Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Ester Bulaya Ahamishiwa Bugando

$
0
0
Mbunge wa  jimbo la Bunda Mjini, Esther Bulaya aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime alikokimbizwa Jana Jumapili baada ya kuzidiwa akiwa mahabusu  ya polisi mjini Tarime,  amehamishiwa  Hospitali ya Rufaa ya Bugando jjijini Mwanza kwa matibabu zaidi.

Katibu wa Chadema Mkoa wa Mara, Chacha Heche amesema kuhamishiwa Bugando kwa mbunge huyo kumewezekana baada ya kupata dhamana ya polisi  aliyowekewa  na watu watatu akiwemo wakili wake, Alex Masaba.

Wengine waliomdhamini kwa kusaini hati ya Sh20 milioni ni Mbunge wa Tarime mjini Esther Matiko  na Mwenyekiti wa Mtaa wa Songambele ‘B’, Pamba Chacha.

Heche amesema kabla ya kuachiwa kwa dhamana Mkuu wa Wilaya ya Kipolisi (OCD), wa Tarime, Thomas Mapuli alimtembelea mbunge huyo hospitalini kuona hali yake kiafya.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Mbunge Msukuma Kamjibu Tundu Lissu Kuhusu Ndege Kukamatwa Canada Kisa Deni

$
0
0
Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Msukuma amefunguka na kusema kuwa Rais Magufuli hausiki katika sakata la kuvunja mkataba ambao umepelekea ndege ya Tanzania  Bombadier Q-400 Dash 8 kushikiliwa nchini Canada na kusema wapinzani wanatafuta kiki.

Mbunge Msukuma amesema kwa upeo wake jinsi alivyosikiliza upande wa upinzani na majibu ya serikali anaona wazi kuwa ni kweli baadhi ya wapinzani wa nchii hii wanahusika katika kukwamisha jambo hilo kama ambavyo serikali ilivyosema na kudai Rais Magufuli hausiki katika jambo hilo.

"Binafsi yangu naamini kabisa majibu ya serikali kuwa hili suala linauchochezi wa wanasiasa, kwanza vitu vingi walivyosema wapinzani kuhusu sakata hili la ndege ni vya uongo ukianzia lile suala la kuwa Rais Magufuli amekuwa akiiitia hasara serikali hii. 

"Tatizo lililopo mahakamani la kampuni inayodaiwa kuishtaki Tanzania kampuni hiyo imefanya kazi mwaka 1998-99 wakati Magufuli hakuwa Rais wa Tanzania" alisema Mbunge Msukuma

Aidha Mbunge huyo aliendelea kudai jumla ya deni la bilioni 87 ambayo serikali ya Tanzania inadaiwa na kampuni ya Stirling Civil Engineering Ltd kwa kuvunja mkataba wa kazi halijatokana na serikali ya awamu ya tano ya Rais John Pombe Magufuli.

"Deni hili siyo kwamba limetokana na uongozi wa serikali ya awamu ya tano lakini kama Rais huwezi kukataa deni ambalo serikali inadaiwa akiwa madarakani lakini pia suala hili lipo mahakamani na hatua iliyofikia ni hatua ya mwanzo kabisaa, na si kweli kwamba ndege imekamatwa unaweza kuingia mitandaoni ukaiona ndege ilipo, bado ipo kwao hao Bombadier hivyo Tundu Lissu anaposema ndege imekamatwa siyo kweli.

"Hao watu hao wanaotudai wameenda kufile kesi ya kuzuia mali za Tanzania zisiondoke na serikali inaweza kutoa utetezi wake kwa hiyo hili suala ni kama linawekwa udalali na yote yanafanyika kutokana na umakini wa serikali ya awamu ya tano kwa hiyo wapinzani wanatafuta kiki tu" alisisitiza Msukuma

Siku ya Jumamosi ya tarehe 19 Agosti serikali ilikiri wazi kuwa ni kweli kuna mgogoro uliopelekea ndege hiyo kushindwa kuingia nchini Tanzania mwezi Julai kama ambavyo ilitangazwa awali na kusema serikali imeanza kufanya jitihada mbalimbali kuhakikisha inamaliza mgogoro huo.

Jenerali wa Jeshi Ateuliwa na Rais Magufuli Kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU

$
0
0
Raisi John Magufuli leo August 21, 2017 amemteua Brigedia Jenerali John Julius Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).

Uteuzi wa Brigedia Jenerali John Julius Mbungo unaanza leo August 21, 2017.

Habari Zilizopo Katika Magazetibya Leo Jumanne ya August 22

Usikubali Kuaibika.......Pata Tiba ya Nguvu za Kiume Utunze Heshima Yako

$
0
0
Tatizo la kukosa hamu ya tendo la ndoa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana, sio Tanzania tu bali duniani kote.

   UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME HUSABABISHA MAMBO KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.
      @natural beauty pro. Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye kisukari kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL ni kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @220,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 7.5 @140,000/=
3.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
4.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kurudia tendo hata mara 3 bila kuchoka @130,000/=
5.DISCREET.Ni dawa ya kuondoa mvi milele na zisiludi tena @130,000/=
    KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
       @natural2162
       @natural2162
       @natural2162
   Wasiliana nasi Popote ulipo duniani kwa no (+255)
0759029968 na 0659618585
    NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
      Bidhaa zetu zimetengenezwa kwa mimea na matunda na hazina kemikali wala madhara kwa mtumiaji. Zimethibitishwa kiafya.

                 < WELCOME ALL>

NEC yateuwa Madiwani 12 wanawake wa viti maalum

$
0
0
Kwa Mujibu wa Kifungu cha 86A (8) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) katika kikao chake cha kawaida kilichofanyika  tarehe 21 Agosti, 2017 na baada ya kushauriana na Vyama vya Siasa imewateua Madiwani Wanawake wa Viti Maalum kumi na wawili (12) kujaza nafasi wazi za Madiwani katika Halmashauri mbalimbali Tanzania Bara.
 
Madiwani Wanawake wa Viti Maalumu walioteuliwa ni kama ifuatavyo:

NA.JINACHAMAHALMASHAURI
  1. 1
Ndugu Saida Idrisa KiliulaCUFHalmashauri ya Wilaya ya Kilwa

Ndugu Sophia Charokiwa MsangiCCMHalmashauri ya Wilaya ya Mwanga

Ndugu Shahara Selemani NduvaruvaCCMHalmashauri ya Wilaya ya Mbarali

Ndugu Neema K. NyangaliloCCMHalmashauri ya Manispaa ya Ilala

Ndugu Farida Zaharani MohamedCCMHalmashauri ya Wilaya ya Mvomero

Ndugu Lucia Silanda KadimuCCMHalmashauri ya Wilaya ya Tabora (Uyui)

Ndugu Amina Ramshi MbairaCCMHalmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu

Ndugu Janeth John KaayaCHADEMAHalmashauri ya Wilaya ya Meru

Ndugu Sara Abdallah KatangaCHADEMAHalmashauri ya Manispaa ya Ilala

Ndugu Ikunda MassaweCHADEMAHalmashauri ya Wilaya ya Hai

Ndugu Tumaini Wilson MasakiCHADEMAHalmashauri ya Wilaya ya Siha

Ndugu Elizaberth Andrea BayyoCHADEMAHalmashauri ya Mji wa Mbulu

Uteuzi huu umefanyika baada ya kupokea taarifa kutoka kwa Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa ambaye kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 13(1) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292 alitaarifu Tume ya Taifa ya Uchaguzi uwepo wa nafasi hizo wazi.
 
Imetolewa  tarehe 21 Agosti, 2017
Kailima, R. K
 
MKURUGENZI WA UCHAGUZI

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Daktari ‘feki’ wa Muhimbili, anaswa tena Hospitali ya Amana

$
0
0
Mkaazi  wa  jiji la Dar es Salaam, Abdallah Juma aliyewahi kukamatwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) akidaiwa kujifanya daktari amenaswa tena katika Hospitali ya Rufaa ya Amana kwa kufanya kazi katika hospitali hiyo wakati sifa za udaktari hana.

 Juma alinaswa jana ndani ya Hospitali ya Amana, majira ya mchana, akijifanya daktari, baada ya kuwekewa mtego na uongozi wa hospitali hiyo.

Kukamatwa kwa Juma  kunakuja ikiwa ni miezi mitatu tu imepita tokea Juni 19 mwaka huu alipo kamatwa katika hospitali ya Muhimbili kwa kujifanya daktari. 

Katika hospitali ya Muhimbili kijana huyo alijifanya kutoa huduma katika maabara kuu  huku uongozi ukiwa hauna taarifa ya kuwepo kwa huduma aliyokuwa akiitoa kitu ambacho kilisababisha kushtukiwa na kukamatwa.
 
Baada ya kukamatwa Uongozi wa hospitali hiyo ulifanya uchunguzi na kubaini kuwa kijana huyo hakuwa daktari bali daktari feki kama alivyokuwa akijitambulisha na kwamba amekamatwa mara baada ya kuwekewa mtego na askari wa hospitali hiyo. Daktari wa Kitengo cha Watu wanaoishi na Virusi  vya Ukimwi (WAVIU),    Shani Mwaruka alikiri kukamatwa kwa  kwa mtuhumiwa huyo.
 
