Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Sumaye Afunguka Maneno MAZITO Kuhusu Sakata la Serikali Kuchukua Mashamba Yake

$
0
0
Waziri  Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amevunja ukimya na kusema  kwamba watawala wanaendesha nchi  kwa visasi ndiyo maana tangu ahame Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)amezidi kuandamwa  ikiwamo kunyang’anywa mashamba anayoyamiliki kihalali.
 
Sumaye ambaye kwa sasa ni  Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani  Chadema, amesema tangu ajiunge na upinzani amekuwa akikumbana na vikwazo vingi, ikiwamo kudhauliwa pamoja na  kuporwa mashamba yake kwa kisingizio kwamba ameshindwa kuyaendeleza.
 
Amemtuhumu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kwamba anajua ukweli kuhusu mashamba yake lakini hataki kuusema kwa kuwa ametumwa na mkubwa wake.
 
Ametaja mashamba aliyoporwa kuwa ni lile la Mvomero mkoani Morogoro na lililopo Mabwepande katika  wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, ambayo yote serikali imefuta hati za umiliki wake.
 
Amesema shamba la Mvomero linamilikiwa na mke wake Ester Sumaye ambalo lina ukubwa wa hekari 326, na kwamba huko alikuwa anafuga ng’ombe zaidi ya 200, kondoo 300, ghala la kuhifadhia chakula, trekta na nyumba mbili za kudumu.
 
Sumaye akizungumza na waandishi wa habari leo katika  ofisi za makao makuu kanda ya Pwani  (Chadema) , amesema mgogoro  huo ulianza mara baada tu ya yeye kuhamia upinzani.
 
Amesema muda wote aliokuwa ndani ya CCM,  hakuwahi kuwa na mgogoro wowote na serikali wala kusumbuliwa kuhusu mali zake yakiwamo mashamba.
 
“ Mara baada tu ya mimi kuhama wapo viongozi waliodiriki kusema huyu Sumaye dawa yake ni kumfilisi kwa kumnyang’anya mashamba, kama moja ya kunikomoa tu, hivyo ni dhahiri kuwa ni uadui kati ya serikali na mimi kwa sababu ya kuhamia upinzani.” amesema Sumaye.
 
“Mashamba hayo wanadai wameamua kuninyang’anywa kwa kuwa siyalipii kodi na kutoendelezwa hivyo yanatakiwa kuchukuliwa na kuwagawia wananchi kitu ambacho si weli kwani shughuli za kilimo katika mashamba hayo zilikuwa zikiendelea kama kawaida.”
 
Sumaye amemtaka, Lukuvi kutumia nafasi yake vizuri kwani kwa kuendeleza uadui wa  kisiasa hakuwezi kulisaidia taifa badala yake kutazidi kukandamiza demokrasia hapa nchini.
 
Sumaye ameionya serikali ya awamu ya tano na kuitaka iache  kulipa visasi kwa wapinzani na kuwatahadharisha  watawala kwamba dhambi itawatafuna kwani wapo viongozi wengine wa CCM wana mali nyingi na mahoteli makubwa kuliko shamba lake lakini hawaguswi.

Breaking News: Tundu Lissu Akamatwa na Jeshi la Polisi Akiwa Kisutu

$
0
0
Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amekamatwa  leo Jumatatu mchana akitokea Mahakama ya Kisutu.

Mwanasheria huyo alikuwa na kesi ya tuhuma za uchochezi lakini pia alikuwa ni wakili kwenye kesi inayomkabili mfanyabiashara Yericko Nyerere mahakamani hapo.

Akielezea ilivyokuwa Ofisa Habari wa Chadema, Tumaini Makene amesema wakati gari la Lissu likiwa liko getini tayari kwa kutoka, likazuiwa na nyuma ya gari yake pia likasimama gari jingine likiwa na askari polisi wenye silaha, kisha wengine wakamfuata na kumwambia yuko chini ya ulinzi na atakiwa kwenda Central Police.

Baada ya hapo, wakamtaka ashuke kwenye gari lake na apande gari jingine la kwao kwa ajili ya kuelekea Central Polisi.

Tundu Lissu amekamatwa leo tarehe 22 Agosti 2017 zikiwa zimepita siku tatu toka alipotoa taarifa ya ndege ya Tanzania  'Bombadier Dash Q400' kuzuiliwa nchini Canada kutokana na amri ya mahakama

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Mahakama Yaelezwa Jinsi MKOJO Wa Yusuf Manji Ulivyochukuliwa na Kupimwa

$
0
0
Mashahidi wawili akiwemo Naibu Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Ofisa wa Polisi, Ramadhan Kingai leo  wameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jinsi Mfanyabiashara Yusuf Manji alivyopelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kupimwa mkojo.

Mbali ya Kingai ambaye ni Shahidi wa kwanza katika kesi hiyo ya dawa za kulevya inayomkabili Manji, Shahidi mwingine ni E.1125 Copro Detective Sospter.

Mashahidi hao walitoa ushahidi wao mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Cyprian Mkeha baada ya Wakili Mkuu wa Serikali, Timony Vitalis kueleza kesi hiyo imeitishwa kwa ajili ya ushahidi.

Akiongozwa na Wakili Vitalisi, Shahidi Kingai amedai kuwa February 9, 2017 akiwa Ofisini kwake Central alikuwa na kazi mbalimbali ikiwemo ya kuripotiwa kwa watuhumiwa wa Dawa za kulevya waliotajwa na RC Makonda.

Amedai katika watuhumiwa hao alimpokea Yusuf Manji na Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima baada ya kuripoti wenyewe kituoni hapo.

