Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Breaking New: Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri wa Wilaya ya Tunduru


Dawa ya Asili ya Tatizo Sugu la Nguvu za Kiume.

$
0
0
MAPRO POWER NO 3; NI DAWA YA NGUVU ZA KIUME KWA WANAOSHINDWA KURUDIA TENDO NA KUKOJOA HARAKA :

Tatizo LA kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya kiume husababishwa na matatizo yafuatayo;
 1 kupiga punyeto au kujichua
 2 kufanyiwa tohara ukubwani 
3 utumiaji usio na mpangilio madawa ya ospitalini au ya kizungu 
4 usongo wa mawazo 
5 magonjwa ya moyo, PRESHA, kisukari, kuvimba kwa korodoni, vidonda vya tumbo, tumbo kujaa gesi au kuunguruma, unene kupita kiasi nk

Upungufu wa nguvu za kiume husababisha kutofanyika vema kwa tendo la  ndoa na kutojiamini na hivyo husababisa ndoa au mahusiano mengi kuvunjika 

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI 
1 KUWAHI KUJOA HALAKA 
2. KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA 
3. KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA 
4 UUME KUSIMAMA UKIWA LEGELEGE NK 

TUMIA MANGUNGU MIX kwa wale wenye uume mdogo,na mwembamba utapata saiz upendayo urefu inchi 1-8 na unene sentimita 1-5. Dawa hizi ni za mitishamba na HAZINA MADHARA YOYOTE 

KUNA DAWA ZA KUMRUDISHA mpenzi kwa mda mfupi tu, kupata kazi haraka, kurudishwa kazini.Je unakesi au umedhurumiwa au unadaiwa 

JE HUJAPATA MTOTO, MPENZI WAKO HAKUTIMIZII MAITAJI YAKO>>???? NJOO SASA UJACHELEWA 

FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU NYUMA YA HOSPITALI 

SIMU NA 0743362017,  0686980006 -DR AGU 

KAMA HUNA NAFASI YA KUFIKA OFISINI UTALETEWA POPOTE

Serikali Kupata Mabilioni Ya Shilingi Kutokana Na Almasi Iliyokamatwa Uwanja Wa Ndege Wa JNIA

$
0
0
Waziri wa Madini, Angela Kairuki amesema kuwa serikali inataraji kupata mrabaha zaidi katika madini ya Almasi yaliyokamatwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius K. Nyerere kutoka kwa Kampuni ya Williamson Diamond iliyokuwa ikitaka kutoroshwa madini nchini kwenda Ubelgiji.

Waziri Kairuki amesema hayo alipokuwa akizungumza na Waandishi wa habari wakati akitoa ripoti ya Wizara ya Madini juu ya mzigo huo wa Almasi kutoka kampuni ya Williamson Diamonds.

“Tarehe 20/10/2017 almasi hizo zilisafirishwa kwenda ubelgiji na serikali ilituma maafisa wake kusimamia uuzwaji wa alamasi hizo ambapo tarehe 7/11/2017 almasi hizo ziliuzwa kwa dola za Marekani 10,261,227.76 hivyo thamani hii ni ongezeko la Dola za Marekani 2,069,582.77 sawa na asilimia 20.16%”amesema.

Amesema kutokana na ongezeko hilo baada ya almas kuuzwa serikali itapata mrabaha zaidi ambao ni mwisho kiasi cha Dola za Marekani 124,174,.97 na ada ya ukaguzi Dola za marekani 20,695.83 ambayo jumla yake ni dola za Marekani 144,870.80 sawa na shilingi Milioni 325.525 hivyo jumla ya mapato yote ya serikali kutokana na mauzo ya almasi hizi ni Dola za Marekani 718,288.95

Aidha Waziri Kairuki amesema katika mzigo huo waliweza kuikuta Almasi moja yenye rangi ya pinki ambayo ni adimu kupatikana na yenye uzito wa karatani 5.92 na kuuzwa kwa dola za marekani 2,005,555.00 sawa na shilingi Bilioni 4.51 .

Alimaliza kwa kusema kuwa anawakikishia Watanzania kuwa serikali itaendelea kuisimamia kwa makini rasilimali zetu za madini ili kuhakikisha kuwa nchi yetu inanufaika ipasavyo.

Majibu ya Waziri Mkuu Kuhusu Mchakato wa Katiba Mpya Bungeni

$
0
0
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema kuwa Changamoto za jamii ni nyingi kuliko mahitaji ya Katiba hivyo suala la katiba sio kipaumbele cha serikali kwa sasa

Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo Bungeni wakati wa kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, ambapo alijibu swali la Mbunge wa Temeke Abdallah Mtolea lililohoji kuwa ‘Serikali ya awamu ya tano imetimiza miaka miwili lakini hakuna jitihada zozote zilizofanywa katika kuendeleza mchakato wa katiba ulioachwa na Serikali ya awamu ya nne.

