Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tanzania yatajwa kuwa na elimu ya kiwango cha chini zaidi ikilinganishwa na nchi nyingine za Jumuiya ya Afrika mashariki

$
0
0
  Tanzania imetajwa kuwa na elimu ya kiwango cha chini kulinganisha na nchi nyingine kwenye Jumuiya ya Afrika mashariki kutokana na kutenga masaa 5:27 pekee ya kufundisha wanafunzi wake ambayo nayo hayatumiki ipasavyo kutokana na asilimia 50 ya walimu kutoingia madarasani. Miongoni mwa masaa yanayotumika kufundisha wanafunzi hao ni robo ya masaa yaliyotengwa na hivyo kutishia nguvu kazi

Picha za kikongwe anayedhaniwa kuwa mchawi alivyokamatwa chumbani kwa mtu akiwa uchi wa mnyama

$
0
0
Hili ni tukio lilitokea huko Bukoba ambalo linamhusisha Kikongwe mmoja ambaye jina lake bado halijapatikana kukutwa chumbani kwa mtu huku akiwa mtupu chumbani kwa mtu.  Mpaka sasa bado haijajulikana kama ni Kigarura au pengine alipata matamani ya mwili akaona pengine chumba kile kingemfaa kumpatia msaada wa mambo yake. Bibi Kizee huyo anakadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 70,ambapo

Sad News: Askari watano wa jeshi la polisi mkoani Dodoma wafariki dunia papo hapo baada ya kugongana na basi la Mohamed Trans ltd

$
0
0
   Mkuu  wa  jeshi  la  polisi  nchini (IGP), Ernest Mangu ** Askari  watano  wa  jeshi  la  polisi  mkoani  Dodoma  wamefariki dunia papo  hapo  baada  ya  gari  dogo  walilokuwa  wakisafiria  kugongana  uso  kwa  uso na  basi  la  Mohammed  Trans   limited  katika  eneo  la  Mtumba  Dodoma  mjini  usiku  wa  kuamkia  leo Ajali  hiyo  mbaya  imetokea  majira  ya  saa  sita  usiku  wa 

Baba amuua mtoto kwa kumpiga na chupa ya bia kichwani baada ya zoezi la kumbaka shemeji yake kushindikana

$
0
0
Baba aliyetajwa jina moja la Shaban (25), mkazi wa Kimara-Suka, Dar anadaiwa kuhusika katika mauaji ya mtoto wake asiye na hatia, Salma Shaban (miezi sita) kwa kumpiga na chupa ya bia kichwani na kusababisha mshipa mkubwa wa damu kukatika kichwani.    Akilisimulia Risasi Jumamosi mkasa huo wa kuumiza moyo, mama mzazi wa mtoto huyo, Matlida Amon alieleza kuwa tukio hilo lilijiri maeneo

Dr. Nchimbi arudi Songea na kupokelewa kwa shangwe na wananchi... aomba ushirikiano ili CCM iendelee kuibuka na ushindi kwenye chaguzi kama ilivyozoeleka

$
0
0
MBUNGE wa Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi (CCM), amewataka madiwani na wananchi wa jimbo hilo kumpa ushirikiano wa dhati ili akamilishe ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita.   Wito huo aliutoa jana wakati akizungumza na wananchi mbalimbali waliokwenda kumpokea uwanja wa ndege, nje ya ofisi za CCM za mkoa wa Ruvuma na kusema hivi sasa atafanya kazi kwa

Undani wa ajali ya gari iliyoua Askari Polisi watano papo hapo mkoani Dodoma usiku wa kuamkia leo

$
0
0
 Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma  **** Askari polisi watano mkoani Dodoma wamefariki dunia papohapo katika ajali ya gari iliyotokea 31/01/2014 majira ya 23.45 hrs katika barabara kuu ya Dodoma – Morogoro eneo la Mtumba Center, Kata ya Mtumba Tarafa ya Kikombo Manispaa ya Dodoma, ambapo gari namba T.770 ABT Toyota Corolla lililokuwa likiendeshwa na Askari namba H. 3783 PC

