Watu kumi wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti zilizotokea jana katika Bahari ya Hindi.
Katika ajali ya kwanza, watu sita walifariki baada ya boti ya Kilimanjaro II ilipokumbwa na dhuruba kali katika mkondo wa Nungwi, Zanzibar wakati ikitokea Pemba kwenda kisiwani Unguja jana asubuhi.
Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini A, Riziki Juma, alisema jana jioni kuwa maiti sita zilipatikana
Bahari ya Hindi yaua watu 10... Sita walikuwa katika Boti ya Kilimanjaro , Wanne walikuwa katika boti ya Mv Nyaulele
↧
↧
Mke wa mtu anyofolewa sikio katika ugomvi wa kimapenzi kati yake na mumewe
Consolata Edward ni mke wa mtu, mkazi wa Igoma jijini Mwanza ambaye
amebaki na kipisi cha sikio baada ya kunyofolewa kiungo hicho kisa
kikidaiwa kuwa ni hawara yake.
Tukio hilo lilitokea Desemba 16, mwaka jana ambapo mwanamke huyo
alidai kuwa alikuwa akizungumza kwa simu na mfanyakazi mwenzake ambaye
anauza naye chakula maeneo ya Mlango Mmoja jijini hapa kabla ya mumewe
kumvamia na
↧
Hukumu ya Zitto Kabwe yaahirishwa hadi kesho saa nane mchana
Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam imeahirisha kutoa hukumu dhidi ya Zitto Kabwe na CHADEMA na badala yake hukumu hiyo itatolewa kesho saa 8:00 mchana.
Kwa
mujibu wa taarifa za mahakama hiyo, kesi hiyo imeahirishwa mpaka kesho
mchana kwa sababu hakimu anayesikiliza kesi hiyo hajamaliza kuandika
hukumu ya kesi hiyo.
<!-- adsense -->
↧
Baadhi ya picha za wakazi wa mkoa wa Iringa wakiuaga mwili wa Waziri wa Fedha aliyefariki taehe moja mwezi huu
↧
Freeman Mbowe amjibu Zitto Kabwe....Anasema kupewa pesa na CCM si tatizo, tatizo ni kwamba hizo pesa unazitumia kwa lengo lipi?
MBUNGE wa Kigoma
Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, jana alishusha tuhuma nzito dhidi ya
Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, zikimhusisha na ufisadi.
Tuhuma hizo ziliibuka baada ya
Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu, kumtuhumu Zitto Kabwe mbele ya waandishi wa habari
jijini Dar es Salaam kwamba Zitto amepewa magari mawili na Mbunge wa
Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono; ambaye
↧
↧
Rais Kikwete aongoza maelfu ya wananchi wa Iringa waliojitokeza kumzika alyekuwa waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa
MAELFU ya wakazi wa mkoa wa Iringa na baadhi ya
viongozi wa vyama vya siasa na Serikali wakiongozwa na Rais Dr
Jakaya Kikwete wameshiriki katika mazishi ya aliyekuwa mbunge wa
jimbo la Kalenga na waziri wa fedha Dr Wiliam Mgimwa.
Waziri mkuu Mizengo pinda katika salam zake za serikali ameeleza
jinsi Taifa lilivyopata pigo kubwa kufuatia kifo cha Dr
↧
Nimrod Mkono Akanusha kumhonga Zitto Kabwe magari mawili....Anadai kwamba amesikitishwa sana na uongo uliosemwa na Tundu Lissu jana
TAMKO KUHUSU YANAYOENDELEA CHADEMA
MH. MKONO KUMPATIA MH. ZITTO MAGARI MAWILI
Nimesikitishwa na jinsi Chama kikuu cha upinzani ambavyo kwa siku za hivi karibuni kimeingia katika migogoro ambayo inaathari kubwa kwa ustawi wa demokrasia hapa nchini.
Nimesoma kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mimi Mh. (Nimrod Mkono) kumpatia Zitto Kabwe (MB) magari mawili (Land Cruiser pamoja na Nissan
↧
Video: Diamond Platnumz Feat. Davido – Number One ‘Remix’
↧
Binti wa miaka 15 atekwa kwa siku tatu na kubakwa huko Makete, Njombe
Na Edwin Moshi,Makete
Jeshi
la polisi wilayani Makete mkoani Njombe linamshikilia Fransis Pilla
(36) mkazi wa kijiji cha Iwawa na kata ya Iwawa wilayani hapa kwa
makosa mawili ya utekaji nyara na ubakaji kwa binti mwenye umri wa
miaka 15 ambaye jina lake limehifadhiwa.
Akiongea
na vyombo vya habari wilayani hapa afisa upelelezi wa jeshi la polisi
wilaya ya Makete Bw
↧
↧
Wanafunzi wenye virusi vya UKIMWI mkoani Pwani wawalalamikia walimu wao
BAADHI ya wanafunzi wa shule za msingi mkoani Pwani wenye virusi vya Ukimwi, wamesema baadhi ya walimu huwataka kimapenzi licha ya kuwaeleza ukweli juu ya hali zao kiafya.
Wametaka Serikali na asasi za kiraia kusaidia kushughulikia walimu na wanajamii wanaoshawishi watoto kwa ujumla kuingia kwenye uhusiano nao wa kimapenzi.
Wamesema changamoto hiyo, husababisha baadhi kupata tabu
↧
CHADEMA yakituhumu chama cha CUF kwa kuandaa vijana wenye panga na marungu ili wakamuunge mkono Zitto Kabwe...CUF yakanusha
MGOGORO unaoendelea Chadema umefikia hatua ya kuanza kutafuta mchawi ndani na nje ya chama hicho, ambapo sasa kimeishika CUF na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono kwa madai ya kumwunga mkono aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Kabwe Zitto.