Akijibu swali hilo Waziri Mkuu amefafanua, “Katiba mpya inahitaji gharama kubwa na sisi tumeanza na kutatua changamoto za jamii kwanza, ikiwemo mahitaji ya maji, changamoto za elimu, na sekta ya Afya”. Amesema Waziri Mkuu

Waziri Majaliwa ameongeza kuwa Katiba ni muongozo tu na wakati ukifika serikali yake imemaliza changamoto basi wataanza mchakato huo.

“Kila bajeti ina vipaumbele vyake, kwa sasa acha tufanyie kazi vile ambavyo vinasumbua wananchi wengi kwani kipaumbele kikuu ni kuimarisha huduma za jamii hivyo tunasimamia ukusanyaji mapato ili tumalize changamoto hizi na katiba ni muongozo tuu acha tutumie huu uliopo sasa”. Amesema Waziri Mkuu

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Habari Muhimu Toka Kurugenzi ya Mawailiano ya Rais IKULU

Aliyetangazwa kununua nyumba za Lugumi akamatwa na Polisi

$
0
0
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linamshikilia Dk. Luis Shika ambaye mapema leo alitangazwa kununua nyumba mbili za Lugumi zilizokuwa zikipigwa mnada na Kampuni ya Udalali ya Yono (Yono Auction Mart).

Taarifa iliyotokana na mnada huo mapema leo mchana zilieleza kuwa Dk Shika amenunua nyumba hizo mbili zilizopo eneo la Mbweni, Dar es Salaam kwa gharama ya Tsh 1.9 bilioni.

Taarifa kutoka Yono zinaeleza kuwa, mnada wa nyumba hiyo unarudiwa tena leo baada ya kubainika kuwa Dk Shika ni tapeli na kwamba ameshindwa kulipia fedha asilimia 25 kama masharti ya mnada huo yanavyotaka.

Akiwajibu waandishi wa habari maswali yao, Dk Shika alisema kwamba, Yono walitaka 25% ya fedha za nyumba hizo, ambapo yeye hakuwa na kiasi hicho cha fedha kwa wakati huo.

Aidha, alifafanua kwamba, kiasi hicho cha fedha kingeweza kupatikana kesho au keshokutwa kwa sababu huwa hatembei na fedha kamili mfukoni.

Breaking News: Waziri Wa Kilimo Dkt Tizeba Amsimamisha Kazi Mkurugenzi Mkuu Wa Bodi Ya Sukari Tanzania

$
0
0
 Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Sukari Tanzania Ndg Henry J. Semwanza

Na Mathias Canal, Dodoma
Waziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba amemuagiza Katibu mkuu wa Wizara ya Kilimo Mhandisi Methew Mtigumwe  kumsimamisha kazi mara moja Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Sukari Tanzania Ndg Henry J. Semwanza kuanzia leo Novemba 9, 2017.

Kwa agizo hilo lililotolewa na Waziri wa Kilimo Dkt Tizeba, Mkurugenzi huyo atatakiwa kurejea kwa mwajiri wake ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo kwa ajili ya kupangiwa kazi nyingine.

Simwanza anasimamishwa kazi kutokana na mwenendo wake wa utendaji akiwa Msimamizi Mkuu wa Bodi ya Sukari kutoridhisha.

Simwanza amehudumu katika nafasi hiyo akiwa Mkurugenzi wa Bodi ya Sukari tangu mwaka 2011.

Wakili Feki Akamatwa-mahakama Kuu-divisheni Ya Ardhi

$
0
0
Bw. Jeremiah Ragita aliyejifanya kuwa Wakili akitokea Kampuni ya Sheria ya Faithful Attorney Advocates kwa mujibu wa Naibu Msajili, Mahakama ya Ardhi, Mhe. Frank Mahimbali anasema Wakili huyo feki alikamatwa mapema Novemba 08 katika Mahakama hiyo akimsimamia Mleta maombi Nunu Mhusin Mkwata.
******
Mhe. Mahimbali anasema kuwa upande wa pili ambao unasimamiwa na Wakili Maros Gabriel kutoka Kampuni ya Sheria ya ‘Common Law Chambers’ ulimtilia shaka Bw. Jeremiah Ragita kama kweli ni Wakili ndipo alipofanya upekuzi kwenye Ofisi ya TLS na kuambiwa kuwa hawana jina hilo.