Alisema, Juma alinaswa baada ya uongozi kupata malalamiko kutoka kwa  watu waliokuwa wakihitaji huduma  katika hospitalini hiyo.

 Alisema tayari hospitali hiyo iliweka mtego imara wa maofisa wake, ambapo Juma aliingia bila hofu yeyote na kukutana na watu ambao alitaka wampe fedha ili awahudumie ndipo aliponaswa.

Baadhi ya watu waliodaiwa kuombwa fedha na  daktari huyo feki, wamesema aliahidi kuwatafutia kazi mbalimbali katika hospitali hiyo.

Nae mwananchi aliyekwenda kupata huduma hospitali ya Amana Cecilia alisema  Agosti 9 mwaka huu, kijana  huyo aliwaeleza kuwa kuna kazi  katika hospitali ya Amana na yeye kama daktari bingwa anayefanya kazi hapo anaweza kuwasaidia.
 
“Alituambia kuwa  fomu zinatolewa katika  hospitali ya muhimbili sh. 150,000 lakini kwakuwa wao ni madakatari atatufanyia kwa sh. 100,000 tu. Tulichanga fedha hiyo na ilifikia 800,000 tukampatia,”alieza Cecilia. 

Aliongeza,Juni  19 mwaka huu aliwaita katika hospitali ya Amana ili kufanyiwa usahili lakini hakutokea na simu akawa hapokei.

“Tuliamua kuuliza kwa madakatari kama wanamfahamu lakini hakuna aliyemfahamu ndipo tulipobaini kwamba tumetapeliwa na kuamua kufanya mtego kwa kushirikiana na uongozi uliofanikisha kumnasa  leo ,”alieleza.

Serikali Kutumia Mfumo Wa Kielektroniki Kudhibiti Ajali Barabarani

$
0
0
Serikali imetoa mwezi mmoja kwa Mamlaka zinazohusika na masuala ya usalama barabarani kuhakikisha zinakamilisha uboreshaji wa mfumo wa kielektroniki wa uwekaji wa vifaa vya kufuatilia udhibiti mwendo barabarani ikiwa lengo ni kushughulikia matatizo ya kiusalama barabarani kupitia vyombo vya usafiri.

Akizungumza hayo jijini Dar es Salaam, Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Edwin Ngonyani amesema kuwa mfumo huo uendane na utengenezaji wa mpango wa Taifa wa kufuatilia masuala ya kiusalama barabarani utakaohusisha wataalam kutoka Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) na Wataalam wa Idara ya Usalama na Mazingira (Sekta ya Ujenzi).

"Shirikianeni kutengeneza mfumo ambao utasaidia kutambua matatizo mbalimbali yanayoweza kujitokeza barabarani ili kubaini mwenendo wa mabasi na malori mwanzo hadi mwisho wa safari zake",  amesema Naibu Waziri Ngonyani.

Amesisitiza kuwa mfumo ambao utaandaliwa na wataalam hao unatakiwa kukidhi mahitaji ya kila mmoja ili kuleta matokeo chanya kwa manufaa ya nchi yatakayosaidia kupunguza ajali za barabarani zinazotokana na mwendo kasi, kupambana na uhalifu na kulinda usalama wa abiria.

Aidha, Eng. Ngonyani amefafanua kuwa katika juhudi za kuhakikisha serikali inapunguza ajali za barabarani wizara yake kupitia Idara ya Usalama na Mazingira tayari imesaini mkataba wa kufunga kamera za udhibiti mwendo kasi katika barabara kuu ya TANZAM (Dar es Salaam - Tunduma), ambapo sehemu ya majaribio ya mradi huo imefanyika katika maeneo ya Dar es Salaam - Chalinze - Morogoro.

Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Eng. Hamad Masauni, amesema kuwa taratibu za kutengeneza mfumo huo zinatakiwa kukamilika haraka ili kusaidia Jeshi la Polisi kutumia mfumo huo kuweza kupambana na uhalifu katika maeneo mbalimbali ya nchi.

Ametanabaisha kuwa Serikali itamchukulia hatua kali za kisheria mtu yeyote atakaejaribu kuhujumu mfumo huo kwani serikali itatumia fedha nyingi kuutekeleza kwa lengo la kuhakikisha usalama wa raia unalindwa ipasavyo.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA, Gilliard Ngewe, ameeleza manufaa ya mfumo huo kwa wamiliki wa vyombo vya usafiri wa magari ya abiria na mizigo kuwa ni itasaidia kupunguza matumizi ya mafuta, uharibifu wa matairi ya magari mara kwa mara na kupunguza gharama za matengenezo ya magari.

