Afisa Wanyamapori wa Wilaya ya Singida, anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya wanyamapori.Afisa huyo, Augustino Lori alikamatwa jioni ya siku ya Jumatatu baada ya kukutwa amehifadhi ndege 12 aina ya flamingo, na silaha mbili aina ya bunduki, nyumbani kwake, kinyume cha sheria.Kamanda wa Polisi mkoani Singida, Geoffrey Kamwela amesema afisa huyo anayepaswa
AFISA AKAMATWA KWA KUFANYA BIASHARA HARAMU YA WANYAMA PORI
↧
↧
HAYA NDIO MANENO YA WASTARA; NATAKA KUOLEWA NA BILLIONEA
IKIWA ni takribani mwaka mmoja tangu alipoondokewa na mumewe,
marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’, staa wa filamu Bongo, Wastara Juma
amesema sasa yupo tayari kuolewa lakini sharti la kwanza la muoaji
lazima awe mtu mwenye fedha zake.
Wastara Juma.
Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, wikiendi iliyopita jijini Dar es
Salaam, Wastara alisema, amekuwa mpweke kwa muda mrefu na sasa
↧
MH. ZITTO KABWE AENDELEA KUWA KIKWAZO CHADEMA
HUKUMU iliyosomwa na Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam,
John Utumwa, Jumanne iliyopita (juzi), imemuongezea uzito Mbunge wa
Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, sasa amekuwa mzito zaidi ndani
ya chama chake.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe akiwa ndani ya Mahakama Kuu wakati akisubiri hukumu ya kesi yake juzi.
Awali, ilionekana kama uamuzi
↧
NAY WA MITEGO AMWAGWA NA MCHUMBA WAKE.........
UCHUMBA wa staa wa wimbo wa Muziki Gani, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa
Mitego’ na mpenzi wake anayefahamika kwa jina moja la Siwema umedaiwa
kuvunjika.
Nay akiwa na mpenzi wake Siwema.
Kwa mujibu wa chanzo makini, chanzo cha kumwagana ni baada ya Siwema
kukuta meseji za watoto wa kike tofauti katika simu ya Nay wa Mitego
katika nyakati tofauti.
Chanzo hicho
↧
HAYA SASA,,, NDOA YA KARNE BONGO HIYOOO....
Mwaka mpya mambo mapya.Katika tukio linaloweza kuitwa kama ndoa
ya karne, mzee mmoja mwenye umri wa miaka 91, Nkwabi Ngobola Kapimbi,
wiki iliyopita alifunga pingu za maisha na mkewe Maria Mkiwa (78) mbele
ya mchungaji Thobias Shilole wa Kanisa la Maombezi huko Kibaha mkoani
Pwani.
Mzee Nkwabi akipozi na mkewe Maria.
Tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi, lilitokea baada
↧
↧
DIAMOND AJIANGUSHA KWA WEMA KWA KUAMUA KUMNUNULIA JUMBA LA KIFAHARI LA SH..MIL 125
STAA wa Bongo Fleva mwenye mbwembwe kibao, pia anasifika kwa kuwa
msafi na anasemekana ndiye mwenye mkwanja wa nguvu Bongo, Nasibu Abdul
‘Diamond’ anadaiwa yuko kwenye mchakato wa kumnunulia jumba la kifahari
mpenzi wake wa ‘nenda rudi’, Wema Sepetu, Amani limeinyaka hii.
KUNA SABABU?
Kwa mujibu wa chanzo, Diamond ameamua kuingia kwenye kujikamua huko
kufuatia taarifa kwamba,
↧
MASOGANGE,,,, NAOGOPA MUME WA MTU SUMU
VIDEO Queen mwenye figa matata Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’
amesema anaogopa kama ukoma kutembea na mume wa mtu kama wafanyavyo
baadhi ya watu.
Agnes Jerald ‘Masogange’.