Hata hivyo Mhe. Mahimbali alienda mbali na kumuandikia barua Msajili wa Mahakama Kuu (RHC) na kujibiwa kuwa hakuna Wakili aliyesajiliwa kwa jina hilo.

Kwa mujibu wa Naibu Msajili kesi hiyo ilipoitwa mbele ya Mhe. Jaji Crencesia Makuru, Wakili Maros alimueleza Mhe. Jaji kuwa mwenzake wa upande wa pili sio Wakili na kisha akatoa vielelezo kutoka katika Ofisi ya Msajili Mahakama Kuu na Ofisi ya TLS ndipo Bw. Ragita akakiri kuwa yeye si Wakili.

Hata hivyo Bw. Ragita alikamatwa na kupelekwa Polisi Kituo cha Kati (Central Police) jijini Dar es Salaam kwa ajili ya hatua stahiki za kisheria.

Mahakama inapinga vikali vitendo vya ulaghai (Mawakili feki, vishoka) vinavyofanywa na baadhi ya Wananchi kwa lengo la kujipatia kipato.

(Imetolewa na Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano, Mahakama).

Tamko la Waziri wa Elimu Bungeni Kuhusu Mikopo

$
0
0
Serikali imewaagiza wakuu wote wa vyuo vya elimu ya juu kuacha urasimu katika utoaji wa fedha kwa wanufaika wa mikopo ambao wana makubaliano na Serikali.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amesema leo bungeni ikiwa ni utekelezaji  wa agizo la Spika Job Ndugai  lililotaka serikali kutoa kauli kuhusu wanafunzi wa mwaka wa kwanza kutakiwa kutoa fedha ili wasajiliwe kabla ya kupata  mikopo.

Agizo la Spika lilitokana na Mwongozo uliombwa na Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Martha Mlata ambaye alieleza bunge kuwa wanafunzi wamekuwa wakihangaika vyuoni baada ya kutakiwa walipe fedha za usajili kabla ya kupewa mkopo.

"Serikali imeshawaagiza wakuu wa vyuo vya elimu ya juu kuacha urasimu katika utoaji wa fedha kwa wanufaika kwa mikopo ambao wana makubaliano na Serikali," amesema.

Amesema inasikitisha sana kuona baadhi ya vyuo vinadiriki hata kuwakataa wanafunzi waliowadahili wao wenyewe au vinawalazimisha wachukue programu tofauti na walizokuwa wamechaguliwa awali na vyuo husika.

" Jambo hili halikubaliki hata kidogo na linaleta shaka kuhusu uadilifu wa vyuo husika. Naiagiza TCU (Tume ya Vyuo Vikuu) na Kurugenzi ya Elimu ya Juu ya Wizara, kufuatilia kwa karibu mambo yote yanayopendelea vyuoni wakati wanafunzi wanaripoti na kubainisha wote wanaokiuka taratibu na kuwanyima wanafunzi haki yao ya kusoma programu wanazoitaka," amesema.

Amesema Serikali haitasita kuchukua hatua kali kwa vyuo vyote vitakavyoleta usumbufu usio wa lazima kwa wanafunzi na kuwafanya wapoteze muda ambao wanapaswa kuutumia kwa masomo.

Makamu wa Rais Zimbabwe akimbilia uhamishoni kuhofia maisha yake

$
0
0
Aliyekuwa makamu wa Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa ambaye Rais Robert Mugabe alimuondoa kwenye nafasi hiyo wiki hii ameripotiwa kukimbia nchi hiyo kwa madai ya kuhofia usalama wake.

Rais Mugabe alimtangaza Mnangagwa kuwa ni adui wa Serikali yake akidai kuwa alikuwa anapanga njama za kushika dola.

“Alienda kwa nabii kanisani ili aambiwe Mugabe atakufa lini. Lakini aliambiwa angekufa yeye kwanza,” Mugabe aliwaambia waandishi wa habari Jumatano alipotangaza kumtumbua Mnangagwa.

Rais Mugabe aliongeza kuwa walikuwa wakifuatilia mienendo yake kwa muda mrefu na njama alizokuwa akipanga kushika dola bila kufuata utaratibu wa chama na kwamba wameona wamuondoe yeye lakini wale aliokuwa akishirikiana nao watajua namna ya kuishi nao wakiwa ndani ya chama cha ZANU-PF.

Mke wa Rais Mugabe, Grace Mugabe anatajwa zaidi kuwa ndiye atayechukua nafasi ya Makamu wa Rais huku ikielezwa kuwa ni sehemu ya kumtengenezea njia ya kurithi nafasi ya mumewe.