“Baada ya kufika nikiwa kama Mwenyekiti wa Kamati ya Uchunguzi wa dawa za kulevya nilielekeza Manji na Gwajima wapelekwe kwa Mkemia Mkuu kupimwa, kwa sababu tuhuma zao ni za dawa za kulevya, ambapo pia walienda kupekuliwa nyumbani mwao”

Shahidi huyo akadai kuwa amri ya kupimwa ilitekelezwa na Detective Copro Sospeter, ambapo baada ya kufanyika uchunguzi akapewa taarifa kwamba Manji anatumia Dawa za kulevya aina ya Benzodiazepines na Gwajima hatumii.

“Nikiwa kama Mpelelezi Mkuu niliichukua ripoti hiyo kisha nilielekeza Manji afunguliwe jalada la kutumia dawa za kulevya ambapo baada ya kufunguliwa lilipelekwa kwa DPP”.

Baada ya kueleza hayo, Wakili wa Manji, Hudson Ndusyepo alimuuliza shahidi huyo kwa nini dawa za kulevya (Benzodiazepines) alizozitaja Mkemia Mkuu ni tofauti na zilizotajwa kwenye hati ya Mashtaka (Heroin) ambapo shahidi huyo alijibu hajui na yeye hakuandaa hati ya mashtaka.

Shahidi wa pili, Detective Copro Sospeter akiongozwa na Wakili Vitalis alidai kuwa February 9, 2017 saa 5 asubuhi alikuwa Ofisini na alimpeleka Manji kwa Mkemia Mkuu wa Serikali ili kuchubguzwa.

Alidai kuwa maelezo ya kumpeleka Manji kwa Mkemja aliyapata kwa Kingai, ambapo alimpeleka kwa tuhuma za kutumia dawa za kulevya.

” Nilimchukua Manji na kumpeleka msalani ili ichukuliwe sampo ya mkojo wake ufanyiwe uchunguzi, ambapo kuna kielelezo cha fomu kuhusu suala hilo na naomba kipokelewe na Mahakama.”

Alieleza kuwa baada ya mtuhumiwa kuchunguzwa alichukua majibu kisha alirejeshwa Polisi na taratibu kufatwa.

Baada ya kuelezwa hayo, Hakimu Mkeha aliahirisha kesi hadi August 23, 2017.

Tundu Lissu . Ahojiwa Kuhusu Uchochezi wa kuzuiliwa na kushikiliwa kwa Ndege ya Serikali

$
0
0
Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ambaye alikamatwa na Polisi mapema leo wakati anatoka Mahakamani, amehojiwa na Polisi kwa tuhuma za kufanya makosa mawili.

Msemaji wa CHADEMA, Tumaini Makene amesema, Tundu Lissu alihojiwa na Polisi kuhusiana na makosa mawili ambayo ni; 1.Kumkashifu Rais. 2. Uchochezi kuhusu kuzuiliwa na kushikiliwa kwa Ndege ya Serikali ya Bombardier.

Tundu Lissu anadaiwa kufanya makosa hayo kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Ijumaa iliyopita, August 18, 2017.

Aidha, Makene amesema, Lissu ambaye ni Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, amekataa kutoa maelezo yoyote Polisi, akitumia haki yake ya kisheria kuwa mtuhumiwa ana haki, kisheria, kutaja jina na anuani yake tu anapokuwa anashikiliwa na Polisi hadi atakapofikishwa Mahakamani ambako ndiko atataoa maelezo kujibu mashtaka anayotuhumiwa nayo.

Lissu amesema yuko tayari kujibu mashtaka yake Mahakamani ambapo akiwa Polisi amepata msaada wa kisheria kutoka kwa Wakili Faraji Mangula

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya August 23

Panya Wamuhamisha Rais Ikulu......Sasa Kufanyia kazi Nyumbani

$
0
0
Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari, atalazimika kufanyia kazi zake akiwa nyumbani baada ya panya kuharibu ofisi yake iliyopo Ikulu.

Msemaji wa Rais Buhari, Garba Shehu, amesema, panya hao wameharibu samani za viyoyozi katika ofisi hiyo hivyo kiongozi huyo hawezi kufanya kazi katika ofisi mbovu ambayo itakarabatiwa kwa kipindi cha miezi mitatu.

Bw. Garba amesema, hatua ya Rais Buhari kufanyia kazi zake nyumbani hakutaathiri ufanisi wake kwa aina yoyote ile.

Rais Buhari alirejea nyumbani Nigeria Jumamosi iliyopita baada ya kukaa Jijini London nchini Uingereza kwa zaidi ya siku 100 alikokuwa akipatiwa matibabu kwa ugonjwa ambao hata hivyo haujawekwa wazi.

Unasumbuliwa na Kiharusi,Ngiri au Kifafa?......Unatatizo la Nguvu za Kiume, Kuachika au Tatizo la Uzazi? . Kutana na Mtalaamu Huyu Akusaidie

$
0
0
SASA YUPO DAR; Anauwezo wa kutabiri nyota yako na kukuletea mafanikio makubwa katia biashara yako, kazini na malengo yako ya maisha.Pia anatoa pete ya bahati yenye uwezo wa kukuletea mafanikio makubwa na kutimiza ndoto zako.

Je, Umedhurumiwa? unamdai na hakulipi?...Njoo upatiwe dawa ulipwe haraka. Anadawa ya kumvuta mpenzi wako popote alipo kwa masaa 6 tu na kumtuliza asitoke kwako

Je, unaugomvi usioisha na mpenzi wako na unaachwa mara kwa mara? Njoo upate dawa ufurahie penzi tulivu la umpendae.

