofa huku taa akiwa ameizima

Bunge Lamchagua Cyril Ramaphosa Kuwa Rais wa Afrika Kusini

$
0
0
BUNGE la Afrika Kusini limemchagua Mwenyekiti wa chama tawala cha ANC Cyril  Ramaphosa, kuwa Rais wa mpito wa nchi hiyo, mpaka pale uchaguzi utakapofanyika baada ya rais wa taifa hilo Jacob Zuma kujiuzulu.

Zuma alikuwa akikabiliwa na tuhuma nyingi, moja ikiwa ni kumhusisha na vitendo vya rushwa japokuwa mwenyewe amekanusha kuhusishwa na tuhuma hizo. 

Alijiuzulu mara moja jana jioni licha ya kusema hakubaliani na uamuzi wa chama.

CCM wajiandaa kutangazwa washindi uchaguzi mdogo wa ubunge na udiwani

$
0
0
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza maandalizi ya kusheherekea ushindi wa kishindo na kihistoria kitakaoupata katika uchaguzi mdogo wa ubunge na madiwani utakaofanyika Februari 17, 2018.

Pia, chama hicho tawala kimelitaka Jeshi la Polisi kuhakikisha linalinda amani wakati wote wa uchaguzi huo ili wananchi wakawachague viongozi wanaowapenda na wasiruhusu hila zozote.

Hayo yamesemwa leo Februari 15,2018 na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, lepHumphrey Poole alipozungumza na waandishi wa habari ofisi ndogo za chama hicho, Lumumba jijini Dar es Salaam.

"CCM inawachama wasiopungua milioni 12. Tanzania ina wananchi wasiopungua milioni 50 na wapiga kura wa Taifa zima ni milioni 25. Tunapokwenda katika uchaguzi, wenzetu wanapaswa kulitambua hili," amesema Polepole,

"Ushindi ni sayansi, ukiondoa wanachama wetu na kazi ya siasa ambayo tunaifanya, tumefanya kampeni jimbo zima, kata nzima, mtaa wote, kaya, kitanda kwa kitanda na mtu kwa mtu. Baada ya haya tunakamilisha kuandaa sherehe ya kusheherekea ushindi."

Kwa msisitizo, Polepole amesema: "Kwa namba hii CCM itakuwa na ushindi mkubwa na wa kishindo na hii tutakuwa tunatesti mitambo kwa uchaguzi mkuu 2020 na ule wa serikali za mitaa."

Amewasihi vyama vya upinzani kuwa tayari kushindwa akisema, “kwa hiyo wawe tayari kushindwa kwani wamezoea kushindwa na kwa hesabu hizo hapo juu tushashinda."

Kuhusu wagombea katika uchaguzi huo, Polepole amesema: "Wagombea hawa 12, wawili wa majimbo na 10 wa Kata. Kinondoni - Maulid Mtulia na Dk Godwin Mollel kule Siha na madiwani ni makini kwelikweli ambao watashughulika na matatizo ya wananchi na hawa ndio wataibuka washindi."

"Uteuzi wa wagombea hawa haukufanyika kiholela, unazingatia Katiba na kanuni za Chama. Wagombea wote wamepitishwa katika matanuru ya kupimwa kwa hatua mbalimbali na hakika ni watu waadilifu, wachapa kazi."

Polepole amesema kuna taarifa wamezipata kwamba kuna mkakati unaandaliwa na wapinzani wa kutoa watu mikoani ili waje kuharibu uchaguzi huo ambao hawatakubali hilo litokee.

"Tumelijulisha Jeshi la Polisi juu ya nyumba hizo na watu hao. Sisi tumefanya yetu tumemaliza. Kura hazilindwi na watu, kwa mujibu wa taratibu za kisheria uko utaratibu," amesema Polepole na kuongeza:

"Uchaguzi ni sehemu ya wananchi kuchagua. Vyombo vyenye mamlaka ya kuhakikisha amani inakuwapo na wananchi wawachague viongozi wanaowapenda. Hatuliagizi Jeshi la Polisi, lakini sisi ndio chama kinachoongoza nchi."

Ilivyokuwa Kesi ya kujiunganishia Bomba la Mafuta ya Dizeli Nyumbani

$
0
0
Mfanyakazi Mstaafu wa Shirika la Mafuta Tanzania na Zambia (TAZAMA) Samwel Nyakirang’ani (63) na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi wa kujiunganishia Bomba la Mafuta ya Dizeli wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, iwapatie dhamana.

Maombi hayo wameyawasilishwa kupitia Wakili wao, Kusalika Augustine mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba ambapo alidai wateja wake wanahitaji kupata dhamana kwa sababu mashtaka yanayowakabili yanadhaminika.

Kutokana na maombi hayo, upande wa mashtaka uliomba kesi hiyo iahirishwe ili wajibu hoja hizo, ambapo Hakimu Simba aliahirisha kesi hiyo hadi February 22, 2018.

Washtakiwa wengine katika kesi hiyo  ni Nyangi Mataro ambaye ni Mwalimu wa Shule ya  msingi Ufukoni na mkazi wa Kisiwani Mkajuni Kigamboni.

Wengine ni Mfanyabaishara, Farijia Ahmed, Malaki Mathia, Kristomsi Angelus, Pamfili Nkoronko na Hunry Fredrick.

Kwa pamoja washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka matatu ya uhujumu uchumi kwa kujiunganishia isivyo halali Bomba la Mafuta ya  Dizeli, kinyume cha sheria  ya Uhujumu uchumi.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images