Mama Grace amekuwa na uadui mkubwa na Mnangagwa akimtaja kuwa ni msaliti. Pia, alimfananisha na nyoka ambaye alidai anapaswa kuondolewa mapema.

Hata hivyo, tamko lililotolewa na watu wa karibu wa Mnangagwa limekanusha kuwa alikuwa na njama zozote dhidi ya Serikali hiyo na kwamba amekuwa mwaminifu wakati wote kwa Rais Mugabe.

Bashe, Nassari Wapeana Makavu Twitter

$
0
0
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari  (CHADEMA) amemvaa Mbunge wa Nzega Mjini, Mh. Hussein Bashe (CCM) kwa kumpachika sifa ya unafiki baada ya kutoa kauli ya kwamba hoja zilizojadiliwa bungeni siku ya jana zinaashiria kuligawa taifa.

Kilichomfanya Nassari kutumia kauli hiyo ya unafiki kwa Hussen Bashe ambapo amejumlisha pia ni sifa ya Wana CCM ni kutokana na Mbunge Bashe kupitia ukurasa wake wa Twitter kusema kwamba amepata hofu juu ya taswira ya viongozi badala ya kujadili mambo kwa msingi ya hoja na kuanza kujadili ukanda.

"Mh. Bashe aliandika "Bungeni Leo nimeona Un holly discussion ambayo imejaa dhana ya kuligawa Taifa kwa misingi ya Ukanda na Ukabila. CCM,Chadema,Cuf na NCCR tuliomo ndani ya Bunge hatuna haki yoyote ya kuanza kupandikiza mbegu ya kuligawa Taifa".

Ameongeza "Tanu, CCM toka 1957 mpaka leo ilihimiza Umoja na Utaifa na kukemea uhalalishaji wowote wa kuligawa Taifa kwa Misingi ya Dini ukanda na ukabila" Maombi yangu kwa wananchi wenzangu msivumilie mwanasiasa yoyote yule ikiwa ni pamoja na mimi atakayekuja na hoja yenye lengo la kuwagawanya" Bashe.

Baada ya mfululizo wa hoja hizo kwenye ukurasa wa Bashe , Nassari leo amejibu hoja hizo kwa kumwambia Mbunge huyo kwamba baada ya yeye kushindwa kumkemea Mwenyekiti wake kwa kutoa kauli zinazotafsiriwa kuwa ni za kibaguzi ndipo anaibuka na kusema taifa linagawanywa.

"Unafiki ni moja wapo ya sifa kubwa ya mwanaCCM,  HusseinBashe ulishindwa kumkemea mwenyekiti wako wa chama akitoa kauli za kibaguzi kanda ya ziwa juu ya bomoa bomoa, leo wanaibuka wabunge kukemea ndio unajitokeza na kusema tunaligawa taifa?!" Nassari.

Ameongeza kwamba "Kunyamazia uovu huu kwa kujifanya hatuuoni sio kulisaidia taifa, ni vyema na ni wakati sahihi kukemea kabla halijamea".

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne
 
Kutana Maajabu ya Mtabibu MAALIM MOHAMEDI MASUDI Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania
Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..
MAALIM MOHAMEDI MASUDI ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Kwa Majibu ya Maswali yako..

Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA.

Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.
Wasiliana nae kwa namba
0655516982
0688856265
0621898709(Whatsapp)

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Novemba 10

Tiba ya Asili ya Pumu, Vidonda vya Tumbo, Busha na Nguvu za Kiume

$
0
0
Tatizo La Upungufu Wangu Za Kiume Na Maumbile Madogo Ya Uume Limekuwa Kubwa Kwa Lika Zote Hapa Kwetu Na Duniani Kote. Tatizo Si Tatizo Bali Ni Ile Tiba Sahihi Ya Matatizo Haya 

CHAZO CHAKE NA VISABABISHO VYAKE:
DALILI:-Mwili kuchoka, maumivu ya mgongo na kiuno, kutopata Choo vizuri hata ukipata Choo kinakuwa kigumu Kama cha mbuzi ,Misuri  kulegea na kusinyaa hata uume kulegea na kushindwa kufika kileleni. Miguu kuuma na kuwaka au kufa ganzi

TIBA YAKE:
RADI-90-POWER---Ni dawa ya vidonge asilia iliyo tengenezwa kutokana na miti shamba yenye uwezo mkubwa kabisa ktk kutibu matatizo (4) Kwa wakati ==>(1)Huongeza nguvu za kiume maradufu (2)kati ya umri (15-90)(3)hurefusha na kunenepesha uume mdogo kadrii upendavyo inch (6-8)kwa dakika (15)tu.(4)kuchelewa kufika kileleni (5)kuimarisha misuri iliyo legea na kusinyaa. 