Anadawa za nguvu za kiume, kuimarisha mishipa iliyolegea, kuongeza homoni na kukufanya udumu katika tendo hadi dakika 45 na unaweza kurudia tendo hata mara 4 bila kuchoka.

Anatibu Busha bila kupasua,uzazi, mshipa wa ngiri,kiharusi,kifafa,kuondoa majini machafu nakadhalika.

Mpigie kwa simu: 0755505099

Alichojibu Polepole baada ya kuambiwa viatu vya Nape vinampwaya

$
0
0
Kupitia kwenye account yake ya twitter Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Humphrey Polepole ametoa majibu kwa Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa akimwambia kuwa hatokuwa tena Mbunge baada ya Awamu hii.

Hatua hiyo ya Polepole imekuja baada ya kuambiwa na Mbunge Msigwa kuwa viatu vya Nape havimtoshi kupitia twitter ambapo aliandika; "Kitendo cha Msukuma kumkumbuka Nape , ni ujumbe tosha Kuwa Viatu vya Nape vinampwaya POLEPOLE!"

Baada ya ujumbe huo naye Polepole kupitia twitter aliandika; "Kitu kimoja nakuahidi, hii ni term yako ya mwisho, tunakurudisha kufanya kazi ya Uchungaji maana naona mchungaji anajichanganya na mbuzi."

Serikali Kununua Rada 4 za Kisasa

$
0
0
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Anga (TCAA) jana (Jumanne) imeingia makubaliano na kampuni    inayojihusisha na mifumo ya anga kutoka nchini Ufaransa ya Thales kununua rada mpya nne.

Tukio hilo lilishuhudiwa na Waziri wa Ujenzi uchukuzi na mawasiliano Profesa Makame Mbarawa  na wadau wengine wa usafiri wa anga nchini. 

Upande wa Serikali mkataba ulisainiwa na Mkurugenzi wa Mkuu wa TCAA Hamza Johari na upande wa Thales alikuwa ni Meneja wa masoko wa kanda kutoka kampuni ya Thales Abel Aberr Carr.

Mkurugenzi wa Mkuu wa TCAA Hamza Johari anasema kwa sasa Tanzania ina rada moja pekee na uwezo wake kiufanisi umepungua kutokana na mabadiliko yanayotokea kwa haraka katika sekta hiyo, sanjari na kuongezeka kwa ndege zinazotumia anga la nchi.

“Mradi wa rada hizo ni miongoni mwa mipango mikakati iliyopewa kipaumbele cha juu na menejimenti ya TCAA kwa lengo la kuboresha huduma za uongozaji wa ndege kwa haraka, tija na kuongeza usalama katika sekta ya usafirishaji wa anga nchini na duniani,” amesema Johari.

Kwa upande wake Profesa Mbarawa amesema kufungwa kwa rada hizo kutaongeza imani ya wadau wa sekta ya usafiri wa anga dunia kuwa na imani na kutumia anga la Tanzania, hivyo watalii wataongezeka kwakuwa wanajua usafiri wa anga nchini kwetu ni wa usalama.

 “Kupatikana kwa rada hizo mpya tutaweza kutoa huduma kwa ndege nyingi zaidi na kulitawala anga letu zima. Ndege zikiongezeka na watalii wakaongezeka uchumi wetu utapiga hatua” alisema Profesa Mbarawa. 

Aidha kabla ya tukio hilo Waziri Mbarawa alitembelea chuo cha usafiri wa anga (CATC) ambapo alikutana na changamoto ya ufinyu wa eneo la chuo, ufinyu wa bajeti ya kununulia vifaa vya mafunzo na upungufu wa wataalamu.

Waziri Nchemba Atishia Kuwafutia Uraia Watanzania Wabaguzi

$
0
0
Waziri wa mambo ya ndani Mh. Mwigulu Nchemba ametishia kuwafutia uraia watanzania wapya wa Katumba mkoani Katavi ambao walikuwa wakimbizi kwa muda mrefu kutokana na tabia ya ya baadhi yakubaguana kitaifa na kikanda.

Waziri Nchemba amesema hayo jana  wakati  alipopita kwenye kambi kuangalia usajili unaendeleaje ambapo amesema  wananchi   hao waliopewa uraia wakitokea burundi wakati wa vita ya kikabila miaka 1972 wamekuwa na tabia ya ubaguzi hata kufikia kushindwa kusaidiana kwenye biashara zao.

Waziri aliwaambia wananchi hao kuwa yeyote atakayeleta mambo ya ubaguzi ikiwa ni pamoja na kubaguana kibiashara  katika jamii hatosita kumfutia uraia alioupata kwani Watanzania hawana mambo ya kibaguzi.

Pamoja na hayo Kiongozi huyo alitumia muda huo kuwataka Watanzania kuwa na utanzania ndani ya mioyo yao na waache tabia ya kutaka kukwamisha kila kitu kinachofanywa na serikali kwa kuweka vikwazo mbele ili vitu visifanikiwe.

Serikali kuondoa mfumo wa zamani wa malipo ya kodi ya ardhi

$
0
0
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ikishirikiana na Wizara ya Fedha, imesambaza maafisa wake katika halmashauri 169 kote nchini.

Maafisa hawa wanaotoa mafunzo katika vituo vyote vya makusanyo ya kodi ya ardhi na tozo nyingine kwa kutumia simu ya mkononi ili kuondoa kabisa mfumo wa zamani wa malipo.

