UNAWEZA ukakataa lakini ndivyo ilivyotokea, ndoa ya mtangazaji mahiri
Bongo, Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteini’ na Mbongo Fleva,
Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ iliyofungwa miaka 9 iliyopita inadaiwa
kuingia kidudu kufuatia mke huyo kuomba aandikiwe talaka..
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, Jide au Lady Jaydee
alifikia uamuzi huo baada ya Gardner kupata kazi ya kutangazia
Lady Jaydee aomba talaka yake, Gadner ashtuka, asimulia kisa kizima
↧
↧
"Nikifa leo au kesho, ninaomba niagwe Uwanja wa Taifa jijini Dar ili kila mtu aweze kupata nafasi ya kuniaga"...Wema Sepetu
Wema Isaac Sepetu ambaye huwa haishiwi habari, ameibuka na jipya
akidai kuwa akifa leo au kesho basi aagwe Uwanja wa Taifa jijini Dar..
Miss Tanzania huyo wa 2006/07 ambaye anakimbiza kwenye sinema za
Kibongo alifunguka hayo wikiendi iliyopita wakati akiwa safarini
kuelekea jijini Arusha ambapo msanii anayemilikiwa na kampuni ya Wema ya
Endless Fame Production aliyetajwa kwa jina
↧
"Sina mpango wa kuacha kutembea na waume za watu kwa kuwa dini yangu inaniruhusu"
MSANII kinda kwenye tasnia ya filamu Bongo, Rahma Bagenzi ‘Rayuu’
amesema kuwa, kamwe hatokoma kutembea na waume za watu kwa kuwa sheria
ya dini yake ya Kiislamu inamruhusu kuolewa na mume wa mtu.
Akiongea na mwandishi wetu, Rayuu alisema kipindi cha nyuma
aliwahi kutoka kimapenzi na mume wa mtu (hakumtaja jina) na kufikia
hatua ya kufikishwa polisi na mwenye mke lakini
↧
Rais Kikwete aingilia kati vita ya urais CCM mwaka 2015 kwa kuwakemea walioanza kampeni mapema.....Mangula asema kamati ya maadili itamhoji Lowassa
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete ameingilia kati vita ya
kuwania urais mwaka 2015 kwa kukemea kwa baadhi ya makada wa chama hicho
kuanza kampeni mapema.
Kadhalika, ameziagiza Kamati za Maadili na Usalama
za chama hicho kuwachukulia hatua stahiki viongozi na wanachama wake
wanaomwaga fedha ili kupata uongozi.
Rais Kikwete alizungumzia
↧
Mchungaji Christopher Mtikila anusurika kuuawa baada ya kushambuliwa na watu wanaodaiwa kuwa na mzozo wa ardhi eneo la Kurasini
Kiongozi wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher
Mtikila amenusurika kifo na mtu mwingine aliyetambuliwa kwa jina moja la
Mikidadi, ambaye yupo mahututi katika Hospitali ya Temeke, baada ya
kushambuliwa na watu wanaodaiwa kuwa na mzozo wa ardhi eneo la Kurasini,
jijini Dar es Salaam.
Mchungaji Mtikila alikumbwa na mkasa huo Ijumaa
wiki iliyopita baada ya kufika katika
↧
↧
Watu 379 waambukizwa Virusi Vya Ukimwi mkoani Iringa kati ya mwezi wa 10 na wa 12
Mstahiki
meya wa halmashauri ya manispaa ya Iringa Amani Mwamwindi akifungua
kikao kwa maombi katika baraza la madiwani lilofanyika mwishoni mwa wiki
kushoto ni naibu meya Gervas Ndaki na kulia Mkurugen Theresia Mahongo
kikao kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri ya Manispaa. (picha
na Denis Mlowe)
Juu
na chini ni Madiwani wa halmashauri ya Manispaa ya Iringa wakiwa katika
↧
"Rais hataidhinisha mamilioni ya wabunge ( ongezeko la kiinua mgongo cha wabunge kutoka Sh 43 milioni hadi Sh160 milion) "....Ikulu
Ikulu imesema Rais Jakaya Kikwete hatakubali kuidhinisha kama
akipelekewa ombi la kuongeza kiinua mgongo cha wabunge kutoka Sh43
milioni hadi Sh160 milioni.