Nini huchangia kuwa na matatizo Kama haha? Kisukari,Presha,Ngiri,Zinaa,Kiuno kuuma, Tumbo kuunguruma na kujaa gesi,kutopata Choo vizuri, Mgongo kuuma. 

RADI-90-POWER:-Hutibu na kumaliza matatizo haya kwa mda mfupi tu na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika(45)kwa tendo(1) na utarudia Mara (5)na zaidi bila kuchoka huanza kazi baada ya dakika( 30)tu.Pia huongeza Hamu ya kufanya tendo la ndoa maradufu(2),Kumbuka tatizo hili si geni, kigeni ni tiba sahihi ya kutibu matatizo haya na pia ina guarantee ya miaka(65)na zaidi. 

Tunatibu :---Kisukari, Presha, uzazi, Ngiri, Pumu, maralia sugu, vidonda vya tumbo, chango aina zote, kifua kikuu na busha bila upasuaji. 

ITUJA NO2:--Nidawa ya mvuto wa biashara, kazi, kupandishwa cheo, kupendwa na mwajiri, kumvuta mme/mke,mpenzi, hawara, mchumba unaye muhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zake kwa dhati utampata kwa lisaa limoja (1)tu na atatulia daima na kumfunga asitoke nje ya ndoa.

BOMBA2:--Ni dawa ya kupunguza matiti makubwa, unene turbo, kitambi,mafuta mwilini,uzito,toa fangasi makovu, chunusi, nyama zembe, michirizi, kwa siku tatu (3)tu.NO7:--Inaongeza makalio, Hips, miguu kwa saizi uipendayo kwa siku (2)tu.

HUDUMA HIZI Na zingine nyingi UTAZIPATA popote TANZANIA Name NJE YA NCHI:--MUONE DR SHARIF AU PIGA SIMU NO:-0659347707, 0763483813 ,0688991509,0659347707.  DR SHARIF

Selasini ataka mbunge wa CCM Achunguzwe Sakata la Tundu Lissu Kupigwa Risasi

$
0
0
Mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini ameomba Mbunge wa Ulanga (CCM), Goodluck Mlinga ahusishwe katika uchunguzi wa tukio la kushambuliwa Tundu Lissu.

Selasini ametoa ombi hilo bungeni mjini Dodoma jana  Alhamisi Novemba 9,2017 jioni akichangia mjadala wa mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2018/19 na mwongozo wa maandalizi ya mpango na bajeti kwa mwaka 2018/19.

Mbunge huyo wa Rombo akichangia alisema mbunge huyo alishahusishwa na mauaji ya mpenzi wa mpenzi wake, hivyo ni vyema akahusika na uchunguzi huo.

Baada ya mbunge huyo kueleza hayo, Mlinga aliomba kwa Spika ampe taarifa Selasini akisema katika kipindi cha uhai wake hajawahi kuhusishwa na mauaji.

“Ninamheshimu sana mheshimiwa Selasini. Tangu nizaliwe sijawahi kuhusishwa na kifo cha mpenzi wa rafiki yangu namuomba alete ushahidi katika Bunge hili ni nani alinihusisha,” alisema Mlinga.

Mwenyekiti wa Bunge, Nagma Giga alimuuliza Selasini kama anapokea taarifa hiyo lakini mbunge huyo aliendelea kushikilia msimamo wake akisema suala hilo liliandikwa katika gazeti la Dira.

“Nimemsikia na huo ni mkuki kwa nguruwe lakini kwa binadamu ni mchungu. Gazeti la Dira liliandika vizuri sana kuwa mpenzi wako alikusaliti. Wewe na kundi la vijana wenzako mkaenda kumuua. Liliripotiwa polisi na limeripotiwa kwenye magazeti na hujawahi kukanusha hadi leo,” alisema.

Selasini alisema, “Ningeiomba Serikali katika uchunguzi wa nani waliohusika kutaka kudhulumu maisha ya Tundu Lissu, huyu ambaye ameshatajwa kwamba alihusishwa na mauaji uchunguzi uanzie kwake,” alisema.

Mbunge huyo wa Rombo alisema asubuhi wakati Mlinga alipoomba mwongozo wa Spika, mwongozo wake ulijaa kejeli na kumhusisha Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe na mauaji ya albino.

Katika mwongozo huo, Mlinga alihoji hatua ya Mbowe kutaka wachunguzi wa kimataifa kuchunguza tukio la Lissu aliyejeruhiwa kwa risasi Septemba 7 mjini Dodoma na kuhoji ni kwa nini hakuwahi kutaka wachunguzi hao katika mauaji ya albino.