Mfumo huo wa kieletroniki wa usalama barabarani ni moja ya mbinu zinazotumiwa na Serikali katika kuhakikisha matumizi ya usalama barabarani yanazingatiwa kwa mujibu wa Sheria, Taratibu na Kanuni.

Mwalimu Afikishwa Mahakamani Kwa Kumbaka Mwanafunzi na Kumjaza Mimba

$
0
0
Mwalimu wa shule ya msingi katika kata ya Ligunga tarafa ya Matemanga wilaya Tunduru mkoani Ruvuma Rajabu Morisi amefikishwa katika Mahakama ya wilaya hiyo kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wake na kumsababishia ujauzito.

Akisoma shauri hilo no 148/2017, mbele ya mlinzi wa amani hakimu wa Mahakama ya mwanzo Itika Korosho, mwendesha mashtaka wa Mahakama ya wilaya Inspekta Bosco Kilumbe amesema mtuhumiwa alitenda kosa hilo kati ya mwezi January na Mei mwaka huu katika muda usiojulikana baada ya kumrubuni mwanafunzi huyo.

Na kudai kufanya hivyo ni kinyume cha sheria namba 130 (1) na (2e) na namba 131 (1) na (2) vya sheria ya kanuni ya adhabu sura namba 16 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.

Hata hivyo mtuhumiwa huyo amekana kosa hilo upelelezi bado unaendelea , mtuhumiwa yupo nje kwa dhamana, kesi hiyo itatajwa tena Mahakamani Agosti 28 mwaka huu.

Pata Tiba ya Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM .HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Waziri Mkuu akutana na wanafunzi wa Tanzania wanaosoma Udaktari Cuba

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wote wahakikishe wanaboresha mshikamano wao pamoja na kuimarisha uzalendo kwa Taifa lao.

Ametoa kauli hiyo Jumapili, Agosti 20, 2017 wakati akizungumza na wanafunzi wa Kitanzania wanaosomea udaktari nchini Cuba.

Waziri Mkuu yuko nchini Cuba kwa ajili ya ziara ya kikazi yenye lengo la kudumisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili. Alisema uzalendo kwa Taifa ni jambo muhimu.

“Uzalendo ni muhimu sana kwa sababu tumekosa fursa nyingi za kimaendeleo kutokana na baadhi ya wananchi kutokuwa wazalendo kwa Taifa lao.”

Kutokana na hali hiyo Serikali inawasisitiza Wananchi kuwa wazalendo na washirikiane kuhakikisha fursa za kimaendeleo zilizoko nchini zinaendelezwa.

Alisema Serikali inatekeleza miradi mingi kwa lengo la kukuza uchumi kutoka wa chini kwenda wa kati, ni vema wananchi wakashirikiana nayo ili kufanikisha adhma hiyo.

Pia Waziri Mkuu alitumia fursa hiyo kuwasihi wanafunzi hao kuzingatia sheria za nchini waliyoko pamoja na kukumbuka kurudi nyumbani mara wamalizapo masomo yao.

Alisema Serikali inatambua uwepo wao wa kimasomo nchini Cuba na kwamba inatarajia kupata mchango mkubwa kutoka kwao punde wamalizapo masomo yao.

“Nawaomba msome kwa bidii na mfaulu mitihani yenu. Elimu yenu iwasaidie katika ajira na muweze kurejesha mikopo mliyopewa na Serikali ili iwanufaishe wengine.”

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu aliwataka Mabalozi wote wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali kuhakikisha wanatangaza vivutio vya utalii.

Alisema Tanzania imejaaliwa kuwa na vivutio vingi vya utalii, hivyo ni vema Mabalozi wakavitangaza jambo ambalo litasaidia kuongeza idadi ya watalii wanaokuja nchini.

Miongoni mwa vivutio vya utalii vilivyoko nchini ni pamoja na mlima Kilimanjaro, visiwa vya Zanzibar, mbuga mbalimbali zenye wanyama wa aina tofauti tofauti.

Awali Mwenyekiti wa wanafunzi hao, Bw. Goodchance Tarimo alimuhakikishia Waziri Mkuu kwamba watarejea nyumbani mara baada ya kumaliza masomo yao nchini humo.

Alisema wao wanaimani kubwa na Serikali na wanaunga mkono jitihada zinazofanywa na viongozi wa Taifa kwa lengo la kuboresha maendeleo pamoja na kukuza uchumi.

“Tunapongeza jitihada za Serikali ya Awamu ya Tano katika  kujenga uchumi wa viwanda, mapambano dhidi ya rushwa, ufisadi na ujenzi wa miundombinu ya kisasa.”