Zaidi ya maafisa 170 kutoka makao makuu ya Wizara ya Ardhi, Wizara ya Fedha na kutoka kanda nane za ardhi wameanza kutoa elimu hiyo katika halmashauri na vituo vyote vya makusanyo ya kodi ya ardhi ili kurahisisha ulipaji kodi ya ardhi kwa wananchi kwa kutumia simu zao na kuondoa usumbufu.

Mfumo wa ulipaji kodi ya pango la ardhi kwa njia ya simu ya mkononi ni mfumo wa kielektroniki wa Government electronic Payment Gateway (GePG) katika makusanyo ya kodi ya pango la ardhi ambao utamrahisishia mwananchi kulipia popote walipo kwa kutumia simu zao kwa urahisi zaidi.

Mwananchi yeyote anayemiliki kiwanja au shamba lililopimwa na kupatiwa hati, ataweza kutumia simu yake ya mkononi kujua kiasi cha kodi ya pango la ardhi anachodaiwa na kukulipa kwa kutumia simu yake ya mkononi.

Ili kujua unadaiwa kiasi gani cha kodi ya pango la ardhi kwa kutumia simu ya mkononi bonyeza *152*00# au kwa njia ya ujumbe mfupi wa maandishi yaani sms halafu unatuma kwenda namba 15200 na baada hapo unaweza kulipia kwa njia ya Mpesa, Tigo Pesa au kulipia tawi lolote la benki ya NMB na CRDB.

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza rasmi kutumia mfumo huu wa kielektroniki wa GePG katika makusanyo ya kodi ya pango la ardhi pamoja na tozo nyingine zinazotokana na sekta ya ardhi nchini na kuondoa kabisa mfumo wa zamani.

Mfumo huu utamrahisishia mwananchi kulipa kodi ya pango la ardhi popote alipo, ikiwa ni pamoja na kulipia tozo nyingine mbalimbali za sekta ya ardhi. Mmiliki wa kipande cha ardhi ataweza kujua anadaiwa kiasi gani cha kodi ya pango la ardhi na kulipia popote alipo bila kusumbuka kufuata huduma hizo katika vituo vya makusanyo.

Kwa majaribio ya ukusanyaji kodi ya pango la ardhi kwa kutumia mfumo wa kielektroniki yalifanywa katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani na baada ya mafanikio makubwa kuonekana elimu ikatolewa kwa watendaji wote wa sekta ya ardhi katika Halmashauri zote za mkoa wa Dar es salaam kabla ya zoezi hilo kuhamishiwa mikoani.

Kwa zile huduma nyingine za sekta ya ardhi ambazo zinahusisha malipo kama vile upekuzi katika daftari la msajili (official search), mwananchi atapaswa kutembelea ofisi za Wizara ya ardhi zilizo katika eneo lake na kupatiwa makadirio ya kulipia huduma husika pamoja na namba ya malipo itakayomuwezesha kulipia aidha kwa njia ya benki au simu ya mkononi.

Kwa sasa kikosi kazi kinachotoa mafunzo juu ya matumizi ya mfumo huu kimeshaanza kuelemisha mikoa mingine baada ya kupata mafanikio mazuri katika mkoa wa Dar es Salaam. Lengo kubwa la kutumia mfumo huu ni kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa maduhuli ya serikali pamoja na kurahisisha ulipaji kodi ya pango la ardhi nchini.

Wanaume Wanao Pita Duniani Bila Kuonekana

$
0
0
IMESIMULIWA  NA  DOKTA  MUNGWA  KABILI ……….0744  000  473.


Katika   ulimwengu  wa  waganga  na  wachawi, kuna  kundi  la  wanaume  ambao  hujulikana  kama  WANAUME  WANAOPITA  DUNIANI    BILA  KUONEKANA  au  WANAUME WANAOPITA  DUNIANI  KAMA  VIMVULI.

Naam   WANAUME  WANAO PITA  DUNIANI  BILA  KUONEKANA.  Hawa  ni  wanaume  wanao  ugua  maradhi  ya  UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME  yanayo    tokana  na  kulogwa.

Wanaume  hawa  hujulikana  pia  kama  WANAUME  WALIO  VALISHWA  KANZU  YA  YUSUFU !

KWANINI     KANZU  YA  YUSUFU  ?
Katika  Biblia  kuna  simulizi  la  mtu  aitwaye  Yakobo  mtoto  wa  Isaka.  Yakobo  aikuwa  na  watoto  wa  kiume  kumi  na  wawili, lakini  kati  yao  alimpenda  sana  Yusufu.   Kwa  sababu  Yusufu  alikuwa  kijana  mwenye  bidii  na  kujituma  sana  na  kikubwa   zaidi  Yusufu  alikuwa  ana  ndoto  za  kuja  kuwa  mfalme  mkubwa.

Nduguze   Yusufu  hawakupendezwa  na   kitendo  cha  baba yao  Mzee  Yakobo  kuwa  anampendelea  Yusufu  hivyo  wakapanga  kumuua.

Siku  moja  wakiwa  nyikani  wakichunga  mifugo  yao  Yusufu  aifika  katika  eneo  hilo  nao  hawakuwa  na  ajizi  bali  wakamchukua  na  kumtupa  ndani  ya  shimo  refu  ili  afe  humo  kwa  njaa  au  kuuwawa  na  mnyama  mkali.

Wakati  Yusufu  yupo  shimoni   mtu  mmoja  kutoka  Misri  alipita  katika  eneo  hilo.  Yuda  mmoja  kati  ya  kakaze  Yusufu  akapendekeza  kuliko  kumuacha  Yusufu  afe  ndani  ya  shimo  lile  ni  bora  wamuuze  utumwani.