Watanzania 100 wahukumiwa kunyongwa nchini China

$
0
0
ZAIDI ya Watanzania 100 waliopatikana na hatia ya kuingiza dawa za kulevya nchini China, wamehukumiwa kunyongwa. Habari za kuaminika zilizolifikia gazeti hili zimesema, idadi hiyo ya Watanzania waliofungwa katika magereza mbalimbali nchini humo, wanaendelea kusubiri adhabu hiyo. Taarifa zaidi zinaeleza, adhabu hiyo haijatekelezwa, kwa kile kilichodaiwa kuwapo kwa mazungumzo, kuona

Rais Kikwete kuhutubia taifa kesho kutoka jijini Mbeya

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete, kesho atahutubia taifa akiwa mkoani Mbeya. Taarifa ya Ikulu iliyotolewa jana Dar es Salaam ilisema Rais hatatoa hotuba ya mwisho wa mwezi, badala yake atahutubia taifa kesho kutoka mjini Mbeya ambako atafanya ziara ya kikazi ya siku tatu iliyoanza jana.   Pamoja na mambo mengine atashiriki kwenye maadhimisho ya miaka 37 ya CCM. <!-- adsense -->

CHADEMA wafanya fujo msibani, Polisi watumia mabomu ya machozi kuwatawanya

$
0
0
Polisi mjini Musoma wametumia mabomu ya machozi kudhibiti ghasia zilizoibuka, baada ya wafuasi wa Chadema kupambana na mbunge wa zamani wa Musoma Mjini, Vedastus Mathayo. Walifanya fujo juzi jioni baada ya mjumbe huyo wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kudaiwa kuingilia safari ya Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willbroad Slaa ya kwenda kwenye msiba wa Sheikh wa Mkoa wa Mara Athumani

Jokate amfanyia "suprise" Wema Sepetu wakati akikata mauno jukwaani

$
0
0
  Jokate na Wema historia yao ilianzia kwenye shindano la kumtafuta Miss Tanzania 2006 ambapo Mshindi alikua ni Wema Sepetu akifatiwa na Jokate kisha mshindi wa tatu akiwa Lissa Jensen.    Vichwa  vya  habari  vilikuja  kutengenezwa  tena vikiwahusisha warembo hawa kuonekana wako na mtu mmoja ambapo magazeti  na  mitandao  mingi  iliandika mahusiano haya  yaliyokua yakimhusu Diamond

Wilfred Lwakatare amponda Mwigulu Nchemba .....Adai kuwa kitendo cha Mwigulu kuipinga CHADEMA kutumia helkopta ni ishara ya wazi kuwa si mtalaam wa uchumi

$
0
0
Mkurugenzi wa Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare, amemwelezea Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mwigulu Nchemba kuwa mmoja wa watu wasiojua mahesabu kutokana na kauli yake kwamba chama hicho kinatumia fedha za ufisadi kuruka anga kwa anga.   Nchemba ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, hivi karibuni alikaririwa na baadhi ya vyombo vya habari nchini, akiziponda ziara za Chadema kuwa

Wasaliti na wakaidi sasa basi...CCM nayo yatangaza kunyoosha makucha yake kwa wasaliti wote ndani ya chama hicho

$
0
0
Chama Cha Mapiduzi (CCM), kimetishia kuwatimua mara moja, wanachama wasaliti na wasiokubali kushindwa wakati wa kura za maoni za kuwania kuteuliwa ili kugombea urais, ubunge na udiwani.   Tishio hilo lilitolewa jana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Kata ya Nsalaga jijini Mbeya.  

Taarifa maalumu kwa wanaotaka kufanya mtihani wa kidato cha nne na maarifa 2014

$
0
0
Baraza la Mitihani la Tanzania linapenda kuwakumbusha watu wote wanaotaka kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT)  mwezi Novemba,  2014  kama Watahiniwa wa Kujitegemea kwamba kipindi cha usajili kilichoanza rasmi tarehe 1 Januari, 2014 kwa ada ya Shilingi 50,000/=kwa wanaojisajili CSEE na Shilingi 30,000/= kwa wanaojisajili QT  kitaishia tarehe 28 Februari, 2014.

