Video ya Edward Lowassa akiitangaza Safari yenye matumaini kwa watanzania, safari ambayo kila mtanzania atasoma bure
↧
↧
Serikali yatoa ratiba ya mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa ambaye alifariki juzi akiwa Afrika Kusini
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe.William
Lukuvi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Mazishi ya
aliyekuwa waziri wa Fedha Marehemu Dk. William Mgimwa akiongea na
waandishi wa Habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu mwili wa marehemu
kuwasili tarehe nne saa saba mchana uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Mwalimu Nyerere na Shirika la Ndege la
↧
Rose Ndauka apata mtoto wa kike.....
STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amejifungua mtoto wa kike kwa njia
ya upasuaji mwanzoni mwa wiki hii katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili
iliyopo jijini Dar.
Akizungumza na Ijumaa, Rose Ndauka alisema anamshukuru sana
Mungu kwa kumjaalia kujifungua salama huku mwanaye huyo akiwa na afya
njema.
“Ki ukweli kabisa namshukuru sana Mungu kwa zawadi ya mtoto kwa maana
nimejifungua
↧
Wanakwaya wa kanisa katoliki wapigwa bomu jijini Arusha , sita wajeruhiwa, mmoja hali yake ni mbaya
WANAKWAYA sita wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mt. Kalory Rwanga, Usa River, mkoani hapa, wamelazwa katika Hospitali ya Misheni na ya Tengeru, Arumeru baada ya kujeruhiwa kwa bomu.
Walikutwa na masahibu hayo juzi muda mfupi baada ya kutoka kanisani kwenye Mkesha wa Mwaka Mpya saa 6.30 usiku, meta 100 kutoka Kanisa hilo, eneo la Kisangani.
Mganga Msaidizi wa hospitali hiyo, iliyoko
↧
CCM yatoa onyo kwa wanachama wake walioanza kupiga kampeni za chini chini kabla ya muda
Chama cha mapinduzi CCM kimetoa onyo kwa baadhi ya wanachama wake
wanaoanza kufanya kampeni za chini kwa chini kabla ya muda kutangazwa na
kuwataka kuacha mara moja.
Akibainisha hayo Jijini Dar es salaam Makamu mwenyekiti wa chama hicho
Tanzania bara Philip mangula amesema ibara ya 33 kifungu kidogo cha
kanuni za CCM kinakataza mtu yoyote kufanya kampeni za aina yoyote
kabla ya
↧
↧
Majibu ya Mh.zitto Kabwe kwa kamati kuu ya Chadema, juu ya mashtaka 11 dhidi yake
Our Ref: ZZK/12/13 10.12. 2013.
Mh. Katibu MKuu, Chama Cha Demokrasia Na Mendeleo HSE NO 170,
UFIPA STREET, KINONDONI
S. L. P 31191
Dar es Salaam – Tanzania.
YAH: MASHATAKA YA UKIUKWAJI WA KATIBA, KANUNI NA MWONGOZO WA CHAMA.
Rejea barua yako ya tarehe 26 Novemba 2013 yenye kumbukumbu no
C/HQ/ADM/KK/08/31 Iliyoelezea
↧
Hatima ya Pingamizi la Zitto Kabwe kujulikana Jumatatu...Wafuasi wa CHADEMA watwangana ngumi mahakamani
Leo ilikua itoke hukumu ya kesi iliyopo baina ya Zitto Kabwe na CHADEMA ambapo kulikuwa na mabishano makali ya kisheria dhidi ya pande zote mbili .
Hukumu hiyo haijatolewa na badala yake mahakama kuu kanda ya Dar es salaam imeamua kuahirisha kesi hiyo
mpaka jumatatu ya tarehe 6 Januari saa 4 asubuhi ambapo hukumu juu ya
madai yaliyopo mahakamani itatolewa.