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Salva Rweyemamu
alisema jana kuwa Rais Kikwete hajapokea maombi hayo huku akipinga
maelezo kuwa Serikali ilishayakubali.
Gazeti la The Citizen wiki iliyopita,
lilimkariri Waziri wa Fedha,
↧
Club ya usiku ya nyimbo za Injili yafunguliwa maeneo ya Mbezi Tangibovu jijini Dar.....Ukiwa nusu uchi, ukilewa hamtaruhusiwa kuingia
Imezoeleka kuwa klabu za usiku zimekuwa zikitumika kwa mambo ya starehe huku viongozi wa dini wakizichukulia kama maeneo hatari kwa waumini wao.
Tofauti na maeneo mengine ya starehe, klabu za usiku huwa na kumbi za muziki zenye taa za kumweka za rangi mbalimbali huku giza likitawala. Wakati huo huo muziku hupigwa kwa sauti ya juu.
Mbali na muziki, klabu hizo husheheni vileo vya kila aina
↧
Mvua kubwa yenye upepo yaharibu nyumba zaidi ya 10 Ilolo jijini mbeya
Bibi Enea mwenye umri zaidi ya miaka 80 mkazi wa
Ilolo akituonyesha jinsi maji yalivyoharibu vitu vyake
Kanisa la Moravian
Ilolo likiwa limejaa maji ndani
Hakika inasikitisha
watoto hawa wametoka shule wanakuta nyumba yao imebomoka na mvua kubwa
ilionyesha jijini Mbeya wazahi wa watoto hao hawakuwepo nyumbani
↧
↧
Kipigo chatokea kati ya CCM na CHADEMA wilayani Njombe
KIKOSI cha ulinzi cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), wilayani Njombe,
mkoani Iringa kimewashushia kipigo wanachama wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA) na kumvunja taya mwanachama, Ally Kalonga.
Licha ya kushusha kipigo hicho, Mkuu wa Polisi wilayani Njombe, Lucy
Mwakafirwa, amelaumiwa kuwakumbatia watuhumiwa makada wa CCM, huku
akiwasweka ndani wanachama wa CHADEMA.
↧
LOWASSA ni tishio ndani ya CCM
PATASHIKA nguo kuchanika ni kauli ya kibabe inayoweza kutumika
kuelezea sakata la siasa za makundi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM)
linaloshika kasi huku baadhi ya wanachama wakitupiana lawama kwa kuunga
mkono upande fulani kuelekea mbio za urais hapo mwakani.
Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa, waziri mkuu
↧
Waziri Nyalandu Asema; Tutawalipa askari kabla ya operesheni ya pili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema askari 2,000
waliounda kikosi maalumu cha Operesheni Tokomeza Ujangili watalipwa
fedha zao kabla ya kuanza kwa awamu ya pili ya operesheni hiyo.
Nyalandu alitoa kauli hiyo baada ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya
Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, kusema kuna
zaidi ya askari 2,000 waliounda kikosi maalumu
↧
Rais Kikwete aikazia macho TAKUKURU
RAIS Jakaya Kikwete amelitaka Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kuzuia na
Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) kutimiza wajibu wao ili haki
iweze kutendeka kwa wakati katika mahakama zote nchini.
Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini, Rais Kikwete
alisema endapo vyombo hivyo vitafanya kazi yao ya upelelezi kwa haraka,
uendeshaji wa kesi utaharakishwa na hukumu kutolewa
↧
↧
TBS yahakikisha kuwa Operesheni ya mitumba ni ya kisheria
SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limesema linatekeleza operesheni ya
kuondoa nguo za ndani za mitumba kwa kufuata sheria, si kwa ajili ya
kuwanufaisha wafanyabiashara wa maduka nchini.
Akizungumza na Tanzania Daima jana, Ofisa Habari wa shirika hilo,
Roida Andusamile, alisema zoezi hilo linatekelezwa kwa mujibu wa sheria
na limehusisha wadau wa idara zote.