Akizungumza na paparazi wetu, Agnes ambaye hivi sasa amejiingiza
kwenye soko la filamu, alisema anaogopa sana kuingia kwenye uhusiano na
mume wa mtu ndiyo maana anaona bora aendelee na
↧
MISS AANGUKA, AZIMIA, VIBAKA WAMFANYA KUWA SHEREHE
Ama kweli dunia haina huruma! Dada Happy amejikuta akiishiwa nguvu na
kuanguka mbele ya kadamnasi na kuzimia pasipo msaada wowote ambapo
badala yake watu waliodaiwa kuwa ni vibaka walimuibia vitu vyake vyote.
Kwa
mujibu wa mashuhuda, mrembo huyo ambaye alikuwa katika mishemishe za
kawaida alidondoka ghafla akiwa Mitaa ya Nyakato jijini hapa mbele ya
kituo cha polisi, Januari
↧
ZITTO; JAMANI SITAKI MALUMBANO
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kuanzia sasa
hataki malumbano na mtu. Kauli ya Zitto, imekuja siku moja baada ya
Mahakama Kuu Kanda ya
Dar es Salaam, kupiga marufuku chombo chochote
kujadili uanachama wake. Akizungumza na MTANZANIA mjini Dar es Salaam
jana, Zitto alisema ameamua kukaa kimya ili kupata muda mzuri wa
kutafakari misukosuko ya kisiasa
↧
↧
GEA HABIB WA CLOUDS FM ABARIKIWA MTOTO
Gea Habib wa Clouds FM.
MTANGAZAJI nyota wa miondoko ya taarab Gea Habib wa
Clouds FM amejifungua mtoto wa kiume jana jijini Dar es Salaam katika
hospitali ya Kinondoni (Kwa Dr Mvungi) kwa njia ya upasuaji na sasa
anaendelea vizuri yeye na mtoto wake.
Huyu anakuwa ni mtoto wa tatu kwa Gea ambaye pia husikika katika
kipindi cha Leo Tena kinachosikika
↧
HATIANI KWA KUMWITA MKUU WA NCHI KIAZI,,...
MWANASIASA wa Chama cha upinzani nchini Zambia cha
Alliance for a Better Zambia (ABZ), Frank Bwalya, amekamatwa na polisi
na kufunguliwa mashtaka kwa madai ya kumkashifu rais wa nchi hiyo,
Michael Satta, kwa kumwita kiazi.
Bwalya anadaiwa kumwita Rais Satta kuwa ni ‘Chumbu Mushololwa’, akimaanisha kiazi, kupitia kituo kimoja cha redio nchini humo.
Katika lugha ya Kibemba,
↧
HAWA NDIO MAWAZIRI WAPYA,,,,,,
RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kutangaza majina ya mawaziri watano
mapema wiki hii,taarifa za ndani kutoka Ikulu ya Rais Kikwete iliyonaswa
na Habarimpya.com zinaeleza kwamba, zoezi hilo limepangwa kufanyika
mapema wiki hii kabla ya Rais kuanza zoezi la kuteuwa wabuge wa bunge la
Katiba.
"Rais anamajukumu mengi sana ya kitaifa kipindi hiki na moja ya majukumu
yake ni kufanya
↧
SWALI.... KAMA YAKIKUKUTA KAMA HAYA UTAFANYAJE?
↧
↧
JOYCE KIRIA NAE AWACHAMBUA WAKUU WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
NGUVU
YA ZITTO IMEMUINGIA HADI MKE WA JUNIO KILEO,KILEO NI YULE AMBAE
ALILALAMIKIWA NA KUSHITAKIWA NA ZITTO KUWA ALIWEKA KWENYE MTANDAO WAKE
HABARI ZA KUWA ZITTO KAONGWA NA CCM
MKE WA KILEO BI JOYCE KIRIA AAMUA KUANIKA UKWELI HADHARANI
Dada Joyce Kiria ambaye ni mwendesha kipindi cha Wanawake Live CHA EATV
Haya
ndiyo maoni yake katika mjadala mmojawapo katika wall
↧
KATIBU KATIKA CHAMA CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) ASIMAMISHWA
Kamati ya utendaji ya
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Nachingwea, mkoani
Lindi, imemsimamisha Katibu wake, Jordan Membe, kwa madai ya kwenda
kinyume na katiba ya Chama.