Wazo  hili  likaafikiwa  na  nduguze  ambao  bila  ajizi  wakamuuza  Yusufu  utumwani  Misri.

Kabla  ya  kumuuza  Yusufu, mmoja  kati  ya  kaka zake  aliuliza, endapo  watarudi  nyumbani  na  baba  yao  akawauliza  “ ni  wapi alipo  mwanangu  Yusufu “? Watamjibu  nini  ?

Hapo ndipo  HEKIMA  YA  SHEITWANI  ILIPO  WAJIA.. Waka  afikiana  kuwa  WATACHUKUA  KANZU  YA  YUSUFU, WATAIRARUA  KISHA  WATACHINJA  MWANAKONDOO  NA  KUPAKAZA  DAMU  YA MWANAKONDOO  HUYO  NA  WATAKAPO  FIKA  KWA  BABA  YAO MZEE  YAKOBO, WATAMWAMBIA  KUWA  MWANAE  YUSUFU  AMERARULIWA  NA  SIMBA  NA  KUUWAWA  NA  USHAHIDI  WAO  NI  KANZU  YA  YASUFU  YENYE DAMU.

Walipofika  kwa  baba  yao  Mzee  Yakobo, walimuelezea  kama  waivyo  afikiana.  Mzee  wa  watu  alipoiona  kanzu ya  mwanae  Yusufu iliyo  tapakaa  damu  ya  mwanakondoo, tena  kama  haitoshi, akaichukua  kanzu  hiyo  na  kunusa  harufu  yake  akagundua  ni  kanzu ya Yusufu  kweli, akaamini  moja  kwa  moja  kuwa mwanae  Yusufu  ameuwawa  na  Simba.

Iikuwa  ni  siku  ya  huzuni  sana  kwa  Mzee  Yakobo. Alilia  kwa  mchungu  mkubwa  sana  na  ama  kwa  hakika  nafasi  yake  ilipata  tabu  kuu.

HII  MAANA  YAKE  NINI  ?

Hii  maana  yake  ni kwamba wachawi  wanapo mroga  mtu  huwa  hawataki  wajulikane au  hata  kuhisiswa  kuwa  wao  ndio  wamemroga. HII  NI  HEKIMA  WAIYO  IRITHI  KWA  BABA  NA  MWALIMU  WA  UCHAWI  DUNIANI  AMBAE  SI  MWINGINE  ISIPOKUWA  IBILISI  MWENYEWE.

Wachawi  kwa  kutumia  taaluma  yao  ya  uchawi  wanaweza  kumroga  mtu  atoweke  duniani  yani  afariki  dunia  lakini  ili  wasihisiwe  au  kujulikana  kuwa  wao  ndio  wamemroga  mhusika, basi  mtu aliye  kusudiwa  ama  atakufa  kwa  ajali  ya  gari, ama  atakufa  maji, ama  ataugua  maradhi  mbalimbali  kama  vile  kifafa, kichwa,  au  kufa  wakati  wa  kujifungua  na  kadhalika.

KWANINI  TUNASEMA  WAMEVESHWA  KANZU  YA  YUSUFU

Wanaume  walio  katika  kundi  hili  twasema  wameveshwa  KANZU  YA  YUSUFU  kwa  sababu  maradhi  yao  ya  ukosefu  wa  nguvu  zap  kiume  yanakuwa  yametokana  na  kurogwa  lakini  wao  wanakuwa  wanaamini  kuwa  maradhi  yao  yametokana  na  maradhi    au  tabia  mbalimbali kama  vile kisukari, ngiri,chango la kiume, moyo, kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  nakadhalika.

MWANAUME  ALIYE  KATIKA  KUNDI  HILI, ANAKUWA  ANASUMBULIWA  NA  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME. NA  ANAKUWA  ANAAMINI  KUTOKA  MOYONI  MWAKE  KWAMBA  MARADHI  ALIYO  NAYO  YAMESABABISHWA  NA  SABABU  MBALIMBALI  ZAP  KISAYANSI  KAMA  NILIVYO  ZITAJA  HAPO  JUU.

Kwa  mfano  mtu  huyu  anakuwa  amefanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  sana. Unapofika  wakati  wa  yeye  kuwa  na  mwanamke  anajikuta  anashindwa   kumridhisha  mwanamke  huyo  na kwa sababu  alifanya  punyeto  kwa  muda  mrefu, mwanaume  huyo  huamini  kuwa  punyeto ndio  chanzo  cha  tatizo  lake  ilihai  kiuhalisia  punyeto  ni kanzu  aivyo  veshwa  na  wachawi  wake.

MWINGINE  tatizo  lake  linakuwa  limetokana  na  yeye  kuugua  maradhi  ya  kisukari. Mtu  huyu, moja  kwa  moja, huamini  maradhi  ya  kisukari  ndio  yamemsababishia   maradhi  ya  nguvu  za  kiume, lakini  kiuhalisia  kabisa , maradhi  ya  mtu  huyu  yanakuwa  yametokanwa  na  kurogwa, na  maradhi  ya  kisukari  ni  kanzu  aiyo valishwa. Ama  kwa  lugha  nyingine  wachawi  wake  wanakuwa  wamejificha  kwenye  maradhi  ya  kisukari.

Wachawi  hawapendi  kujulikana ndio  maana  wanapo  mroga  mtu  hujificha  kwenye  mambo  halisia  na  yanayo  endana  na  ukweli  ili  mtu  aliye rogwa  asistukie  kwamba  anarogwa.