Alisema ni muhimu
↧
Rais Kikwete apokea hundi ya sh. milioni 100 kutoka CRDB kusaidia wahanga wa mafuriko Morogoro
Rais
Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya
CRDB, Dkt. Charles Kimei, baada ya kukabidhiwa hundi ya shilingi milioni
100 kutoka benki hiyo kusaidia waathirika wa mafuriko yaliyozikumba
wilaya tatu za Kilosa, Mvomero na Gairo katika Mkoa wa Morogoro, mwezi
uliopita katika shughuli fupi iliyofanyika Ikulu, Dar Es Salaam
February 4, 2014 na kuhudhuriwa pia
↧
Zaidi ya kilo 200 za madawa ya kulevya zakamatwa bahari ya Hindi.....
Wakati Tanzania ikielezwa kichochoro cha kupitishia dawa za kulevya,
raia 12 wa Pakistan na Iran, wamekamatwa na zaidi ya kilo 201 za shehena
ya dawa za kulevya katikati ya Dar es Salaam na Zanzibar katika Bahari
ya Hindi zenye thamani ya mamilioni ya fedha.
Jeshi la Polisi limesema kuwa watu hao walikamatwa na dawa hizo wakiwa katika jahazi.
Kukamatwa kwa kiasi hicho kikubwa cha
↧
Mgomo na vurugu za wanafunzi wa shule ya St Anne Marie Academy ya jijini Dar wasababisha hasara ya milioni 140.....Tazama picha za uharibifu huo
VURUGU zilizofanywa juzi katika Shule ya Msingi na Sekondari ya St Anne Marie Academy, jijini Dar es Salaam, zimesababisha hasara ya Sh milioni 140 kutokana na mali zilizoharibiwa.
Kutokana na vurugu hizo, zaidi ya wanafunzi 30 wa kidato cha sita, wamesimamishwa masomo kwa wiki mbili kwa madai ya kutaka kuhamasisha mgomo wa masomo, kushinikiza wenzao 11 wanaoshikiliwa na Polisi kutokana
↧
↧
Wanawake washauriwa kuacha kutumia sabuni za Kaisiki kurudisha BIKRA zao kwani zina madhara makubwa
WANAWAKE wameshauriwa kuacha kutumia sabuni za kunawia sehemu za siri ambazo hudaiwa kurejesha ubikira kwani zina madhara makubwa ikiwemo kusababisha kansa ya shingo ya kizazi. Mkaguzi wa Dawa na Mfamasia wa Manispaa ya Dodoma Daria Mwanuka alisema hayo mwishoni mwa wiki katika mahojiano na mwandishi wa habari hizi wakati wa uteketezaji dawa, vipodozi na vyakula visivyofaa kwa matumizi ya
↧
Jeshi la Polisi mkoani Arusha latangaza kumsaka mbunge Godbless Lema kwa kosa la kufanya vurugu Sombetini wiki iliyopita
Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamtafuta Mbunge wa Arusha
Mjini, Godbless Lema na watu wengine watatu ili kuhojiwa kuhusu
malalamiko ya vurugu zilizotokea kwenye mikutano ya kampeni za uchaguzi
wa kiti cha udiwani Kata ya Sombetini wiki iliyopita ambapo watu kadhaa
walijeruhiwa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas
alisema jana ofisini
↧
Kagame wa Rwanda aichokonoa tena Tanzania....Sasa amgeukia Benard Membe, Chadema nayo yajitosa
GAZETI la The New Times Rwanda ambalo linatajwa kuwa mshirika
wa karibu wa Serikali ya Rais Paul Kagame, nalo limeingia kwenye
propaganda za kuwachafua baadhi ya viongozi wa Tanzania.
Baadhi
ya vyombo vya habari vya nchi hiyo, vimekuwa vikitumika kumchafua Rais
Jakaya Kikwete, ambapo wiki iliyopita gazeti la News of Rwanda
liliandika taarifa iliyodai kuwa Rais wa Tanzania amekutana na
↧
More Pages to Explore .....