Mlinga alisema kwa kuwa kuna taarifa kuwa wapo wanasiasa wanahusika na mauaji ya albino basi Mbowe naye ni mhusika na pia akasema ni kwa nini hakuhoji mauaji ya watu wa Kibiti na Rufiji.

Hata hivyo, Spika Job Ndugai alisema kwake haoni kama kuna mwongozo na kuelekeza shughuli za Bunge ziendelee kwa wachangiaji kuanza kuchangia mpango huo.

Asubuhi katika kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu, Mbowe alimuomba waziri mkuu akubali wachunguzi wa kimataifa waje nchini kuchunguza tukio la kushambuliwa Lissu ambaye anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Nairobi nchini Kenya.

Akijibu swali hilo, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alisema bado vyombo vya kiuchunguzi nchini havijashindwa kuchunguza tukio hilo na akawahakikishia Watanzania kuwa uchunguzi unaendelea.

Spika Ndugai Awapa Rungu Wabunge wa CCM Kuikosoa Serikali

$
0
0
Spika wa Bunge, Job Ndugai amewapa rungu wabunge wa CCM akiwataka wafunguke wakati wa mijadala na si kusimama na kupongeza tu.

Spika alitoa kauli hiyo jana wakati wa kujadili mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2018/19 na mwongozo wa maandalizi ya mpango na bajeti kwa mwaka 2018/19.

Kauli ya Spika ilitokana na mchango wa Peter Serukamba (Kigoma Kaskazini –CCM) ambao kwa kiasi kikubwa ulionyesha namna hali ya uchumi si nzuri na kutoa takwimu zinazoonyesha kushuka kwa uchumi nchini.

“Katiba iliweka utaratibu kwamba mipango ya nchi itapita hapa kwanza ninyi muijadili. Halikuwekwa hivyo kwa bahati mbaya. Liliwekwa hivyo ili nyinyi mseme kwa niaba ya wananchi,” alisema Spika.

Alisema, “Katika mambo ya msingi kama haya fungukeni. Msijifunge funge hapo ooh mimi CCM. CCM haitaki mipango mibovu. Ni wakati wenu wa kusema tumsaidie waziri na tuisaidie Serikali ili tusonge mbele.”

Huku akipigiwa makofi na wabunge wa upinzani na wale wa CCM, Spika alisema “Na unapoomba nafasi ya kusema hapa uwe umejiandaa. Si ile tu naunga mkono nafanya hivi unakaa chini”.

Wabunge wawili wa CCM, Hussein Bashe wa Nzega na Serukamba jana walivaa ujasiri na kueleza waziwazi kuwa uchumi uko hatarini kuporomoka, huku Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe yeye alienda mbali na kudai Serikali inatoa taarifa za uongo, akisisitiza uchumi hautajengwa kwa mtutu wa bunduki, ubabe na vitisho.

Katika mchango wake, Serukamba ambaye alionekana kama kuwafungulia njia wabunge wa CCM, alisema mipango yote mitatu ni kama imeigizwa akitumia neno la ‘copy and Paste’.

“Ukipitia yote wamebadilisha lugha lakini kinachosemwa ni kilekile. Deni la Taifa linapanda kwa Sh4 trilioni kwa mwaka. Maana yake tumeamua kama Serikali kila kitu kinafanywa na Serikali,” alisema.

“Hatuwezi kuendelea. Halipo Taifa duniani ambalo kila kitu wanajenga kwa fedha za Serikali. Tumekwenda Moscow uwanja wa ndege wa kimataifa umejengwa na mtu binafsi.”

Serukamba alisema Serikali inasema inatekeleza miradi kwa ubia na sekta binafsi (PPP), lakini katika kitabu cha waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango hakuna mradi ulioonyeshwa.

“Serikali hii haiamini katika sekta binafsi. Nataka Bunge hili tukubaliane Waziri wa Fedha atuambie, Serikali hii haikubaliani na Sekta binafsi. Kama tumerudi kwenye ujamaa tuambiane,” alisema.

“Namuonea huruma sana Rais. Anahangaika lakini wenzake hawamwambii ukweli. Humu ndani waziri anaongelea kukusanya kodi peke yake. Tunakusanya kodi kwa nani?”