Juzi wakati akitangaza kuwavua uanachama aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama hicho, Dk Kitila Mkumbo na aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa
↧
Zitto Kabwe atoa kauli nzito.....Asema wapinzani ( Dr. Slaa ) wakishika dola raia hawatapona
ALIYEKUWA Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA) na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametoa kauli
nzito, baada ya kusema viongozi wa vyama vya siasa wanaopekua
mawasiliano ya raia ni hatari kwa nchi na kwamba wakishika dola, raia
wao hawatapona.
Kauli ya Zitto imekuja siku moja tu baada ya
Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbrod Slaa, kuutangazia umma
↧
Kesi ya Jack Patrick kuanza kusikilizwa mwaka 2016....Wachina wampa mwaka mmoja na nusu wa kujifunza lugha yao kwanza
HABARI mpya za supastaa modo wa Bongo aliyedaiwa kukamatwa na madawa
ya kulevya ‘unga’ Macau, China, Jacqueline Patrick ‘Jack’(pichani)
zinazidi kumuumiza mrembo huyo.
Mrembo huyo alikamatwa Desemba 19, mwaka jana katika Uwanja wa Ndege
wa Macau akitokea Bangkok, Thailand akiwa na kete 57 (kilo 1.1) za unga
aina ya heroin tumboni zikiwa na thamani ya shilingi milioni 300.
TAARIFA
↧
↧
Unyama: Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke ambaye chama hicho kinamtuhumu kushirikiana na CUF kumuunga mkono Zitto avamiwa usiku na kupigwa nusura auawe
Mwenyekiti
wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Temeke Joseph
Yona ambaye chama hicho kinamtuhumu kushirikiana na CUF kumuunga mkono Zitto Kabwe amepigwa na watu wasiojulikana na kisha kutupwa kwenye eneo la
Ununio kwenye Magorofa ya Wasomali Kawe Dar es salaam.
Shuhuda Abdul Ally ambae ni mkuu wa nyumba zilizokaribu na alikopigwa
Mwenyekiti huyu, anasema
↧
Baadhi ya picha kutoka nje ya mahakama kuu Dar kabla ya hukumu ya Zitto Kabwe
↧
Zitto Kabwe ashinda hukumu ya kesi yake.....Mahakama yaizuia kamati kuu ya CHADEMA kujadili uanachama wake
LEO macho na maskio ya watanzania hasa wafuasi na wapenzi wa CHADEMA yalielekezwa katika Mahakama Kuu
Kanda ya Dar es Salaam,pale ambapo Jaji wa Mahakama hiyo Jaji John
Utumwa alikuwa akitoa hukumu dhidi ya Zitto Kabwe na CHADEMA....
Zitto ambaye alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, alifungua kesi
katika Mahakama hiyo akipinga hatua ya Kamati Kuu ya Chama
↧
Mwasisi wa CHADEMA, mzee Edwin Mtei amtaka Zitto Kabwe ajiunge na CCM au CUF kwa kuwa ndani ya Chadema kwa sasa hahitajiki
Mwasisi wa Chadema, Edwin Mtei amemtaka Zitto aunde chama chake
au atafute kingine cha kujiunga nacho kwa kuwa kwa sasa hana nafasi.
Pia ameshauri kuwa kama ana ndoto za kuwania urais
ni vizuri akatafute vyama vingine kama CCM au CUF kwa kuwa ndani ya
Chadema kwa sasa hahitajiki.
Mtei alisema kuwa kama anataka
↧
↧
Mwanamke wa kitanzania anaswa na Madawa ya Kulevya Uwanja wa Ndege Dar akiyapeleka Macau nchini China
KIKOSI cha Kuzuia na Kupambana na dawa za kulevya nchini, kimemkamata
mwanamke mmoja Mtanzania akiwa amebeba kete 63 za dawa za kulevya aina
ya heroine.
Mwanamke huyo, Salama Mzara mkazi wa Mbagala, jijini Dar es
Salaam, alikamatwa juzi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere (JNIA), akiwa njiani kuelekea Macau nchini China.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana,
↧
RAY C AFUNGUKA.... BADO NIPO SINGLE JAPOKUWA NASUMBULIWA
Akiongea
na Bongo5, Ray C amesema picha alizoziweka Instagram akiwa na mwanaume
si maisha halisi bali alitaka ‘kuhave fun’ na mashabiki wake. Lakini
amekiri kuwa usumbufu anaoupata kutoka kwa wanaume si mdogo.
“Sijapata bado mchumba nilikuwa nawachombeza fans wangu kwenye Instagram kwasababu nasumbuliwa sana.”
Kuhusu
nyimbo mpya, Ray C amesema mwaka huu atarudi kwenye muziki kwa
↧
MH. NDESAMBURO AELEZA KUWA CHADEMA NI MTI WA MATUNDA
MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (CHADEMA), amesema
matatizo yanayokikumba chama hicho kwa sasa yanatokana na kundi la watu
wachache wenye uchu wa madaraka, ambao pia wanatumiwa na Chama Cha
Mapinduzi (CCM).
Ndesamburo alisema kuwa wanaosababisha hali hiyo ni vijana ambao
hawana uchungu na CHADEMA, na hivyo kushauri uongozi uchukue hatua
stahiki ya kinidhamu kwa watu hao.
↧
More Pages to Explore .....