Ndio  maana  watu  wanao  nifuata  niwape  dawa  ya  kuona  wachawi  huwa  nawapa  kwanza  kinga  maalumu  kwa  sababu   wachawi  wakigundua  kuwa  huwa  unawaona  kitu  cha  kwanza  kabisa  watakacho  kufanyia  ni  kukupofua  macho.

JINSI    WACHAWI  WANAVYO  TENGENEZA  MARADHI  YA  NGUVU  ZAP  KIUME   / JINSI  WACHAWI  WANAVYO  WAVALISHA  WANAUME  KANZU  YA  YUSUFU.

Siwezi  kueleza  kinaga  ubaga  jinsi  wanachawi  wanavyo tengeneza  maradhi  ya  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume   nitaelezea  kwa  ufupi  sana  baadhi  ya  njia.

Zipo  njia  zaidi  ya  arobaini  wanazo  tumia  wachawi  kutengeneza  maradhi  ya  nguvu  zap  kiume . Baadhi  ya  njia  hizo  ni  kama  ifuatavyo.

MOJA  ;  KUTEGA  DAWA  KWENYE  BARABARA  SABA: Porini  kuna  mti  unatoa  vitunda  vidogo  vyenye  rangi  mbili  nyeusi  na  nyekundu. Mti  huu  huwa  ni  dawa  ya  maradhi  ya  mgolo  ama  bawaziri . Una  majani  matamu  kama  sukari  ambayo  wakati  wa  njaa  huweza  kutumika  kutengenezea  chai  na  pia  huweza  kutumika  kutengeneza  chai  kwa  watu  wenye  kusumbuliwa  na  maradhi  ya  kisukari.

Miti  hii  saba  inachukuliwa. Halafu  wanachukuliwa   wanyama  wa  aina  tatu  tofauti   wafugwao  wanachinjwa kisha  damu  yao  inachanganywa  pamoja  na dawa  zitokanazo  na  miti  ya  porini  aina  saba  halafu  vinaenda  kupikwa  porini  kisha  zinafungwa  kwenye  chombo  maalumu  na  kuzikwa  kwenye  makaburini  saba  tofauti  kwa  muda  wa  siku  saba  saba  na  njia  panda  saba  tofauti  tofauti  kwa  muda  wa  siku  saba  kisha  zinazikwa  kwenye  milima  miwili  tofauti  kwa  muda  wa  siku  saba.

Baada  ya  hapo, linachukuliwa  bawa  la  ndige  mmoja  wa  porini. Huyu ndege  anatumiwa  sana  na  wachawi  “  NDEGE  HUYU  SIO  BUNDI  WALA  SULULI  WALA  MKATA  SANDA’.

Ndege  huyu  ana  sifa  moja  kubwa  katika  ulimwengu  wa  wachawi.  Nayo  ni  kwamba, ukichukua  nyoya  lake  ukaliweka  kwenye  mto wa  kwenye  kitanda  alicholalia  mgonjwa, basi  mgonjwa  huyo hatopona  bali  atakufa  na  kama  utaliweka  chini  ya  mto  aio lalia  mtoto  mchanga  basi  mtoto  huyo atadumaa, hatokuwa.

Bawa  la  ndege   huyu  ndio  linatumika  kama  kalamu  ya  kuandikia  majina  ya  mkusudiwa  pamoja  na  manuizo.

Majina  na  manuizo  yakiisha  kuandikwa,  miti  hiyo  saba  inaenda  kutupwa  barabarani  kwenye  barabara  saba  tofauti.

Miti  hiyo  ikigongwa  na  gari  tu  basi  na  mwanaume  aliye  kusudiwa  anaanza  kuugua  maradhi  ya  nguvu  zap  kiume.

Maradhi  huanza  taratibu  na  baadae  huhitimu  na  kuwa  sugu  ambapo  mhusika  anaweza  kufikia  hatua  ya  kuwa  hanithi  kabisa.

2.   NGUVU  ZA KIUME  ZA  MWANAUME  HUSIKA  HUZIKWA  KABURINI  KWENYE  MAKABURI  SABA  TOFAUTI.

3. NGUVU  ZA  KIUME  ZA MWANAUME  HUSIKA  KUZIKWA  NJIA  PANDA.

4.   MWANAMKE  KUMFUNGA  MWANAUME  ASISIMAME  AKIENDA  KWA  WANAWAKE  WENGINE.

5.  NGUVU  ZA  MTOTO  WA  KIUME  KUFUNGWA  TANGU  AKIWA  TUMBONI : Wachawi  wanaamini  njia  bora  kuliko  zote  ya  kukiua  kitu  ni  kukiua  kabla  hakijazaliwa. Katika  hilo  wachawi  huwa  wanafunga  mtoto  wa  kiume  akizaliwa  asiwe  na  nguvu  zap  kiume  au  awe  hanithi  kabisa. NA HII NDIO  SABABU  KUU  KWANINI  UNATAKIWA  KUWA  MAKINI  SANA  NA  KITOVU  CHA  MTOTO  WA  KIUME  KABLA  HAKIJA  DONDOKA. KUWA  MAKINI  KITOVU  KISIDONDOKEE  KWENYE  UUME  WAKE.

6.    UUME  KUCHUKULIWA  MSUKULE : HII  NDIO  NJIA  KUU  NA  YENYE  NGUVU  KULIKO  ZOTE. Naiita  njia  kuu  kwa  sababu  ndio  njia  inayo pendelewa  zaidi  na  wachawi.   Wanaume  wengi  walio rogwa  maradhi  ya  nguvu  za  kiume, wamerogwa  kwa  njia  hii.   Maumbile  yao  ya  kiume  yamechukuliwa  kichawi   na  kwenda  kutumikishwa  kwa  shughuli  mbalimbali  zap  kichawi.