Habari kutoka wilayani humo
zilizothibitishwa na uongozi wa chama hicho, ngazi ya wilaya na ile ya
mkoa, zinaeleza Membe amesimamishwa kutokana na kukiuka maadili ya
uongozi, ikiwa ni pamoja
↧
JE...JOHN MYIKA NAE KAJIUZULU?
Jana
mitandao ya kijamii ilijazwa taarifa kwamba jana jioni, John Mnyika
(Mb) alimwandikia barua ya kujiuzulu Katibu Mkuu wa CHADEMA.
Ofisa
Habari Mwandamizi wa CHADEMA, Tumaini Makene (0752 691569) alijibu kwa
kukanusha kuhusu taarifa hizo na kuongeza kuwa kwa muda
uliotajwa, Mhe. Mnyika alikuwa katika shughuli za chama akitimiza
majukumu yake.
Akasema taarifa hizo ni
↧
AJALI YATOKEA YAUA WAWILI NA KUJERUHI NANE HUKO MKATA
WATU wawili wamefariki
dunia hapo hapo na wengine nane kujeruhiwa baada ya gari aina ya Noah
walilokuwa wamepanda kutaka kulipita gari lililkuwa mbele yake na
kukutana na lori aina ya Volvo na kugongana uso kwa uso na kusababisha
vifo hivyo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga,Costastine Massawe athibitisha kutokea tukio hilo jana na kueleza tukio hilo lilitokea majira ya
saa tano
↧
↧
INTANET YAPIGWA MARUFUKU NA AL SHABAAB KUTUMIWA NCHINI SOMALIA
Wanamgambo wa Al Shabaab wenye uhusiano na Al-Qaeda, wamesema kuwa
wamepiga marufuku raia wanaoishi katika maeneo wanayodhibiti kutumia
internet.
Wapiganaji hao wametoa onyo kwa kampuni zote zinazotoa huduma ya internet siku 15 kufunga biashara zao. “kampuni yoyote au mtu yeyote atakayepatikana akipuuza onyo hilo
atajulikana kama mtu anayewafanyia kazi maaduzi zetu, na ataadhibiwa
↧
KWA STAILI HII,,,,, SIMU NI KERO KUBWA; MUME AMJERUHI VIBAYA MKEWE KWA KUTOPOKEA SIMU
Kareny Masasy, HabariLeo, Shinyanga
— MWANAMKE mkazi wa Kata ya Lubaga, Sophia Haji (22) Manispaa ya
Shinyanga anadaiwa kupigwa na mumewe na kusababishiwa majeraha makubwa
kwa kile kilichodaiwa alichelewa kupokea simu ya mumewe.
Polisi
inamsaka mwanamume huyo, Daniel Daud ambaye kutokana na kipigo, mkewe
alitokwa na damu nyingi sehemu za siri. Kamanda wa Polisi, Mkoa wa
Shinyanga,
↧
DR. SLAA AMKANA KADA WA CHADEMA ALIYETEKWA
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk.
Willibrod Slaa, amekana na kusisitiza kuwa hajawahi kuwasiliana na
Mwenyekiti wa chama hicho, Wilaya ya Temeke, Joseph Patrick ili
kumshinikiza ajiuzulu uongozi.
Akizungumza na MTANZANIA mjini
Dar es Salaam jana, Dk. Slaa alisema taarifa zinazotolewa na Patrick
kuwa viongozi wakuu wa chama hicho walimlazimisha ajiuzulu
↧
More Pages to Explore .....