Nje ya
↧
Benki kuu ya Tanzania yatoa Sarafu ya sh. 50, 000 kama kumbukumbu ya miaka 50 ya mapinduzi ya Zanzibar
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa Benno Ndulu
***
BENKI
Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa sarafu maalumu ya kumbukumbu ya miaka 50
ya Mapinduzi ya Zanzibar yenye thamani ya sh 50,000. Gavana wa BoT,
Profesa Benno Ndulu, amesema kuwa sarafu hiyo iliyotengenezwa kwa madini
ya fedha kwa asilimia 92.50, imetolewa kwa ajili ya kumbukumbu tu na
haitaingizwa katika mzunguko
↧
Padri wa kanisa katoliki aliyemzalisha muumini wake na kisha kumtelekeza akubali kulipa sh. 580, 000 ikiwa ni gharama za matunzo ya mtoto huyo
KESI iliyokuwa ikimkabili Padri Deogratius Makuri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Singida kushindwa kutoa fedha za matunzo kwa mwanawe, jana ilifikia ukingoni baada ya mlalamikiwa kuamua kulipa jumla ya Sh 580,000 taslimu ikiwa ni gharama za matunzo, matibabu na mavazi kwa ajili ya mtoto huyo.
Kiasi hicho cha fedha kilikabidhiwa kwa mlalamikaji Maria Boniphace na dadake Padre ajulikanaye kwa
↧
↧
Penny amchamba Diamond....Adai angezaa naye angemharibia midomo na sura za watoto wake
Penny ambaye ni mpenzi wa zamani wa Naseeb Abdul "Diamond" haonekani kujutia kitendo cha kumwagana na msanii huyo na badala yake sasa ameanza kuzipa uzito hoja za kumpiga chini Diamond ambaye walidumu naye kimapenzi kwa takribani mwaka mmoja....
Kwa mujibu wa watu wa karibu na Penny, kitendo cha Diamond kumpandisha jukwaani Wema Sepetu pale
↧
Polisi yakiri kuwapiga bomu wanakwaya sita wa kanisa katoliki mkoani Arusha
Siku moja baada ya taarifa ya kupigwa bomu wanakwaya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Karoli Lwanga, Usa River, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, amefafanua kuwa polisi walitumia bomu la machozi kuwarushia watu kwa lengo la kudhibiti vurugu akidai kuwa waliwarushia polisi mawe, usiku wa mkesha wa mwaka mpya.
Katika tukio hilo, waumini sita waliokuwa wakitoka
↧
Mwili wa Waziri wa Fedha aliyefariki Afrika kusini wawsili nchini
Mwili
wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dk.William Mgimwa umewasili nchi hii leo
kwa ndege ya shirika la Kenya (KQ) na kupokelewa na viongozi mbalimbali
wa chama na Serikali wakiongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue
opamoja na Mawaziri mbalimbali na Wabunge.
Mjane
Mama Jane Mgimwa(katikati) akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Afrika
kusini Radhia Msuya(kulia) mara baada ya kuwasili
↧
"Matusi yenu kwangu ni hamasa ya kusonga mbele, Hata ukiwa mwema kiasi gani, maadui wapo tu"...Huu ni ujumbe wa Erick Shigongo kwa watanzania
Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo
**
Hiki ndicho ninachokifahamu mimi ndugu yenu.
Maisha ni vita, maisha ni mapambano na mtindo pekee wa kukusogeza
mbele ni kupigana! Hata uwe mwema kiasi gani utakuwa na maadui, Yesu
alikuwa nao, Mtume Muhammad alikuwa nao, Mandela alikuwa nao na hata
Mahatma Gandhi alikuwa nao.
Hata ufanyeje maadui watakuwepo tu, utapingwa,
↧
↧
Askari wawili wakamatwa baada ya kumteka mfanyabiashara na kisha kumpora milioni 3 na vitu vingine
Askari mwenye cheo cha sajini katika Gereza la Ruanda na polisi
mwenye cheo cha konstebo katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Mbeya,
wamekamatwa kwa tuhuma za kushirikiana na watu wengine watatu, kwa
kuteka gari na kupora fedha na mali katika eneo la Mlima wa Kawetere,
Barabara ya Mbeya-Chunya, juzi jioni.