Maumbile  haya  huchukuliwa  kwa  kutumia  maarifa  ya  hali  ya  juu  sana na  moja  kati  ya  vitu  vinavyo  tumika  katika  ulozi  huu  ni  pamoja  na  mti  wa  mgomba  wa  ndizi.

Hapa  uume  wa  mwanaume  aiye  kusudiwa  huchukuliwa  na  kubadilishwa  na  uume  wa  maiti au  wa  wanyama   ilihali  uume  wake  halisi  huchukuliwa  na  kwenda  kutumikishwa  kichawi.

Wapo  ambao  maumbile  yao  ya  kiume  yamebadilishwa  na  maumbile  ya  bata  lakini  kwa  sababu  wamepigwa  kanzu  ya  Yusufu  wao  wana  jiona  wapo  sawa  sawa. Kunyauka  na  kusinyaa  kwa  maumbile  yao  ya  kiume  wanachukulia  kuwa  kumesababisha  wao  kufanya  punyeto  kwa  muda  mrefu  au  kuugua  maradhi  mbalimbali  kama  vile  kisukari  nakadharika.

Wapo  waliobadilishiwa  na  uume  wa   wanyama  wengineo kama  vile  mbwa, mbuzi  nakadhalika.

Jini  anaye  tumiwa  na  wachawi  kusababisha  maradhi  haya, hukaa  kwenye  damu  ya  mwanaume  husika.

Mwanaume  aiye  fanyiwa  uchawi  huu  atatumia  dawa  na  dawa  lakini  hatoweza  kupona.

 KWANINI  TUNASEMA  WANAUME  HAWA  WANAPITA  DUNIANI  BILA  KUONEKANA

Tunasema  wanaume  hawa  wanapita  duniani  bila  kuonekana  kwa  sababu  wanakuja  duniani  wanaishi  na  wanaondoka  duniani  ili  ku experience  kitu  kinaitwa  UTUKUFU  WA  MWANAUME.

UTUKUFU  WA  MWANAUME  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kupata  HESHIMA  KUU NA  UPENDO  USIO MITHILIKA  KUTOKA  KWA  MWANAMKE kwa  sababu  tu   ya  mwanaume  huyo  kuwa  na  nguvu  halisi  za  kiume  na  kumridhisha  mwanamke  huyo.

Hapa  mwanamke  anakuheshimu  sio  kwa  sababu  una  pesa  nyingi  au  una  kazi  nzuri, bali  kwa  sababu  unaweza  kufanya  kazi  yako  kama  mwanaume  pindi  unapo  kuwa  faragha.

KWANINI  WACHAWI  HUFANYA  UCHAWI  HUU ?

Lengo  kuu  ni  kuwatesa  wanaume  husika   kunako  enda  sambamba  na  wachawi  hao  kutumia  maumbile  ya  kiume  wanayo  yaiba  kwenye  mambo  yao  ya  kichawi.

 NINI  TIBA  YA   MARADHI  YA  NGUVU  ZAP  KIUME  ZITOKANAZO NA  KUROGWA  .

Kwanza  lazima  uchawi  alio  tupiwa  mwanaume  huyu  uondolewe  kwanza.  Uume  alio  badilishiwa  utolewe  kwanza  uteketezwe  kisha  uume  wake  ulio  chukuliwa  na  wachawi  urudishwe  kwake.

Hii  inafanyika  kwa  kufanya  tambiko  maalumu  ya  kiganga, uume  wa  kichawi  alio  wekewa  utachukuliwa  na  kisha  uume  wake  halisi  utavutwa.

Baada  ya  hapo, watachinjwa   wanyama  kadhaa  kisha  itapikwa  dawa  halafu mwanaume huyu  atalishwa  dawa  maalumu  ya  kutibu  maradhi  ya  nguvu  zap  kiume  yatokanayo  na  kurogwa  sanjari  na  kupewa  kinga  maalumu  ya  kuzuia  nguvu  zake  kuchezewa  tena.

Atalishwa  dawa  hii  mara  moja tu  na  atapona  kabisa  tatizo  lake.

IMESIMULIWA  NA  DOKTA  MUNGWA  KABILI..ANAPATIKANA  KWA  SIMU  NAMBA  0744  000 473.

PIA  KWA  HABARI  ZAIDI  KUHUSU  ULIMWENGU  USIO  ONEKANA, WAWEZA  KUMTEMBELEA :

Tundu Lissu amepelekwa nyumbani kwake kupekuliwa

$
0
0
Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amepelekwa nyumbani kwake na Polisi kwa ajili ya kupekuliwa.

Tundu Lissu anashikiliwa na Polisi baada ya kummakata jana alipokuwa anatoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ambapo alipelekwa Kituoni kuhojiwa kwa makosa mawili. 

Kosa la kwanza ni kumkashifu Rais, na kosa la pili ni la uchochezi dhidi ya ndege za serikali kuzuiwa Canada

Pata Tiba ya Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM .HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Magazeti yote Tanzania yanatakiwa kusajiliwa upya

$
0
0
Msemaji wa Serikali  Dk Hassan Abbasi  amesema kwamba kuanzia leo hadi Oktoba  15, Magazeti yote yataanza kusajiliwa upya.