Viongozi wa Serikali washikiliwa kwa mauaji ya Wanawake Watano

$
0
0
Watu 32 wamefikishwa mahakamani kujibu shtaka  la mauaji ya wanawake watano yaliyotokea katika Kijiji cha Undomo Kata ya Uchama wilayani Nzega.

Miongoni mwa waliofikishwa mahakamani jana Jumatatu na kusomewa shtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Nzega, Sarafina Nsana wamo viongozi wa serikali ya kijiji hicho na  wengine wa ngazi ya kata.

Mwendesha Mashitaka wa Polisi, Melito Ukongoji aliiambia mahakama kuwa Julai 25, washtakiwa kwa pamoja, wakiwa katika kijiji cha Undomo waliwashambulia kwa kuwapiga na kuwachoma moto hadi kufa wanawake watano kwa tuhuma za imani potofu za ushirikina.

Akisaidizana na mwenzake, Agustino Nshimba mwendesha mashtaka  huyo aliwataja waliouawa katika tukio hilo kuwa ni Nsuku Masali, Ester Kaswahili, Christina Saidi, Mwashi Mwinamila pamoja na Kabula Kagito.

Waliosomewa  mashtaka  ambao  hata hivyo  hawakutakiwa kujibu  lolote kwa  sababu mahakama  hiyo haina mamlaka ya  kusikiliza  na  kuamua mashauri ya  mauaji ni pamoja na Mtendaji wa Kata ya Uchama, Malewa Maroji, Diwani  wa Kata hiyo, Karoli Massanja, Kiongozi  wa  Sungusungu, Dotto Saraganda, mwenyekiti  wa kijiji, Ramadhani Kulwa na mtendaji wake, Rauliani Sanyiwa.

Washtakiwa wengine ni Dotto Saraganda (49), Taus Ngassa (40), Pill Kapewi (25), Leons Sospeter (36), Issah Eliudi (20), Nhungulu Sospeter (25), Saidi Nsabi(25), Emmanuel Pius(18), Estar Muhamila(25), Tatu Thomas (35), Thotunatus Ngelera (30), Milika Daudi (36), Kisuge Ntemi(31), Kulwa Kizinza (40), Shija Masali (35), na Kulwa shomali(31).

Wengine ni Selelo Mashandete (46),  Steven Saraganda (60), Paul Christoph (60), Makuya Athumani(42), Peter Mapalala(21), Maganga Daudi (19), Omary Seleli (20), Paul Emmanuel (51),Charles Kiberiti (26), Emmanuel Mihayo (27), Shomali Nhyama (75), pamoja na Shija Shomali (20).

Shauri hilo imeahirishwa hadi Septemba 4, itakapotajwa tena na muda wote wakati washtakiwa wakisomewa mashtaka dhidi yao,  jeshi la polisi liliimarisha ulinzi kuzunguka eneo la mahakama.

Unasumbuliwa na Kiharusi,Ngiri au Kifafa?......Unatatizo la Nguvu za Kiume, Kuachika au Tatizo la Uzazi? . Kutana na Mtalaamu Huyu Akusaidie

$
0
0
SASA YUPO DAR; Anauwezo wa kutabiri nyota yako na kukuletea mafanikio makubwa katia biashara yako, kazini na malengo yako ya maisha.Pia anatoa pete ya bahati yenye uwezo wa kukuletea mafanikio makubwa na kutimiza ndoto zako.

Je, Umedhurumiwa? unamdai na hakulipi?...Njoo upatiwe dawa ulipwe haraka. Anadawa ya kumvuta mpenzi wako popote alipo kwa masaa 6 tu na kumtuliza asitoke kwako

Je, unaugomvi usioisha na mpenzi wako na unaachwa mara kwa mara? Njoo upate dawa ufurahie penzi tulivu la umpendae.

Anadawa za nguvu za kiume, kuimarisha mishipa iliyolegea, kuongeza homoni na kukufanya udumu katika tendo hadi dakika 45 na unaweza kurudia tendo hata mara 4 bila kuchoka.

Anatibu Busha bila kupasua,uzazi, mshipa wa ngiri,kiharusi,kifafa,kuondoa majini machafu nakadhalika.

Mpigie kwa simu: 0755505099

Peter Msigwa Ampa Makavu Msukuma Sakata la Ndege Kuzuiwa Canada

$
0
0
Mbunge wa Iringa mjini kwa tiketi ya CHADEMA Mchungaji Peter Msigwa ameibuka na kumchana Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku na kusema uelewa wake juu ya hoja za Mwanasheria Tundu Lissu ni mdogo sana.