Inadaiwa kuwa katika tukio hilo, watuhumiwa walipora Sh3.5 milioni na
↧
CHADEMA watwangana ngumi tena.....Awamu hii ni ndani ya kikao kilichokuwa kikiendeshwa na Freeman Mbowe
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Mjumbe wa Kamati Kuu ya
Chadema, Shaaban Mwamba, juzi usiku alipata kipigo kutoka kwa maofisa
wa kikundi cha ulinzi cha chama hicho waliokuwa katika eneo ambalo
mkutano wa Kamati Kuu ulifanyika, baada ya kutuhumiwa alikuwa
akiwasiliana na wafuasi wa Zitto.
Taarifa kutoka kwa mjumbe mmoja ambaye hakupenda
jina lake
↧
Rais Kikwete apokea matembezi ya UVCCM leo wakati wa kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
Mwenyekiti
wa CCM Rais Jakaya Kikwete akipokea maandamano ya watembeaji
kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja
vya Maisara mjini Zanzibar leo January 5, 2014.
Mwenyekiti
wa CCM Rais Jakaya Kikwete akihutubia baada ya kupokea maandamano ya
watembeaji kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
katika viwanja vya Maisara mjini
↧
Mwili wa Marehemu William Mgimwa ambaye alikuwa ni waziri wa fedha waagwa katika viwanja vya Kalimjee jijini DAR.
Jeneza lenye mwili wa marehemu likiwa viwanjani hapo wakati wa shughuli za kuaga.
Rais Jakaya Kikwete pamoja na Mama Salma wakiaga mwili wa marehemu Dk. Mgimwa.
Rais Jakaya Kikwete pamoja na Mama Salma wakiaga mwili wa marehemu Dk. Mgimwa.
Makamu wa Rais, Dk. Gharib Bilal akimpa mkono wa pole mke wa marehemu Dk. Mgimwa, Jane Mgimwa baada ya kuaga mwili.
Spika wa
↧
↧
Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba wavuliwa uanachama wa CHADEMA
Dk.Kitila Mkumbo aliyetimuliwa uanachama Chadema.
Samson Mwigamba ambaye naye amevuliwa uanachama wa Chadema.
KAMATI Kuu ya Chadema
iliyokutana Januari 3-4, 2014 katika Ukumbi wa Mbezi Garden, jijini Dar
es Salaam imeamua kuwavua uanachama Dk. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba
kuanzia jana.
Maamuzi hayo ni baada ya kunasa
mawasiliano mbalimbali ya Zitto Kabwe na
↧
Zitto Kabwe auanika Ufisadi wa Freeman Mbowe... Adai Tundu Lissu ni kifaranga, hivyo anamtaka mama kifaranga....Amegusia pia kifo cha Chacha Wangwe
Akizungumza katika press conference ya CHADEMA na waandishi wa habari
iliyofanyika leo, Mwanasheria mkuu wa Chadema, Mh.Tundu Lisu alisema
kuwa mkakati wa kuwachafua viongozi ni wa siku nyingi ambapo Chama
kimefanikiwa kunasa mawasiliano ya Zitto tangu mwaka 2009 alipokuwa
akiwasiliana na akina Denis Msack wa Mwananchi.
Lissu alisema njama hizi
ndio zilizopelekea mpaka mashtaka ya
↧
"Mwaka 2014 kiongozi mmoja wa kisiasa atakuwa kichaa, utatokea msiba wenye sura ya kitaifa, shida na maafa makubwa"..Huu ni utabiri wa Alhaj Hassan Yahya Hussein
Aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, Shehe Yahya Hussein.
**
MRITHI wa kazi za marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Hassan Yahya
Hussein, amesema mwaka 2014 kuna kiongozi wa kisiasa na kijamii mwenye
hadhi kubwa hapa nchini atarukwa akili.
Akizungumza Dar es Salaam jana kuhusu utabiri wake wa mwaka 2014,
Hussein, alisema kutokana na mwaka kuanza Jumatano ambayo ni mbaya, hali
↧