"Baada ya Oktoba 15, 2017 hakuna atakayeruhusiwa kuchapisha bila usajili"Amesema Dk Abbasi na kuongeza;

"Mfumo mpya wa utoaji wa leseni kwa machapisho yote umeanza rasmi leo ‘’

Amesema  taratibu zote za upatikanaji wa leseni zimewekwa katika tovuti   http://www.maelezo.go.tz "-

Mawasiliano kwa ajili ya ufafanuzi kuhusu utaratibu wa usajili ni 0622664606 na 0717312417 au kupitia maelezo@habari.go.tz
==

Update: Polisi Wamaliza Kupekua Nyumba ya Lissu

$
0
0
Jeshi la Polisi limemaliza zoezi la kufanya upekuzi katika nyumba ya Mwanasheria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) iliyopo Tegeta Dar es Salaam na baada ya hapo Lissu amerejeshwa Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam.

Jeshi la polisi lilikwenda nyumbani kwa Tundu Lissu kufanya ukaguzi kufuatia makosa mawili ambayo Mbunge huyo wa Singida Mashariki na Rais wa TLS anatuhumiwa nayo ambayo ni pamoja na Kusema makosa ya Rais John Pombe Magufuli hadharani na chochezi kuhusu kushikiliwa ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 huko nchini Canada.

Kwa mujibu wa Afisa Habari wa CHADEMA, Tumaini Makene amedai kuwa Tundu Lissu amerudishwa  Kituo Kikuu cha Polisi kwa ajili ya taratibu zingine za kisheria ambazo zitaendelea ikiwa pamoja na dhamani ambayo kisheria ipo wazi.

Tundu Lissu alikamatwa Jumanne ya tarehe 22 Agosti 2017 na jeshi la polisi alipotoka mahakamani kwenye kesi ya uchochezi , alipelekwa Police Central kwa ajili ya kufanyiwa mahijiano na baadaye kulala rumande kutokana na jana kushindwa kupewa dhamana.

Kilichoendelea Leo Mahakamani Kuhusu MKOJO wa Manji

$
0
0
Mkemia kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, Domician Dominic ameieleza Mahakama ya Kisutu leo August 23, 2017 kuwa dawa za kulevya (Benzodiazepines) alizobainika anatumia mfanyabiashara Yusuf Manji zinatolewa hospitalini na zinauzwa Pharmacy.

Mkemia huyo amesema hajui kama sampuli ya mkojo alioupima ni wa Manji ama Askari Polisi, kwa sababu wakati Manji anachukuliwa sampuli hiyo aliingia chooni na Askari, huku yeye akiwasubiri nje.

Aidha, Mkemia amesema katika kipimo cha mkojo wa Manji amebaini uwepo wa dawa aina ya Benzodiazipines ikiwa ni zao la Heroin, ambapo dawa hiyo ina matumizi mengi ikiwemo kuondoa maumivu makali, ikitegemeana na ushauri wa daktari.

Baada ya kuelezwa hayo, Wakili Mkuu wa Serikali, Timony Vitalis amesema Serikali imefunga ushahidi wa mashahidi wake watatu.

Hakimu Mkazi Mfawidhi, Cyprian Mkeha amesema atatoa uamuzi kama Manji ana kesi ya kujibu ama la, August 25/2017.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Lukuvi Ajibu Mapigo ya Sumaye

$
0
0
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe William Lukuvi amesema mtu yoyote asiyelipa kodi ya ardhi na kuendeleza ardhi hiyo, ni sababu tosha ya kunyang'anywa ardhi hiyo pamoja na kufutiwa hati ya umiliki kwa kuwa anaingizia hasara serikali

Waziri Lukuvi amebainisha hayo ikiwa imepita siku moja tokea kwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa awamu ya tatu, Mh. Fredrick Sumaye kudai chanzo cha kupokonywa shamba lake ni siasa tu za yeye kuhama chama cha CCM na kwenda kuupa nguvu upinzani.

Akiongea kuhusu mashamba na viwanja kuchukuliwa Waziri Lukuvi amesema,

"Kila mtu atambue iwe ni kiwanja au shamba kama unatabia ya kutolipa kodi ya ardhi ni sababu tosha ya wewe kunyang'anywa shamba lako au ardhi unayomiliki.

"Imejitokeza kwa watu wachache kuchukua ardhi kubwa kwa miaka mingi kuliko hata uwiano wa uendelezaji wa ardhi hiyo, kwa mfano kuna hati moja hapa ambayo inapigiwa kelele tokea mwaka 1939 imekuwa ikitembea mikono mwa watu. Sasa miaka ile watu walikuwa wachache unapokwenda kuchukua ardhi ya kijiji hekari elfu 60 kwa mfano hivi sasa wananchi utakuwa umewaachia kitu gani?" Amesema Lukuvi

Pia Waziri Lukuvi amesema imekuwa kawaida ya baadhi ya watu wanapowahi maeneo  huwa wanakimbilia kuchukua sehemu zenye manufaa makubwa kwa upande wao na mwishowe wanashindwa kuendelezaa maeneo hayo kama walivyoyakimbilia.

"Unawahi kuchukua sehemu zenye manufaa kama mto, ardhi inayolimika, sasa unachukua hekari zote hizo halafu huliendelezi mwishowe shamba hilo hilo tunalikuta Benki umelikopea fedha. Kisha umepata fedha hizo unakwenda kujengea 'apartment' sehemu nyingine na kule wananchi wanalimezea mate.Serikali wanatumia nguvu kubwa sana kutuliza wananchi wasivamie hilo shamba , halilimwi, serikali hatupati kodi", alisisitiza Lukuvi.

Kwa upande mwingine, Waziri Lukuvi amesema serikali imekuwa na huruma kwa miaka mingi kwa wananchi wake lakini serikali ya uongozi huu wamekubaliana kila mtu afuate sheria anazo paswa
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images