“Leo mabenki yanakufa. Mabenki yote yanaonyesha kushuka kwa faida. Hata mabenki makubwa. Hata uchumi unaofanya vizuri tunaangalia ufanisi wa sekta ya mabenki na ufanisi wa soko la mitaji”

“Nchi ni yetu sote. Haiwezekani viwanja vya ndege tujenge kwa pesa zetu, reli tujenge kwa pesa zetu, umeme pesa zetu, barabara kwa pesa zetu sisi ni nani. Dunia yote imeenda kwenye sekta binafsi”

“Leo ukienda kwenye mabeki kila kitu kimeshuka. Personal lending (mikopo kwa wafanyakazi) mwaka 2015 ilikuwa asilimia 25.5 leo ni asilimia 8. Mikopo ya biashara mwaka 2015 ilifika asilimia 24.6 leo ni asilimia tisa 9.”

“Hakuna anayesema na tukisema utaanza kupewa majina. Mambo hayako sahihi kwa sababu moja tu, mpango wetu wa mwaka huu ndiyo wa mwaka jana na ndio wa mwaka juzi,” alisisitiza Serukamba.

Akizungumzia hilo, Bashe alisema vigezo vya kupima uchumi wowote duniani una kioo na kioo cha uchumi wowote unaokua au kusinyaa au unaoshuka ni taasisi za fedha, biashara na soko la mitaji.

Alisema mikopo kwa watu binafsi imeshuka hadi asilimia 8.9 mwaka huu kutoka asilimia 25 za mwaka 2015 huku mikopo ya kibiashara nayo ikishuka hadi asilimia tisa kutoka 24 za mwaka 2015.

“Na maneno haya siyatoi pengine ni report za BoT (Benki Kuu ya Tanzania) inayoishia Juni mwaka huu. Kilimo leo ni negative 9 (hasi) kutoka asilimia sita. Manufacturing kutoka asilimia 30 hadi tatu,” alisema.

“Uchumi wetu unasemwa unakua kwa asilimia 6.8 lakini taarifa ya mwisho niliyonayo inasema asilimia 5.7,” alisema Bashe huku akisisitiza kuwa Serikali haijajipanga katika kutekeleza mpango huo.

“Waziri katika kitabu chake hiki anasema watafanya uhimilishaji wa mifugo 459,000 na tunapanga kuzalisha hay (majani ya ng’ombe) 445,000 kitakwimu hay moja ina uzito wa kilo 25”.

“Chakula hiki ukikigawa kwa siku 365 kinalisha ng’ombe 1,600 tu. Huku unapanga kuzalisha ng’ombe 400,000 lakini unaandaa chakula cha kulisha ng’ombe 1,600?”alihoji Bashe.

Alisema mapinduzi ya viwanda hayawezekani bila kuwekeza katika sekta ya kilimo na kwamba, Serikali inajaribu kudhibiti mfumuko wa bei kwa kuwatia umasikini wakulima.

“Yaani tunadhibiti mfumuko wa bei kwa kumtia umasikini mkulima. Aina gani za economy (uchumi) hizi? Waziri amejikita kwenye kodi tu badala ya kujikita kwenye uzalishaji,” alisema.

Bashe alisema katika kitabu chake, waziri Mpango ameeleza namna miradi itakavyofaliwa kuwa ni pamoja na kuboresha mashine za kielektroniki (EFD) na kuanzisha maabara ya TRA.

“Haumsikii akisema tutawekeza bilioni moja kwenye kilimo cha mahindi ili tuweze kupata. Huwezi kukamua maziwa ng’ombe usiyemlisha,” alisema Bashe.

Alisema, “VAT (Kodi ya Ongezeko la Thamani) na PAYE (lipa kadri unavyopata) zimeshuka yeye anasema ni kwa sababu kampuni zimepunguza wafanyakazi.”

Bashe alisema katika kamati ya bajeti walimshauri Waziri Mpango kutoongeza kodi katika viwanda vya bia na vinywaji baridi kwa vile ingepunguza uwezo wa uzalishaji lakini hakuwasikiliza.

Akichangia katika hilo, Mbowe aliwapongeza Serukamba na Bashe kwa kuwa wa kweli na kueleza kuwa wabunge hawataisaidia nchi kama watakuwa wanafiki na kusema wataisaidia kwa kuikosoa pale inapofaa kuikosoa.

“Tutaisaidia nchi hii kwa kuwa wa kweli na kukosoa katika mambo ambayo ni lazima. Tupongeze pale panapostahili. Tusipoikemea Serikali na kuiambia ukweli,” alisema.

Mbowe alisema, “Kwamba wale wanaosema ukweli wanastahili kufa, wale wanaoikosoa Serikali wanastahili kuumizwa hatutafika. Chama chochote cha siasa kikifikia mahali pa kutotaka ushauri lazima kife.”

“Maumivu yanapotokea kwa wananchi ninyi CCM ndio mnawajibika kuanzia Rais, mawaziri na wabunge wa CCM. Ninachoona kinafanyika kwa juhudi sana ni kuirudisha nchi kwenye Ujamaa,” alisema Mbowe.