Msigwa amesema haya siku moja baada ya Mbunge Msukuma kudai kuwa yeye anaunga mkono kauli ya serikali kuhusiana na wanasiasa kuchochea sakata la ndege huku akiwatuhumu kuwa wapinzani wanatafuta kiki na kusema ni waongo watupu.

"Msukuma anasukumwa na uelewa Mdogo wa mambo ya kisheria na kimataifa kwa uelewa wake juu ya hoja za Tundu Lissu ni sawa na kobe kushindana na twiga kwa uwezo wa kuona Mbali" alisema Peter Msigwa

Aidhaa Mchungaji Msigwa ameitaka serikali kutoa majibu yanayoridhisha kuhusiana na ndege inayoshikiliwa nchini Canada

"Hoja zilizotolewa na Serikali juu ya kukamatwa kwa ndege yetu huko nchini Canada Bombadier Q 400 zinafedhehesha Taifa na kuondosha weledi na umahiri wa Serikali katika kukabiliana na maswala makubwa ya nchi yetu. Kinachoshangaza Serikali badala ya kujibu hoja kuntu za Mh, Lissu imeendeleza kufanya mazengaombwe yasioleweka kwa watanzania ikisaidiwa na Msukuma mbunge wa Geita. Mpaka sasa Serikali haijatoa majibu ya kuridhisha kuhusiana na sakata hili" alisisitiza Msigwa

Mchungaji Msigwa ameeleza kuwa serikali inapaswa kuja na majibu katika hoja kadhaa ambazo Tundu Lissu aliziibua

"Lissu anawataja wanasheria wa serikali kutowajibika katika kuishauri serikali kinyume na taaluma zao . Watu hawa wamekuwa hawana Masada kwa Serikali wamekuwa wakiingiza mkenge Serikali kila mara na siwashangai kina Prof. Kabudi , Dr. Mwakyembe mithili ya Dr. Benson Banna ambae kila siku amekuwa akiidhalilisha taaluma ya wasomi. 

"Serikali mpaka sasa , haijawapa watanzania uhakika ni kwa namna gani mali za watanzania ikiwemo majengo ya balozi zetu zilizopo nje ya nchi zitakuwa salama . Watanzania wanataka majibu yenye uhakika juu ya mali zao kuendelea kunaswa huko nje" alimalizia Peter Msigwa

Kizimbani kwa kula nyama za binadamu

$
0
0
Watu wanne  wamefikishwa mahakamani nchini Afrika Kusini kujibu mashtaka ya kula nyama ya binadamu.

Aidha, watu hao wanakabiliwa pia na mashitaka ya kupanga mauaji.

Watu hao walibainika baada ya  mmoja wao kujipeleka katika kituo cha polisi na kusema kuwa amechoka kula nyama ya binadamu.

Alipohojiwa zaidi mtuhumiwa huyo alionyesha sehemu ya mguu na mkono wa binadamu ambavyo vilisalia baada ya kula sehemu nyingine za mwili.

Kisha polisi wakaandamana na mtuhumiwa  huyo mpaka kwenye  nyumba moja iliyopo katika mji wa KwaZulu-Natal na kushuhudia  miili mingine ya watu.

Kati ya watu hao wanne, wawili ni waganga wa jadi..

Mkuu wa Wilaya Aamuru Mwalimu Akamatwe Baada ya Kushindwa Kutaja Jina Lake

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Gelasius Byakanwa (pichani) anadaiwa kumweka mahabusu mwalimu mmoja kwa kushindwa kutaja jina la kiongozi huyo.

Tukio hilo lilianza kusambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii jana ikielezwa kuwa mkuu huyo wa wilaya alimtaka mwalimu huyo achague kupiga ‘pushup’ 20 au polisi wakamkamate na kumsweka mahabusu.

Kutokana na tukio hilo, Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kimemjia juu mkuu huyo wa wilaya kikidai kuwa maswali aliyokuwa akiyauliza mteule huyo wa Rais John Magufuli hayakustahili na wala hayakuwa ya kitaaluma.

CWT ilisema katika ziara hiyo ambayo mkuu wa wilaya alitembelea shule mbili, aliwataka walimu wataje jina lake (la DC), shule imeshika nafasi ya ngapi kitaifa na wataje majina ya magazeti ya Serikali.

Pia, inadaiwa katika maswali yake hayo, mkuu huyo wa wilaya alimtaka mwalimu huyo ataje tofauti ya CUF (chama cha siasa) na CAF ambalo ni Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika.

Mkuu huyo wa wilaya alipopigiwa simu jana asubuhi ili azungumzie tuhuma hizo, alisema yuko kwenye kikao na kuomba apigiwe simu baadaye.