Picha za Mwenyekiti wa CCM ,Rais Jakaya Kikwete alipowasili jijini Mbeya jana jioni kwa ajili ya maadhiisho ya miaka 37 ya CCM leo

$
0
0
Mwenyekiti wa chama cha CCM,Rais Jakaya Kikwete akiwapungia Viongozi mbalimbali wa chama,Serikali,na viongozi wa dini na watu mbalimbali (hawapo pichani) waliofika kumpokea mara baada kuwasili  jana  jioni  kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe  tayari kwa kuongoza maadhimisho ya sherehe za miaka 37 ya chama hicho yanayofanyika kwenye uwanja wa kumbukumbu wa Sokoine mjini humo.

Picha za mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete alipoongoza matembezi ya mshikamano wakati wa maadhimisho ya miaka 37 ya CCM jijini Mbeya leo

$
0
0
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Rais Jakaya Kikwete  akiwapungia mkono baadhi ya Wananchi (hawapo pichani),walioshirikia matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto,kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya mapema leo asubuhi,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.

Ufungaji wa viti kwa ajili ya matumizi ya bunge la katiba wakamilika.... Hizi ni baadhi ya picha

$
0
0
Mhe Spika Anne Makinda akikagua kazi baada ya ufungaji wa Vito ndani ya ukumbi huo kukamilika.Mwingine pichani ni Mkandarasi Dr.David Zachariah wa Computer Consult ambao ni wakandarasi wa mradi huo wa ufungaji viti.Vito hivyo ni mahsusi kwa matumizi ya Bunge la Katiba. Viti vipya tayari kwa matumizi ya Bunge Maalum la Katiba. Dr David Zachariah wa Computer Consult

CCM yavuana wasanii kibao walioamua kujiunga na chama hicho jijini Mbeya wakati wa maadhimisho ya miaka 37 ya chama hicho

$
0
0
Chama  cha  mapinduzi  CCM leo  kimevuna  makumi  ya  wasanii  wa  Bongo  movie  na  Bongo  Fleva  ambao  leo   wameamua  kuvunja  ukimya  wao  na  kujiunga  na  siasa  rasmi.. Wasanii  hao  wamejiunga  na  CCM  leo  jijini  Mbeya  wakati  wa  sherehe  za  maadhimisho  ya  miaka  37  ya  chama  hicho  zilizofanyika  kitaifa  jijini  Mbeya  chini  ya  Mwenyekiti  wake, Rais  Jakaya 

Rais Kikwete avunja ukimya kuhusu Mawaziri Mizigo....Ampongeza Kinana kwa utendaji uliotukuka.

$
0
0
NA BASHIR NKOROMO, MBEYA MWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete leo amevunja ukimya na kuzungumzia suala la mawaziri waliotuhumiwa na wananchi kuwa mizigo wakati wa ziara za Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na baadhi ya wajumbe wa sekretarieti katika mikoa kadhaa nchini mwishoni mwa mwaka jana.    "Najua wapo baadhi ya watanzania, walitaka Mawaziri waliotajwa kuwa ni mizigo

CCM yashinda ubunge katika uchaguzi mdogo wa jimbo la KiembeSamaki ambalo awali lilikuwa likiongozwa na Mansour Yussuf Himid

$
0
0
 Mshindi wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar Mhe. Mahmuod Thabit Kombo, akizungumza na Waandishi wa habari na kutoa shukrani kwa wapiga kura wake na WanaCCM waliomuunga mkono katika safari ya Kampeni na kuahidi kutimiza ahadi zote alizoahidi kwa Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki na kuondoa kero zote na kuwaletea maendeleo katika jimbo lao.   Mgombea wa Chama cha SAU

Askari watano waliofariki kwa ajali ya gari mkoani Dodoma waagwa leo kwa uchungu tayari kwa mazishi

$
0
0
Askari Polisi waliofariki katika ajali ya gari ya kugongana uso kwa uso na basi la Mohamed Trans wameagwa leo Mkoani Dodoma tayari kwa mazishi. Akiongea kwa masikitiko Kamishna Msaidi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amewashukuru watu waliojitokeza kuungana pamoja kuaga miili ya Askari hao. Pia amewataka madereva wote kuwa waangalifu wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto na
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images