Alisema, “Mahusiano kati ya Serikali na Sekta binafsi sio mazuri. Hatutajenga uchumi wa nchi hii kwa mtutu wa bunduki. Hatujengi uchumi wa nchi hii kwa ubabe na vitisho. Ni lazima Serikali itambue kuwa sekta binafsi ndio injini ya uchumi na serikali ni bodi. Hakuna taifa lolote limeendelea duniani kwa kuipuuza sekta binafsi.”

Alisema, “Hakuna Taifa lolote duniani liliendelea kwa kufikiria sekta binafsi ni wezi. Kufanya biashara nchini hii chini ya awamu ya tano ni kiama. Wafanyabiashara wote wa ndani na nje wanalia.”

“Leo Rais anahimiza viwanda ili mwaka 2025 iwe nchi yenye uchumi wa kati. Huwezi kujenga viwanda kwa kutegemea soko lako la ndani ni lazima utegemee masoko ya nchi jirani. Lazima tufungue mipaka Lakini ukitizama mahusiano yetu na nchi za Afrika Mashariki tunafunga mipaka. Tunachoma vifaranga, tunapiga mnada ng’ombe za watu,” alisema.

“Kuna suala la utawala bora. Ukizungumza na kuchambua uchumi leo unashitakiwa . Sisi wapinzani tufanye nini? Serikali inatoa takwimu za uongo. BoT inatoa takwimu zinazotofautiana na za wizara”

“Kama tusipojipa ujasiri wa kuikosoa Serikali pale inapobidi, msiba utatuumbua. Hali yetu ya uchumi ni ngumu. Uchumi si Fly Over au Bambadier sita. Uchumi ni kipato kwa wananchi wa kawaida,” alisema Mbowe.

“Watanzania wanazidi kuwa masikini na kundi dogo ndio linaona kukua kwa uchumi wa taifa. Kukua kwa uchumi tunakoambiwa hakuoani na maisha ya watanzania. Watanzania wanazidi kuwa masikini”

Hata hivyo, katika mchango wake, Mbunge wa Sumve (CCM), Richard Ndassa alimtaka waziri Mpango kuacha tabia yake ya kiburi (arrogance) kwa vile tabia hiyo haisaidii Serikali.

“Sina uhakika hata kama simu za wabunge unapokea. Jitahidi kusikiliza kamati za bajeti. Ukiendelea hivyo iko siku utakwama na utakaporudi kwetu na sisi hatutakusikiliza,” alisema.

“Wewe si msikivu kwa wabunge. Jaribu kubadilika sisi wote tuko kwenye boti moja na hakuna ambaye anataka kutoboa boti. Sisi ni wabunge wenzako. Sikiliza ushauri,”.

Mjadala huo utaendelea hadi Jumatatu ijayo na baadaye Bunge litaingia katika kupokea miswada mbalimbali ukiwamo muswada wa kuanzisha Wakala wa Meli Tanzania wa mwaka 2017.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Msajili wa Vyama vya Siasa atoa kusudio la kufuta chama cha upinzani

Diamond Platinumz atakiwa kulipa fidia kwa kuiba wimbo

$
0
0
Bendi ya muziki nchini Tanzania ya Msondo Ngoma, imemtaka msanii wa muziki wa bongo fleva, Diamond Platinumz pamoja na kundi lake la Wasafi Classic Baby (WCB) liwalipe fidia kwa kuiga kionjo cha muziki uliopigwa katika nyimbo ya ‘Ajali’ bila idhini ya mmiliki.

Msondo Ngoma kupitia kampuni ya Mawakili ya Maxim imeitaka Wasafi Clasic Baby (WCB) kuwalipa fidia ya kiasi cha shilingi 300 milioni kutokana na kutumia kionjo hicho cha muziki kilichotungwa na kupigwa katika wimbo wao wa ‘Ajali’ na kukirudia katika wimbo wao wa ‘Zilipendwa’ bila kupata idhini ya mmiliki.

Kionjo hicho kilichotungwa na kupigwa kuanzia dakika ya 6:38 hadi 6:52 kwenye wimbo wa ‘Ajali’ mali ya Msondo Ngoma, kimeigwa na kupigwa katika wimbo wa ‘Zilipendwa’ kuanzia dakika ya 4:55 hadi 5:10.

Barua hiyo imeitaka WCB kulipa fedha hizo ndani ya muda wa siku saba na kama wakishindwa basi Msondo Ngoma watawachukulia hatua zaidi za kisheria.

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images