Alipopigiwa simu mara ya pili mchana alijibu: “Siwezi kuzungumzia suala hilo, nipo kwenye kikao na walimu tangu asubuhi waandishi wananipigia simu nawaambia hawanielewi.”

Hata hivyo, jioni alipopigiwa tena kwa mara ya tatu na kuulizwa tena sababu za kumuweka mahabusu mwalimu huyo alijibu: “Sikumuweka ndani mwalimu huyo kwa sababu ya kushindwa kutaja jina langu, isipokuwa ni kwa sababu ya kunikosea nidhamu.”

Jana, mwalimu huyo wa Shule ya Sekondari Lerai, Erasto Mhagama alisema aliwekwa mahabusu wiki iliyopita kuanzia saa 8:30 mchana hadi saa 2:00 usiku alipoachiwa huru.

Kwa mujibu wa mwalimu huyo, polisi walimweleza kuwa amewekwa mahabusu kwa amri ya mkuu wa wilaya bila kupewa sababu za kutendewa hivyo.

Mwalimu huyo alisema kabla ya kukamatwa kwake, DC Byakanwa alifanya kikao na walimu na alianza kwa kuwauliza wangapi wanamfahamu kwa majina yake, lakini wote walikaa kimya.

Baada ya kimya hicho, mkuu huyo wa wilaya aliwapa karatasi walimu wote ili waandike majina yake, lakini wote walishindwa kuliandika.

Alisema baada ya muda, mkuu huyo wa wilaya aliwataka waandike nafasi iliyoshika shule hiyo kwenye Mtihani wa Taifa kwa mwaka 2015, mwalimu mmoja inadaiwa alishindwa kuandika.

Mwalimu huyo alifafanua kuwa mkuu huyo wa wilaya alimfuata yeye na kumtaka aeleze Halmashauri ya Wilaya ya Hai ina shule ngapi, alimjibu kuwa asingeweza kutaja kwa kuwa hakuwa na takwimu sahihi.

Alisema majibu hayo yalimfanya kiongozi huyo apige simu polisi na kuwaagiza wafike shuleni hapo haraka, lakini kabla hawajafika, alimwita pembeni na kumtaka achague adhabu moja kati ya kwenda mahabusu au kupiga ‘push-up’.

“Aliniambia nichague kupiga push-up 20 au niende mahabusu nilimwambia siwezi kupiga push-up kwa sababu nina matatizo ya kiafya. Nikachukuliwa nikapelekwa polisi Bomang’ombe,”alisimulia mwalimu huyo.

Mwenyekiti wa CWT mkoani Kilimanjaro, Omary Mchome alisema kitendo kilichofanywa na mkuu huyo wa wilaya hakikubaliki na ni kinyume cha maadili ya kitaaluma na ya utumishi wa umma.

“Hiki ni kitendo cha udhalilishaji, CWT hatutavumilia tutatoa tamko kali. Kumweka mtu ndani kwa sababu ameshindwa kujibu maswali ni kudhalilisha taaluma ya ualimu,” alisema Mchome.

Mwenyekiti huyo alisema baada ya kupata taarifa hizo, viongozi walikwenda kwenye shule mbili ambazo mkuu huyo wa wilaya alizitembelea wakapatiwa taarifa ya kadhia hiyo.

“Baada ya kupata taarifa nilimtuma Katibu wa CWT Mkoa wa Kilimanjaro na wa Wilaya ya Hai kufanya mahojiano na walimu waliokuwapo katika kikao hicho, walisema waliulizwa maswali ambayo si ya kitaaluma.

“Eti unamuuliza mwalimu taja jina langu, shule yako imeshika nafasi ya ngapi kitaifa, taja magazeti ya Serikali. Haya mambo yanaingiaje katika taaluma? Na kama mtu huyafahamu ni kosa?” alihoji Mchome.

Mwenyekiti huyo alisema katu hawatafumbia macho suala hilo kwakuwa ushahidi wanao na jana au leo walitarajia kupeleka barua rasmi ya malalamiko kwa Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.  

Credit: Mwananchi 

IGP Sirro Azungumzia Sakata la Miili ya Watu Kukutwa Kwenye Viroba katika Fukwe za Bahari ya Hindi

$
0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amezungumzia suala la kuokotwa miili ya watu kwenye viroba katika fukwe za bahari ya Hindi, na kusema suala hilo tayari lipo mikononi mwa Jeshi la Polisi kwa uchunguzi zaidi.

Sirro amesema kweli taarifa hizo zimelifikia Jeshi la Polisi, na kwamba tayari miili ipo wenye utambuzi kwa kuchukua vinasaba ili kujua ni raia wa nchi gani, na kisha litatangaza kwa watu walipotelewa na ndugu zao kwenda kuangalia kama ni wao.

Kamanda Siro aliendelea kwa kusema kuwa pamoja na kwamba watu wanafikiria mauaji hayo yamefanywa na Jeshi la Polisi, wafahamu kwamba wao kama Jeshi la Polisi huwa hawana kificho, kama wamekutana kwenye mapambano wamewaua watu wataweka wazi kuwa wameua, na siyo kwenda kuwatumbukiza baharini.

==>Msikilize hapa chini jinsi alivyoongelea suala hilo.

Mzee Aliyecharazwa VIBOKO Na Mkuu wa Wilaya Ashonwa Nyuzi 9

$
0
0
Chindika  Pingwa, mzazi aliyecharazwa viboko na Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Simon Odunga, amedai kushonwa nyuzi tisa kutokana na kipigo hicho.

Odunga alimcharaza viboko Pingwa mwenye umri wa miaka 56 baada ya gari lake kupigwa mawe na watoto wanne, wawili wakiwa ni wa mzazi huyo.

Tukio hilo lilitokea Agosti 11 katika barabara ya Kondoa-Dodoma, kwenye Kijiji cha Paranga wilayani Chemba ambapo gari la Mkuu wa Wilaya huyo lenye namba za usajili STL 669 lilipigwa mawe na watoto na kusababisha kioo cha nyuma kuvunjika.

Katika mahojiano na mwandishi wa habari hii mwishoni mwa wiki iliyopita wilayani Chemba, Chindika alisema amesikitishwa na kitendo kilichofanywa dhidi yake na kiongozi huyo wa serikali.

Alisema hakuona sababu za kupigwa kwa makosa yaliyofanywa na watoto, ilhali tayari alikuwa mikononi mwa polisi.

Chindika alisema kipigo kutoka kwa Mkuu wa Wilaya huyo kimemsababishia majeraha kwenye mkononi na kichwa ambapo alilazimika kushonwa nyuzi tisa.

"DC (Mkuu wa Wilaya) alikuwa ananipiga kwa fimbo kubwa. Baadhi ya maeneo ya mwili hasa mikononi yamevimba kutokana na kipigo, wakati ananipiga nilikuwa najaribu kujizuia," alisema.

Alisema zaidi: "Mkuu wa wilaya amenisababishia maumivu makali na alikuwa akinipiga huku nikiwa nimefungwa pingu tayari kupelekwa katika kituo cha polisi Chemba (kipo jirani na Kitongoji cha Morongia, Kijiji cha Kambianyasa).

"Kosa lilifanywa na mtoto mdogo ambaye naye alikimbia, lakini pia wenzake aliokuwa nao walikamatwa na kupigwa, ili waseme mwenzao aliyefanya kosa hilo amejificha wapi."

Chindika aliiomba serikali kuwapa onyo viongozi wanaojichukulia sheria mikononi kupiga raia wasiokuwa na hatia, ili kuepuka kujenga uadui kati yao na wananchi wanaowaongoza.

"Serikali pia, iliangalie suala hili kwa kina kwa sababu linaweza kusababisha maafa kwa wanakijiji na raia wasio na makosa kutokana na baadhi ya viongozi kujichukulia sheria mkononi," alisema zaidi Pingwa.

"Mimi sielewi kitu gani kinaendelea dhidi ya kiongozi huyu wa serikali."

Mwenyekiti wa Kitongoji cha Morongia, Marius Roman, akizungumza kuhusu tukio hilo, alisema amesikitishwa na kitendo kilichofanywa na Mkuu wa Wilaya huyo.

Alisema masikitiko yake yanatokana na ukweli kuwa hakukuwa na sababu ya kiongozi huyo kumpiga Pingwa, ilhali hatua za kisheria dhidi yake zilikuwa zimeshaanza kuchukulia kwa kufungwa pingu na kuingizwa kwenye gari la polisi.

"Kitendo hiki hakijawafurahisha wakazi wa eneo hili," alisema Roman. "Huu ni udhalilishaji na uonevu dhidi ya wananchi."

Mwenyekiti huyo alisema kuna haja ya mkuu wa wilaya huyo, kwenda katika kitongoji hicho na kuomba radhi wakazi wa eneo hilo kwa kitendo alichofanya.

"Licha ya ofisi ya Katibu Tawala wa Wilaya ya Chemba kusaidia kulipa gharama za matibabu na usafishaji wa vidonda vya Chindika, bado haitoshi," alisema mwenyekiti huyo.

"Kinachopaswa ni mkuu huyo, kurejea kuongea na wananchi wa eneo hili na kuomba radhi."
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images